Kuhusu Manji: Shikamoo Tanzania

Kuhusu Manji: Shikamoo Tanzania

Kinacho tusumbua watanzania ni njaa tu. Mkuu usione wanamtetea tatizo njaa siyo kingine watu wanashindwa kuwatetea ndugu zao walifungwa bila hatia wanamtetea bepari wapi na wapi wanajua Mali zake anavyozipata? Mwacheni ajibie yanayomuhusu yeye ni mtanzania kama wengine wewe unaemtetea ni nani? Na unamtetea amekuomba? Au nikujipendekeza tu na kama amekuomba subiri wakati mwafaka ukamtee usitupigie kelele hapa nani asiejua mabepari wanatumia vyeo vyao kuficha maovu yao? Wewe mtu povu linakutoka na kama kweli anamakosa utasema nini? Nasema mwacheni awajibike kama watuhumiwa wengine.
Wao Yanga
 
Huwezi ukamshutumu mtu eti ameajiri wafanyakazi wasio na Kigali nchini akati alikwishA staaf since January 2016 and jaman mbona shule watu wameenda there is a difference btn company and sole company ts stand like a human when it's come to ownership owners or shareholders wanakuwa hawahusiki kama kuishtaki unaishtaki kampun na sio owner huu n unyanyasaji wazi wazi watanzania hatupumbazwi now days qengi wamesoma ata uelewa tunao
Kisheria zaidi
 
Waliobadilika ni Watanzania wachache ambao wameanza kampeni za Urais 2020. Kwao kila kinachofanywa na serikali ya JPM lazima kipingwe kwa nguvu zote
Kwa hiyo na mbunge wa CCM J. Msukuma ameshaanza kampeni ya urais 2020?
 
Mbona hivyo vyote wakati vinatokea CCM ilikuwa inaongoza nchi , lakini hatukuiti wewe ni mnafiki wa kiwango cha Airport kuendelea kuishabikia ccm!!!!????
 
hv kwa mfano uhamiaji wakisema walimuita kwaajili ya kumuhoji kwanini anatumia passport za nchi mbili na sheria hairuhusu...mtasema ameonewa?? nawaza tu....!!!
 

Kweli sio utani, ukifuatilia mfano mifuko ya jamii hasa pale wanaposema alichukua mkopo wa 9b kutoka mfuko mmojawapo akajenga majengo na baadae akawauzia mfuko uleule uliomkopesha kwa 90b.

Hii habari haijawahi kukanushwa!
Sema Watz mentality za kitumwa zimetutawala sana na hata wanaotufanyia haya wanalijua hili. Ni ngumu kuongelea ufisadi TZ na kumsideline huyu bwana japo atajificha chini ya mwavuli wa ubaguzi (kuonewa kwa uhindi wake).

Ni sawa kuwa hakufanya haya yote direct maana alikuwa na vibaraka wake serikarini lakini kuna haja ya kurudisha hadhi ya utawala japo awamu hii nayo inakuja na miluzi miluzi mingi!
Hivi hao walio kubali kuuziwa walikuwa katika akili zao timamu au walishikiwa mtutu wa bunduki? Ni sheria gani inayo kataza ukikopa kutoka kwa mtu usiweze kufanya nae biashara? Yule ni mfanyabiashara, akili ya mfanyabiashara siku zote ni kuwaza fursa na namna atakavyoweza kuitumia hiyo fursa kujipatia faida katika kile alicho invest.Hivi unataka kutuambia katika hiyo mikopo alikuwa hatozwi riba?
 
Mbona watumiaji wengine wameachiwa?
wao walikiri na kuonyesha ushirikiano kwa jeshi tukufu la polisi, ushiriki wao ndio unaoona matunda yake kuendelea kukamata mauzaji na waingizaji
 
Kwanini wasimpe dhamana?
Huwezi pewa dhamana mpaka uchunguzi ukamilike na makosa yaandikwe... Unajuaje kama mwisho akakutwa hata na kosa la uuzaji kwa mfano? is it a bailable offence?
 
Nadhani huna uhakika na unachokisema. Nimekua karibu naye almost mwaka mzima nikiwa mfanayakazi kwenye ofisi yake. Kinachofanyika 100% percent ni sahihi ila kwakua wengi hawafahamu watamtetea lakini yote ni kweli na Nina sema nilikua sehemu ya kuyafanikisha haya yanayoendelea. Take it from me

Duh, napita tu!!
 
Hivi bado huwaga mnapewa zile buku saba saba? Na malaika wanakuja kuifungia mitandao ya kijamii, sijui mtazipata wapi tena hizo 7 7
 
Tumeonesha unafki wa kiwango cha lami... Mungu hatatusamehe hasa kizazi cha kuanzia miaka ya 70 mpaka leo.
Kuanzia Mafisadi Papa yupo..(wote tulipaza sauti)
Kagoda (yupo wote tulipaza sauti)
PSPF & NSSF (yupo wote tulipaza sauti)
TANESCO (yupo wote tulipaza sauti)
COCO BEACH (Yupo na wote tulipaza sauti).

Watafuna nchi kumi (yupo wote tulipaza sauti)
Leo mungu kasikia dua zenu, mumebadilika completely kila mtu kaonewa mara chuki.

Tuacheni unafki Mungu anatuona mjue?....
NB: I have enough resources to respond to whoever comes with logical questions.

Mimi naungana kabisa na juhudi za serikali zinazotamkika kama kulikomboa taifa. Tunachopinga ni taratibu mbaya na kuwalinda waharifu wengine kwa kisingizio cha kutokufukua makaburi.

Tatizo ccm hawataki kukubali kwamba wanadandia agenda zisizokuwa zao, na hata naman ya kuzitekeleza hawajui ndipo wanaopoishia kuharibu kabisa kabisa. Hakuna mtu anayepngana na agenda. Tatizo ni approach mbovu ambayo inatoa mwanya wa kupenyezwa kwa hila, maudhui ya kulipa visasi, kukomoa watu makusudi, double standards na kuwaokoa waharifu wengine kwa makusudi.

Ninaimani umenielewa.
 
Huwezi ukamshutumu mtu eti ameajiri wafanyakazi wasio na Kigali nchini akati alikwishA staaf since January 2016 and jaman mbona shule watu wameenda there is a difference btn company and sole company ts stand like a human when it's come to ownership owners or shareholders wanakuwa hawahusiki kama kuishtaki unaishtaki kampun na sio owner huu n unyanyasaji wazi wazi watanzania hatupumbazwi now days qengi wamesoma ata uelewa tunao
Sasa kwa taarifa yako quality group Muda huu hakuna CEO, HR, hakuna Directors hakuna shareholders all are in hide sasa nani ashikiliwe, serikali ikiamua kutaifisha Mali ya Quality group si ndo mtakufa kabisa?
 
Ata Mbwa akipata kichaa umng'ata Bwana wake!


Nadhani huna uhakika na unachokisema. Nimekua karibu naye almost mwaka mzima nikiwa mfanayakazi kwenye ofisi yake. Kinachofanyika 100% percent ni sahihi ila kwakua wengi hawafahamu watamtetea lakini yote ni kweli na Nina sema nilikua sehemu ya kuyafanikisha haya yanayoendelea. Take it from me
 
Back
Top Bottom