FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
Kuna wakati leo nimekaa natafakari sana jinsi tunavyobanwa katika kila angle ili tulipe kodi, hasa hasa hili suala la tozo za miamala, linaumiza sana.
Halafu unakuja kuambiwa watu wanaiba pesa tulizolipa kodi, nasikia kuna hadi trillion 2 zimelambwa. Hapa nimetoka kutuma pesa haifiki hata laki 5, imeondoka karibu 7k makato tu ya ajabu ajabu, nimejikuta moyo unaniuma sana, yaani moyo unaniuma nyieee.
Rais tuliyempa dhamana ya kutulinda na kutuvusha salama hadi 2025 yupo na anaona na anasikia, the best she can do ni kusema ‘Stupid!’ basi? Madame president is that the best you can do?
You people up there Ikulu, who do you think you are? Hivi mnadhani mnaongoza nguruwe? Mnataka kitokee nini ndio mjue kuna watu wanapaswa kubadilishwa? Please, mi naumia sana, kweli naumia, hizo pesa zinaniuma mno!
Kulipa tozo hadi mnakamua watu damu, halafu mnaiba tu like nobody’s business, hakuna anaechukuliwa hatua, maana yake nini? Hii dharau ya aina gani hii, halafu mnatuambia mambo ya kulipa kodi? Kweli, what do you take as for?
Hivi kwani uwaziri ni jina la ukoo kwamba mtu hawezi kubadilishwa? Mnatukatisha tamaa. Kwani nyie viongozi wetu mnahitaji kuiba kiasi gani ndio mridhike? Si muwe mnaiba hata milion 100 then maisha yanaendelea, sasa kweli unaina trillion 2 halafu iweje? Makusanyo ya watu milioni 60 kwa muda wa miezi miwili wewe unachukua unatia mfukoni?
Mna mioyo ya chuma kwani jamani? Waoneeni huruma watoto wa binadamu wenzenu jamani, ibeni ila angalieni na urefu wa kamba, tuibe kwa huruma, kwani hamna dini nyie, yaani trillion 2 hata siamini. Yaani moyo unaumaa, hivi nyie Watanzania trillion 2 mnazichukukije kwani? Nchi zingine hai wahusika wangekuwa wananing’inia kwenye mti, mfano China huu ujinga huwezi kufanya.
Sasa nasemaje, hizo trillion 2 zirudi, otherwise 2025 tutaondoka na kichwa cha mtu, sisi sio nguruwe, ni binadamu!
Halafu unakuja kuambiwa watu wanaiba pesa tulizolipa kodi, nasikia kuna hadi trillion 2 zimelambwa. Hapa nimetoka kutuma pesa haifiki hata laki 5, imeondoka karibu 7k makato tu ya ajabu ajabu, nimejikuta moyo unaniuma sana, yaani moyo unaniuma nyieee.
Rais tuliyempa dhamana ya kutulinda na kutuvusha salama hadi 2025 yupo na anaona na anasikia, the best she can do ni kusema ‘Stupid!’ basi? Madame president is that the best you can do?
You people up there Ikulu, who do you think you are? Hivi mnadhani mnaongoza nguruwe? Mnataka kitokee nini ndio mjue kuna watu wanapaswa kubadilishwa? Please, mi naumia sana, kweli naumia, hizo pesa zinaniuma mno!
Kulipa tozo hadi mnakamua watu damu, halafu mnaiba tu like nobody’s business, hakuna anaechukuliwa hatua, maana yake nini? Hii dharau ya aina gani hii, halafu mnatuambia mambo ya kulipa kodi? Kweli, what do you take as for?
Hivi kwani uwaziri ni jina la ukoo kwamba mtu hawezi kubadilishwa? Mnatukatisha tamaa. Kwani nyie viongozi wetu mnahitaji kuiba kiasi gani ndio mridhike? Si muwe mnaiba hata milion 100 then maisha yanaendelea, sasa kweli unaina trillion 2 halafu iweje? Makusanyo ya watu milioni 60 kwa muda wa miezi miwili wewe unachukua unatia mfukoni?
Mna mioyo ya chuma kwani jamani? Waoneeni huruma watoto wa binadamu wenzenu jamani, ibeni ila angalieni na urefu wa kamba, tuibe kwa huruma, kwani hamna dini nyie, yaani trillion 2 hata siamini. Yaani moyo unaumaa, hivi nyie Watanzania trillion 2 mnazichukukije kwani? Nchi zingine hai wahusika wangekuwa wananing’inia kwenye mti, mfano China huu ujinga huwezi kufanya.
Sasa nasemaje, hizo trillion 2 zirudi, otherwise 2025 tutaondoka na kichwa cha mtu, sisi sio nguruwe, ni binadamu!