lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,470
- 9,053
Ndio maana nikasema wengi wetu kama sio sote tu wahanga wa 'slavery mentality'.Hivi hao walio kubali kuuziwa walikuwa katika akili zao timamu au walishikiwa mtutu wa bunduki? Ni sheria gani inayo kataza ukikopa kutoka kwa mtu usiweze kufanya nae biashara? Yule ni mfanyabiashara, akili ya mfanyabiashara siku zote ni kuwaza fursa na namna atakavyoweza kuitumia hiyo fursa kujipatia faida katika kile alicho invest.Hivi unataka kutuambia katika hiyo mikopo alikuwa hatozwi riba?
Wewe uliwahi kuona wapi tangazo la mifuko hii kukopesha watu, hata wanachama halali hawaruhusiwi lakini yeye alikopa! Naa baada ya kuwauzia na kutengeneza 'great super extra profit' sisi huku mtaani wamiliki halali wa hizo pesa hatuna hata uhakika wa milo miwili lakini tunaongea tu eti "Mwenyezi Mungu kamjaalia"! Can you imagine!?
Ndio maana nasema kama nchi kuna mambo ambayo tukiyafanya basi tutaona fahali na si aibu ya kuitwa Mtz.