Kuhusu Manji: Shikamoo Tanzania

Kuhusu Manji: Shikamoo Tanzania

Kisasi ndo kilimfanya aingize wahindi kinyemela na kuwanyima Kazi wazawa? Kaz za hao wahindi ni kama hapo chini




Wewe Shida Yako Kumbe Kazi Sasa Nimekuelewa, Kwa Uwezo Wako Huu Huu Wa Kuropoka Ropoka Upewe Kazi Kirahishi Rahisi Tu. Kwa Sifa Zipi Ulizonazo Mpaka Upewe Kazi Na Manji? Kwanza Unatakaje Kazi Kwa Mwizi/Fisadi/ZunguLaUnga? Umaskini Mbaya Sana Hasa Wa Akili
 
Waliobadilika ni Watanzania wachache ambao wameanza kampeni za Urais 2020. Kwao kila kinachofanywa na serikali ya JPM lazima kipingwe kwa nguvu zote
Unaweza kutaja vitu muhimu vitano vya muhimu na vibaya vitano alivyofanya JPM Ili tukuone kama umekomaa kisiasa?

Na tujue kama kuna faida au hasara?[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
...Leo mungu kasikia dua zenu, mumebadilika completely kila mtu kaonewa mara chuki.
.

Waliobadilika ni wepi sasa...raia ''wanaolialia'' kuwa jamaa anaonewa au watawala na wanaCCM waliompa ubunge na akachangia kuitafuna keki ya Taifa na wenzake wachache kwa scandals zoote ulizotaja na sasa wamembadilikia?
 
Ushahidi na uthibitisho unapatikana ama kukosekana baada ya mahojiano.tusubiri vyombo vimalize kazi yake
Kuna vitu vingine havihitaji usubiri Kama una akili timamu. Mara muuza madawa ukikosa unatafuta makosa kuunganisha?
Mara passport mbona hatujaambiwa wamemkuta na kilo ngapi za unga?
 
hata shetani anapaswa kutendewa haki kwenye adhabu anayopewa. Hapaswi kuadhibiwa kwa kosa ambalo hajafanya.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.

Vita dhidi ya Manji sio vita ya madawa ya kulevya hata mtoto wa darasa la tatu anajua hili.
 
Tumeonesha unafki wa kiwango cha lami... Mungu hatatusamehe hasa kizazi cha kuanzia miaka ya 70 mpaka leo.
Kuanzia Mafisadi Papa yupo..(wote tulipaza sauti)
Kagoda (yupo wote tulipaza sauti)
PSPF & NSSF (yupo wote tulipaza sauti)
TANESCO (yupo wote tulipaza sauti)
COCO BEACH (Yupo na wote tulipaza sauti).

Watafuna nchi kumi (yupo wote tulipaza sauti)
Leo mungu kasikia dua zenu, mumebadilika completely kila mtu kaonewa mara chuki.

Tuacheni unafki Mungu anatuona mjue?....
NB: I have enough resources to respond to whoever comes with logical questions.
Una evidence yoyote ya yeye kuhusika na madawa ya kulevya?
 
601781280356bb68aefc367b8ce4780d.jpg
d9a19ff2d9bc6e4256c751bf1ada2ad9.jpg
Hahahaha mtaenda nae segerea, JPM keshatoa order
 
Nadhani huna uhakika na unachokisema. Nimekua karibu naye almost mwaka mzima nikiwa mfanayakazi kwenye ofisi yake. Kinachofanyika 100% percent ni sahihi ila kwakua wengi hawafahamu watamtetea lakini yote ni kweli na Nina sema nilikua sehemu ya kuyafanikisha haya yanayoendelea. Take it from me
Umefukuzwa kazi kwa wizi unaleta unafiki hapa. Kama ulikuwa unajua ulichukua hatua gani?
 
Nadhani hakuna kiumbe kilicho duni kifikra kama Mtanzania.......anayeishi [emoji1241]

Sidhani hata kama uzito wa vichwa vyetu unatokana na ubongo au mlundikano wa uji.nga....upum..bavu na unafiki uliopitiliza......,

Samahani kwa watakaokwazika na hili na maneno haya.....

Take control of your thought.....
Take control of your destiny.....
 
Hasingeitwa polisi pamoja na mwenyekiti wa chama flani mgepaza sauti "Na asulibiwe tu katuchosha , katunyonya.." Mkuki kwa nguruwe tu kwa binadamu mchungu.
Ondoa siasa kwenye hii kitu
 
Kila wiki naendaga sinza pale Law skuli nauliza wiki hii wamekuja naambiwa hakuna mtu.

Swali nalojiuliza hiyo mahakama ilifunguliw kwa sababu gani.

Ningekuwa mimi Ndio Magufuli kesi ya Lugumi ndio ingekuwa chanzo changu na ya mfano.
 
Ni kweli Nifah, tumemuhumu huyu mtu kwa mambo mengi ambayo kweli kama yangefuatiliwa yangekuwa na tija lakini kwa vile yaligusa kwenye mfupa hayakufanyiwa Kazi. Mnamtafuta kwa kuhakikisha issue haiwagusi watu wenu na wakati mtu huyo ana issue zinazogusa watu wenu na zina maslahi ya taifa mmeziacha halafu mnataka tuwaunge mkono.!! Tuiteni wanafiki, wazushi na mengine mtakayoona yanatufaa lkn hatuwezi kuficha udhalimu wenu wa kufichiana maovu na kutafuta mbuzi wa kafala.
Mkuu umenikosha mnooooo! Hii ni post yangu bora ya siku,umemaliza yote.
Cheers [emoji485]
 
Back
Top Bottom