georgemwaipungu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,779
- 589
Na wewe una uhusiano gani na Makonda?Twambie tu uhusiano wako na Manji tuujue!
Na wewe una uhusiano gani na Makonda?Twambie tu uhusiano wako na Manji tuujue!
Kidole hakidhuru jichoMbona Makonda alikuwa hataki kumkamata?
Kaka tatizo si Chama wala siasa kwenye uzi huu, suala ni tuhuma dhidi ya Manji, walienda wawili tuu mkafunga barabara central, je wangeitwa watafuna nchi kumi siku moja si Dar nzima ingesimama? Tuwe na subira jamani.Mimi naungana kabisa na juhudi za serikali zinazotamkika kama kulikomboa taifa. Tunachopinga ni taratibu mbaya na kuwalinda waharifu wengine kwa kisingizio cha kutokufukua makaburi.
Tatizo ccm hawataki kukubali kwamba wanadandia agenda zisizokuwa zao, na hata naman ya kuzitekeleza hawajui ndipo wanaopoishia kuharibu kabisa kabisa. Hakuna mtu anayepngana na agenda. Tatizo ni approach mbovu ambayo inatoa mwanya wa kupenyezwa kwa hila, maudhui ya kulipa visasi, kukomoa watu makusudi, double standards na kuwaokoa waharifu wengine kwa makusudi.
Ninaimani umenielewa.
Povu kaka.. Jenga hojaWewe ndiwe mnafiki wa hali ya Jun. Maana unaandika vitu usivyovijua and kwa tamaa ya madaraka au Kwa kujifanya mwehu wakati una akili timamu.
Hatupingi juhudi yenye nia njema bali tunapinga usanii unaoendelea sasa hivi ama kwa chuki au kwa nia ya kukomoa watu wasio upande wenu.
Dhamira ya Makonda kwa Manji ni chuki binafsi au katumwa na Ridhiwani
Kwa yeye ndiye muajiri?mbona swala la Wahindi wa Dangote cement hamjampelaka mmiliki mahakamani ah sihasa?Mungu alikuwa busy kusikiliza wengine, sasa amegeukia mafaili yetu.. Hivi mnajua athar za illegal migrants? Mnajua kias gani vijana hawana ajira wakati wengine wanaingia na wanafanya kaz bila kuwa na kibali?
Kwani ule utafiti uliosema Tanzania inaongoza kwa kuwa na watu wanafiki duniani ulifikiri uwongo? Ukaja mwingine wa kutumia asilimia moja kati ya mia kufikiri yaani watanzania tuliowengi kiujumla hatuna jema .Tumeonesha unafki wa kiwango cha lami... Mungu hatatusamehe hasa kizazi cha kuanzia miaka ya 70 mpaka leo.
Kuanzia Mafisadi Papa yupo..(wote tulipaza sauti)
Kagoda (yupo wote tulipaza sauti)
PSPF & NSSF (yupo wote tulipaza sauti)
TANESCO (yupo wote tulipaza sauti)
COCO BEACH (Yupo na wote tulipaza sauti).
Watafuna nchi kumi (yupo wote tulipaza sauti)
Leo mungu kasikia dua zenu, mumebadilika completely kila mtu kaonewa mara chuki.
Tuacheni unafki Mungu anatuona mjue?....
NB: I have enough resources to respond to whoever comes with logical questions.
Yanga ni Manji's extra bulletproof / shield.. anafunika mtego kwa majani tuu. Wengi hawalijui hilo, Manji hakuwahi kuwa mpenzi wa soka kabla ya kashfa za EPA kat ya 2000 na 2005, prior to that Manji hakuwahi hata kumiliki kadi ya uanachama YangaManji ndio engine ya mafanikio ya Yanga kwa miaka 5 mfululizo sasa, je, hakuna chembechembe za wa mchangani hapa? hakuna ajuae.
We leo kukamatwa Manji we ndo unaona mmeburuzwa,? mbona machinga wanaburuzwa tokea enz za kina makamba hamkuingiwa na hofu kama huyu bwana?Wewe ndiwe mnafiki si hatutaki kuburuzwa alafu tuunge mkono uburuzwaji huo No.
