Kuimarika kwa shilingi imenikera sana!

Kuimarika kwa shilingi imenikera sana!

Mbona ishaanza ku poromomoka tena, mkopo ulioingizwa kwenye monetary system ulikuwa solution kwa wiki mbili au tatu, wanaokimbizia dolla nje hawajalala bado wanafanya yao.

Aisee yani ni kama tumewatengenezea jamaa ulaji wa bure
 
Mbona ishaanza ku poromomoka tena, mkopo ulioingizwa kwenye monetary system ulikuwa solution kwa wiki mbili au tatu, wanaokimbizia dolla nje hawajalala bado wanafanya yao.

sema haki ya mungu!!
 
Mi mwenyewe imenihathiri sana hii hali. Nimetuma pesa home kwa makadirio ya kupokelewa 7.0M, Ndugu yangu kwenda kupokea pesa anaambiwa ni 5.99M nikachanganyikiwa vibaya. Ikabidi nizichukue dola zangu nikatulia nazo kidogo ijumaa ikaongezeka rate mpaka 2120/dollar nikabadilisha zikafika 6.6M ikawa hauweni kidogo
 
Msio soma na ambao hamjaenda shule ndio mnaolopoka hapa hamjui uchumi unakuwaje kazi kushabikia siasa
kwan chadema ndio waliopandisha shilingi?tusiwe majinga ya akili
 
Mi mwenyewe imenihathiri sana hii hali. Nimetuma pesa home kwa makadirio ya kupokelewa 7.0M, Ndugu yangu kwenda kupokea pesa anaambiwa ni 5.99M nikachanganyikiwa vibaya. Ikabidi nizichukue dola zangu nikatulia nazo kidogo ijumaa ikaongezeka rate mpaka 2120/dollar nikabadilisha zikafika 6.6M ikawa hauweni kidogo
So imepanda kidogo mkuu!!!
 
nasikia imeanza kupanda tena mkuu!

Ni kweli, mwelekeo wake umebadilika tena.

Mimi tokea mwanzo ilipoanza kushuka nilihisi ilikuwa ni zuga tu ili kupunguza maneno ya watu.

Sasa ngoja tuone mwelekeo utakuwaje wiki ijayo.
 
Nyinyi mnaoweka fedha ni wahujumu uchumi, nyinyi ndiyo mnaofanya dola ionekane lulu huku mkiibebesha lawama serikali.
 
Unalalia fedha kwenye mto alafu unalala hali ngumu ya maisha yanasababishwa na kupanda kwa dola!! Acheni ubinafsi husio na mipango, tafuteni pesa kwa kufanya kazi.
 
Ni kweli, mwelekeo wake umebadilika tena.

Mimi tokea mwanzo ilipoanza kushuka nilihisi ilikuwa ni zuga tu ili kupunguza maneno ya watu.

Sasa ngoja tuone mwelekeo utakuwaje wiki ijayo.
This is great news to me.
Thanks god lol!!!!
 
Mkumbuke congo na Zambia walitoa 000 katika pesa yao na siyo kuimalika ki uchumi kabla Kabila hajaingia soda ilikuw inauzwa 75, 000 na bia 150, 000 Kabila alipoingia aliachana na Zaire na kuanza kutumia Franc na wakati huo ilijuwa $1 kwa Franc 2 ndiyo inashuka mpaka sasa 900 na Zambia Michael Satta alitoa 000 ktk pesa yao $1 ilikuwa Kwacha 5000 mpaka 6000.

Mkuu umenifurahisha sana jinsi ulivyowafamisha watu jinsi hao wenzetu walivyotoa hizo sifuri tatu sio hao tu hata msumbiji wamefanya hivyo
 
Back
Top Bottom