Kuimarika kwa shilingi imenikera sana!

Kuimarika kwa shilingi imenikera sana!

Nlikuwa nazo kama 2900 US$ lengo nikusubiria ifike elfu tatu kwa dola, nlipoona akina lisu na mnyaa wanapiga kelele sana bunge, ahhhh!! nimeziuza, isije kula kwangu

Dah,yani hao jamaa wametuharibia pozi khaa!!!
 
mshahara wa mwezi wa sita nilipokea kitita cha haja,, nikawa nijipanga mipango kibao kwa kujua mpaka december na kwa trend ilivyokua mambo yangekua bien... nimesikia imeimarika nimeishiwa nguvu. kweli si kila msiba unaathir wote kuna wengine wanafaidika... all in all hongera serekari yetu kwa kuimarisha shillingi yetu,, ni aibu kushidwa na hata DRC hapa Franc ni 900 kwa dollar 1 na wako vitani

Pole aisee, kumbe na wewe ni miongoni mwa mnaolaani watu wanapopiga kelele malipo yafanyike kwa shilingi
 
Pole mhujumu uchumi

Hao wapo wengi rafiki yangu mfanya biashara na mwenda Dubai siku moja kabla ya kupanda kabadilisha madafu yake kununua dollar kwa bei ya 2300 kesho yake ikashuka. Amehesabu hasara ya million 41. Anajiuliza aende au asubiri kwa kujiaminisha huu ni mchezo wa benki kuu kuwadanganya wabunge wa ukawa na kurudisha imani ya wananchi kwa kuogopa uchaguzi. Pole mkuu ingawaje wanakupa jina baya. Kama ni deni umelipwa ongea na mlipaji akufidie ingawa nauona ugumu wa kufanikiwa hilo.
 
Kumbe kuishusha hii $ tunaweza sana tuu ila kuna mataahira huko juu wanafanya makusudi. Kwa speed ya $ ilivyoshuka naona tunaweza kabisa kuibalance hii $ dhidi ya shilingi yetu
 
Hao wapo wengi rafiki yangu mfanya biashara na mwenda Dubai siku moja kabla ya kupanda kabadilisha madafu yake kununua dollar kwa bei ya 22300 kesho yake ikashuka. Amehesabu hasara ya million 41. Anajiuliza aende au asubiri kwa kujiaminisha huu ni mchezo wa benki kuu kuwadanganya wabunge wa ukawa na kurudisha imani ya wananchi kwa kuogopa uchaguzi. Pole mkuu ingawaje wanakupa jina baya. Kama ni deni umelipwa ongea na mlipaji akufidie ingawa ugumu wa kufanikiwa ni mdogo sana.

kiukweli imeniuma sana!!!
 
Nlikuwa nazo kama 2900 US$ lengo nikusubiria ifike elfu tatu kwa dola, nlipoona akina lisu na mnyaa wanapiga kelele sana bunge, ahhhh!! nimeziuza, isije kula kwangu

Sema ndio hivyo tena maisha yetu watz SHIDA zinakuwa nyingi kuliko RAHA , yaani viginevyo unakaa nazo kama savings maana dola ni dola hata kama shilling ita stabilize lakini dola ya miezi ijayo ni tofauti na ya sasa, mie mwenyewe hizi ndogo ndogo huwa ninazitunza lakini baadae nikiona bank mzuka unanipanda nakwenda kuzibadlish
 
Daaah!! Mafutaa eti nayo yamepanda aisee kwa asilimia 10 hvii.
Kuanzia kesho apo litre ni elfu mbili hukoo.!!! 🙁 🙁 🙁
 
Kuimarika kwa shilling ya kitanzania ni nema kwa wafanyabiashara.hongera kwa serekali
 
Nipo upande wako. Soon and very soon

Unajua mkuu hii serikali inayoongozwa na ccm inajua sana kuwachezea na kuwalaghai wananchi. Sasa watupe na sababu ya kushuka kwa $ na kwa usiku mmoja.Wameuza nini haraka hivyo na kulipwa usiku huo huo hata bunge lililopiga kelele halijaisha. Ukweli hapo wanataka kufanya wizi kwa kujipatia hela ya kampeni kwenye migongo ya wafanya biashara wa nchi hii. Yawezekana wametenga mabillion toka hazina wakashusha bei ya $ wakanunua za kutosha na ndani ya muda mfupi sana bei itarudi pale pale. Tena safari hii itakuwa 2600 kwa dollar moja. Wataziuza na kurudisha amana hazina na faida wanayo. Kama ni wazuri hivyo wakaisaidie hiyo nchi iliyofilisika ulaya warejeshe uchumi wao waweze kujilipia madeni.
 
Ndani ya masaa2 tayari kuna views zaidi ya 1,550 wanaufatilia huu uzi,
bila shaka hii taarifa imewakera wengi(mimi ni miongoni mwao)
 
I wish so

Mkuu, itakuwa ivo. Wamefunika kombe mwanaharamu apite tu. Hii sio internal forces but external.

Kuna member kaongea cream sana "kwa serikali makini,haiwezi kushusha thamani ya pesa kwa kiwango icho na ili khali inajua kuna wafanyabiashara waliokuwa wameguswa kwa namna moja au ingine kwa mpasuko wa bei ya dollar dhidi ya shilling"
 
Ukikaribia uchaguzi wahindi watanunua sana dola kwa kujitayarisha kama kutakua na fujo, so itapanda tena maana demand itakua juu
 
Back
Top Bottom