Baada ya kushauriwa na afisa mwandamizi wa JF bwana PAW kuwa niifanyie marekebisho kidogo hii ripoti na mimi bila hiyana nimefanya hivyo. Ni matumaini yangu kuwa japo uhalisia kamili wa ripoti utakuwa umepungua lakini nitawaomba kuweni wavumilivu.
Vilevile nitawaomba radhi wale mtakao kerwa na mpangilio mbovu wa hii ripoti, hii ni kwa kuwa mimi si mtaalamu sana wa uandaaji wa ripoti.
RIPOTI YA UCHUNGUZI BINAFSI JUU YA UGONJWA WA DR HARISON MWAKYEMBE 12/10/ 2011
JASON BOURNE
TEL:*********
ID************
Hatua ya kwanza:
Niliamua kujua kama ni kweli kalishwa sumu au laa. Na watu nilio wahusisha katika kujua huko ni TISS.
Katika uchunguzi niliweza kuzungumza na LTK wapatao kumi na tano.
- Maboharia wawili
- Wapanga mikakati wawili
- Mkuu wa LTK
- Vijana wa kazi kumi
Wote maelezo yao yalifanana kwa maana ya (walishiriki kupanga na kutekeleza kumlisha sumu Dr Harison Mwakyembe)
1. Ulizungumza nao wewe kama nani?
2. Je uliwajuaje kuwa ni TISS
3. Wote 15 walikupa majibu yanayofanana na walikubali kuwa wamefanya hiyo kazi, kwa insurance gani uliyowapa walikuaminije? are you boss at TISS and your subordinate have done this? who are you???
[
FONT=Times New Roman] [/FONT]
Hatua walizopitia:
Kwa mujibu wa maelezo ya LTK/D00/B1 mkuu wa kitengo hicho ambae kwa kweli niliongea nae kama rafiki yangu wa karibu ndie aliyenipa mwangaza wakufanikisha kazi yangu.
Katika misheni hii watu wengi wanatakiwa KUFA, nitawataja wale muhimu tu:
1. Wilblod Slaa
2. Samweli Sitta
3. Harison Mwakyembe
4. Said Kubenea
5. Mark Mwandosya
1. what was your mission on this? is this the whole TISS plan or just few people? wote ulowataja hapo juu wana maswali mengi sana, does TISS can excute mission against JK or withour JK consent?
1.
Samweli sita is not a threat anyway! Sita ni rafiki wa karibu wa JK hata kabla ya JK kuwa rais, Sita andiye aliyefanikisha kutekeleza unafiki wa JK wa kumuondoa Lowassa baada ya Site kusalitiwa kupewa uwaziri mkuu na JK. Sita ni fisadi mwingine mzuri ambaye hamtishi fisadi mwngine yeyte ndani ya CCM, yeye kama Mwakyembe ndio traitors wakubwa nchi hii wa wananchi, they belong to CCM and CCM alone
2. Slaa? Yes I could agree with you partly, lakini mpaka sasa hawajaweza kukamlisha huo mpango? hatujasikia mzee huyu akisukwa sukwa! what are they waiting, it takes less than a second for sniper to finish a job
3. Kubenea? Kubenea ni CCM mzuri, na 2015 atagombea ubunge mafia, Kubenea ni mtoto wa JK na usitegemee mwanahalisi likaenda kinyume na JK, unachodhani ni negative kwa JK is actually kumsifia JK ni other way round, hii inafanywa kwa akilin sana, KUBENEA ALIMWAGIWA TINDIKALI kwa kutembea na mke wa mtu, si kinyume na hapo! kesi iko wapi? imeishia wapi? watuhumiwa wako wapi? walitumwa na nani? kubenea angewaanika vizuri sana, he is speechless katika hili.
4. Mwakyembe ..unasema anaisumbua serikali? na yumo humo humo? ye isn politics is possible but there is no sufficient justification to kill Mwakyembe, ukizingatia yeye na sita ni chama moja, na ndugy yao Kikwete. is another fisadi tu, mwenye maneno mengi na urubunifu mwingi! Alikitupa kitambaa alichojifutia jasho pale mlimani city? hakunywa manji? are you sure, maji ya kampuni gani yaliyotumikan pale?
5. Mwandosya? mwandosya amemalizwa na Membe. period labda tutashindana kati hili,........leukemia yake ni planted kama ilivyokuwa kwa Nyerere lakini sio usalama wa taifa waliohusika, is just another gangs, kwa Nyerere ni marafiki wa mkapa,kwa mwandosya ni Membe. TISS haimo.
ok!
Tindikali ya kuua masaa 12 inatoka Bulgaria, kwa nini wasimue kwa sumu tu? lazima tindikali?
TISS sio UVCCM au ikulu mkuu! sio bakwata wale au majaji wa miss Tanzania..it is secret service.
UNAWEZA KULISAIDIA TAIFA LA TANZANIA NA KU-PROVE KUWA ULICHOANDIKA NI KWELI KWA KTAJA MAJINA YA WATU HAO 30 NA KUONDOA CODE NAME ZA HAO USLAMA WA TAIFA NA KUWEKA MAJINA YAO!!1
WEKA KINASA SAUTI CHA MAZUNGUMZO YEYOTE YALE KUHUSIANA NA TAARIFA HII, AU UCHUNGUZI WAKO ULIKUWA WA KINAMNA GANI NA EVIDENCE UNAIPATAJE, NASEMA HIVI LENGO LAKO HASA LILIKUWA NI NINI / KAMA SIO KUSAIDIA WATANZANIA WENGINE NA HUNA UTHIBITISHO, PELEKA HABARI HII KWA SHIGONGO AT LEAST YOU WILL EARN SOMETHING
wapate hao hao