Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,347
- 6,000
Sitaki kuwa mnafiki.
Kitendo cha kuimarika kwa shilingi dhidi ya dollar kumenikera sana.
Nilitaraji kupokea leo Tsh 3,300,000 na nilishapanga bajeti zangu na pesa ilishaisha kabla hata sijaiweka mkononi.
Sasa nimeambulia 2,880,000!
Nimevurugwa kinoma sasa bajeti yangu naipangua yote.
Yani hawa chadema ndio wamenisababishia hii hasara kwa kuropoka hovyo mpaka serikali ya "gavument" imeshituka!
Kitendo cha kuimarika kwa shilingi dhidi ya dollar kumenikera sana.
Nilitaraji kupokea leo Tsh 3,300,000 na nilishapanga bajeti zangu na pesa ilishaisha kabla hata sijaiweka mkononi.
Sasa nimeambulia 2,880,000!
Nimevurugwa kinoma sasa bajeti yangu naipangua yote.
Yani hawa chadema ndio wamenisababishia hii hasara kwa kuropoka hovyo mpaka serikali ya "gavument" imeshituka!