Kuhusu Manji: Shikamoo Tanzania

Kuhusu Manji: Shikamoo Tanzania

Kwani Manji kakamatwa kwa makosa /matukio uliyoyaorodhesha hapo juu ,mfano: kagoda, PSPF n. k hadi uwaite watanzania wanafiki /vigeugeu?
 
Hukumbuki Yusuf Manji alikatwa kwenye kugombea udiwani then pesa ikaongea Mr. Handsome akarudisha jina kwa barua moja toka makao makuu ya Chama?
Mh.hunsome ni mwenyekiti wa chama gani
cha upinzani? kama ni wale wale
kitu gani kimetokea au ndo kusema Mungu
kayaona machozi ya watanzania,kuku ameanza kula mayai yake.
 
M nawashanga wapinzan wa bongo.Wahusika wote wa madawa wanawatetea. Upinzan syo kutake opposite directio na serikali, m xielewu urafiki kati ya upinzan na manji umeanza lini.
 
Kumwelewa mtanzania ni ngumu Sana.. Hakuna Kazi kungumu Kama kuongoza au kuishi na wanafki..
mnafiki ni wewe unaishi kwa kukremisha...mfano umekremisha neno "unafiki" ukajumuisha "watanzania wanafiki" sidhan kama una uelewa na ulichokomenti zaidi ya kukremisha
 
mnafiki ni wewe unaishi kwa kukremisha...mfano umekremisha neno "unafiki" ukajumuisha "watanzania wanafiki" sidhan kama una uelewa na ulichokomenti zaidi ya kukremisha
Ww utakuwa zumbukuku.. Hivi umefuatilia matukio yanayotokea Hapa nchini?
Na umefuatilia malalamiko ya wananchi hasa humu jf walichokuwa wanakitaka serikali ikifanye?
Husisha waliyokuwa wanayataka na yanayofanyika sasa na ambavyo wanalalamika tena..

Mjinga Kama Ww mpo wengi
 
acheni kelele kama anahusika sheria ichulue mkondo wake pesa zake kama ni zahalali MUNGU atamnusuru na siyo binadamu wapambe na waosha magari wenzenu tumeshituka na nunachukua hatua PIA NINAWAOMBEA WOTE WALIOMSTARI WA MBELE KATIKA HILI LA MADAWA.vijana wetu wametiwa wazimu na wazee wenye uchu wa pesa sasa siku zenu hizoo zinahesabika halafu cha kushangaza kwanini wengi wao ni wanazi wa CCM hebu tuoneeni huruma sisi wazazi kwa tamaa zenu mnatuondolea warithi wetu mnalidhoofisha taifa la kesho EEE MUNGU TENDA MIUJIZA YAKO MAANA SI WABUNGE SI MAWAZIRI SI WAFANYABIASHARA SI VIPNGOZI WA DINI wamekaza shingo zao
 
Tumeonesha unafki wa kiwango cha lami... Mungu hatatusamehe hasa kizazi cha kuanzia miaka ya 70 mpaka leo.
Kuanzia Mafisadi Papa yupo..(wote tulipaza sauti)
Kagoda (yupo wote tulipaza sauti)
PSPF & NSSF (yupo wote tulipaza sauti)
TANESCO (yupo wote tulipaza sauti)
COCO BEACH (Yupo na wote tulipaza sauti).

Watafuna nchi kumi (yupo wote tulipaza sauti)
Leo mungu kasikia dua zenu, mumebadilika completely kila mtu kaonewa mara chuki.

Tuacheni unafki Mungu anatuona mjue?....
NB: I have enough resources to respond to whoever comes with logical questions.

Yanga Inapotea, Mwenyekiti anaamua anachokitaka, Aamua kuwakomesha Sekretariati
Umesahau sakata la maburungutu ya minoti ktk dubious ya kumpitisha Membe uchaguzi mkutano mkuu CCM (Yupo wote tulipaza sauti)
 
Kumbe nyakati zote tulipaza sauti? Kwanini hakukamatwa basi?

Tunachopaza sauti sasa kupinga uonevu huu ni aina ya tuhuma anazotuhumiwa nazo.

Madawa ya kulevya hana hatia,na hili sakata la uhamiaji kwa sasa hana hatia pia.

Tunachotaka ni atuhumiwe kwa haki,sio kuzunguka mbuyu.
Period

Duuuuh. Umekuwa hakimu? hana hatia kivipi?
 
Back
Top Bottom