Kuhusu Manji: Shikamoo Tanzania

Kuhusu Manji: Shikamoo Tanzania

Tumeonesha unafki wa kiwango cha lami... Mungu hatatusamehe hasa kizazi cha kuanzia miaka ya 70 mpaka leo.
Kuanzia Mafisadi Papa yupo..(wote tulipaza sauti)
Kagoda (yupo wote tulipaza sauti)
PSPF & NSSF (yupo wote tulipaza sauti)
TANESCO (yupo wote tulipaza sauti)
COCO BEACH (Yupo na wote tulipaza sauti).

Watafuna nchi kumi (yupo wote tulipaza sauti)
Leo mungu kasikia dua zenu, mumebadilika completely kila mtu kaonewa mara chuki.

Tuacheni unafki Mungu anatuona mjue?....
NB: I have enough resources to respond to whoever comes with logical questions.
Mkuu nami najiuliza kama wewe
 
Kila wiki naendaga sinza pale Law skuli nauliza wiki hii wamekuja naambiwa hakuna mtu.

Swali nalojiuliza hiyo mahakama ilifunguliw kwa sababu gani.

Ningekuwa mimi Ndio Magufuli kesi ya Lugumi ndio ingekuwa chanzo changu na ya mfano.
Lugumi na Manji yumo ndugu kuwa mpole tuu
 
Inamaana yeye alikuwa Mkurugezi NSSF? Ilikwa mtakatifu kumpatia Ubalozi fisadi Dau?
Tafakari jitambue
Hapo sasa, kila kitu ni lazima kiwe na mwanzo sasa inategemea unaanzia juu kwenda chini au chini kwenda juu!
 
Tumeonesha unafki wa kiwango cha lami... Mungu hatatusamehe hasa kizazi cha kuanzia miaka ya 70 mpaka leo.
Kuanzia Mafisadi Papa yupo..(wote tulipaza sauti)
Kagoda (yupo wote tulipaza sauti)
PSPF & NSSF (yupo wote tulipaza sauti)
TANESCO (yupo wote tulipaza sauti)
COCO BEACH (Yupo na wote tulipaza sauti).

Watafuna nchi kumi (yupo wote tulipaza sauti)
Leo mungu kasikia dua zenu, mumebadilika completely kila mtu kaonewa mara chuki.

Tuacheni unafki Mungu anatuona mjue?....
NB: I have enough resources to respond to whoever comes with logical questions.
tumuhukumu kwa makosa yapi kama hajakutwa na hati?
 
Madawa ni count moja na uhamiaji ni count ya Pili, counts nyingine zipo njiani. Mbona kuna watu wameshtakiwa makosa zaidi ya Mia mbili, rejea kesi ya aliyekuwa anaingiza million saba kwa dakika. Manji deals zake ni za billion 50 kwa saa
Umasikini wako usikusababishie chuki
 
Nadhani huna uhakika na unachokisema. Nimekua karibu naye almost mwaka mzima nikiwa mfanayakazi kwenye ofisi yake. Kinachofanyika 100% percent ni sahihi ila kwakua wengi hawafahamu watamtetea lakini yote ni kweli na Nina sema nilikua sehemu ya kuyafanikisha haya yanayoendelea. Take it from me
weka kaushaidi kidogo
 
Jiulize kwann leo watanzania wengi wanatetea...unahisi hawan akili eti unafki,...ayo ulioyataja wengi mnoo wapo tena vinara kabisa,...tuna judge situation iliopo unaleta mambo ya kpnd cha jk leooo hii tulishayafunika hayooo au hujui saiv ni JPM..au nae JPM mnafki mbona wahujum kama ao ni wengi sana enzi za JK au ni manji pekee unatak kusema,...wa tz ambacho hatutaki ni vita ya visasi thata all
 
Kwa yeye ndiye muajiri?mbona swala la Wahindi wa Dangote cement hamjampelaka mmiliki mahakamani ah sihasa?
Manager wake yupo na kakamatwa sasa waulize ma HR na MA director wa Manji wote wapo vichakani wamemuachia bomu lake
 
Back
Top Bottom