Mi moyo wangu ushakuwa tajiri, mengine ni material things, mapambo ya Dunia kwangu si big dealUtapata VidondaVya Tumbo Bure Halafu Ufe Maskini
wewe ni udictator unaendelea hakuna kingine kwani wamemkuta no Kilo ngapi wewe unayejua?Mods naomba ID yangu iheshimiwe na kulindwa. Manji na Gwajima mtakumbuka walifika kituoni siku moja na kulala wote chumba kimoja (SHIMONI), baada ya kwenda kwa mkemia ,kuu wa serikali Gwajima alliruhusiwa na kurudi kwenye makazi yake. Watu hawajiulizi kwanini Manji mpaka leo anashikiliwa na jeshi la polisi ila tu kutoa lawama kwamba anaonewa.
Issue ni kwamba Baada ya kwenda kwa mkemia Manji alionekana na kiwango kikubwa cha madawa ya kulevya na hivyo kulazimika kubaki na kusaidia upande wa jamuhuri ni wapi anapopata na hapo ndipo presha ilipoanzia.
oVa
Kesi hizi zina dhamana sema wanaogopa atawaumbua kwenye skendo ya NSSF na Coco Beach ndiyo maana wanamkomaliaNdo vinamfanya mkuu kendelea kusota ndani, the mess created by this man, can not be proved with a day or 2 days.. Jus chill, it takes sometimes before it's done.
Tumeonesha unafki wa kiwango cha lami... Mungu hatatusamehe hasa kizazi cha kuanzia miaka ya 70 mpaka leo.
Kuanzia Mafisadi Papa yupo..(wote tulipaza sauti)
Kagoda (yupo wote tulipaza sauti)
PSPF & NSSF (yupo wote tulipaza sauti)
TANESCO (yupo wote tulipaza sauti)
COCO BEACH (Yupo na wote tulipaza sauti).
Watafuna nchi kumi (yupo wote tulipaza sauti)
Leo mungu kasikia dua zenu, mumebadilika completely kila mtu kaonewa mara chuki.
Tuacheni unafki Mungu anatuona mjue?....
NB: I have enough resources to respond to whoever comes with logical questions.
Ahsante tajiri wa akili [emoji122] [emoji120]Wewe Shida Yako Kumbe Kazi Sasa Nimekuelewa, Kwa Uwezo Wako Huu Huu Wa Kuropoka Ropoka Upewe Kazi Kirahishi Rahisi Tu. Kwa Sifa Zipi Ulizonazo Mpaka Upewe Kazi Na Manji? Kwanza Unatakaje Kazi Kwa Mwizi/Fisadi/ZunguLaUnga? Umaskini Mbaya Sana Hasa Wa Akili
Hivi unaanzaje kuhojiana na mtu asiye na akili kama mimi?Hauna akili wewe ni udictator unaendelea hakuna kingine kwani wamemkuta no Kilo ngapi wewe unayejua?
Kaka we unataka nitaje Chama mi siko hukoWaliobadilika ni wepi sasa...raia ''wanaolialia'' kuwa jamaa anaonewa au watawala na wanaCCM waliompa ubunge na akachangia kuitafuna keki ya Taifa na wenzake wachache kwa scandals zoote ulizotaja na sasa wamembadilikia?
Hicho ni kifaru!!Mv Dar es salaam wote kimya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbona yeye kachukua dau ambaye ndiye fisadi mkuu wa nssf kampa ubalozi au hilo hulioni?Yale ni makaburi ambayo Magufuli alisema yakifukuliwa yatashindwa kufukika. Sasa Manji alitakiwa kusoma alama za nyakati.. Pamoja na mikwara yote ya serikali bado unaajiri watu kwa business visa? Huo utumbo uliwezekana kipindi cha mkwere tuu, Mkuu wa sasa kaa nae mbali
Mnafiki wewe unachuki binfsiMi ntapinga vingine ila si la bwana Manji kwa kweli nisiwe mnafki though JPM hanivutii
Kuna vitu nyuma yapanzia ambavyo Manji hakupaswa kuyajua, Mkuu unaweza kuambiwa twende tukamtembelee rafiki yetu kituo cha polisi mwisho ukaambia vua mkanda. Akiwa nje he is very dangerous.. Uchunguzi wa madudu yake ni muhimu yeye kuwa ndani, otherwise ata temper investigations. Jamaa ni mastermind mzuri kupitilizahata shetani anapaswa kutendewa haki kwenye adhabu anayopewa. Hapaswi kuadhibiwa kwa kosa ambalo hajafanya.
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
Vita dhidi ya Manji sio vita ya madawa ya kulevya hata mtoto wa darasa la tatu anajua hili.