Kuhusu mahakama ya kadhi

Nyie wakirsto, mbona sisi hatuwaingillii katika mambo yenu. Kuna kipindi hapa mawakala wa kanisa katika vyombo vya habari na viongozi wengi hasa wakirsto, mlilivalia njuga na kulipigia debe sana saula la Mchungaji wa Kanisa la Kiinjiili la Kilutheli nchini(KKKT), Ambilikile Mwasapile juu Dawa yake aliodai ameoteshwa na Mungu maarufu kama kikombe cha Babu. Mlidhani kua ndio mnainua Ukristo. Matokeo yake mkasababisha watu wengi kufa.

Niliwahi kuulizwa na Kinyozi Mmoja nilipokua Salon, Nini maoni yangu juu ya Kikombe cha Babu, Nilimjibu yule Kijana, Time will tell.

Nadhani matokeo yake mliyaona. Lakini sisi Waislamu hatukuwagusa. Iweje leo Muingilie Mambo yasio wahusu?.

Ulianza kuchangia vyema mpaka nikahisi una kaupeo lakini hapo juu umenifanya niyaone dhahiri matokeo na madhara ya kukaririshwa, pole sana. Kwa taarifa, waislam wengi ndo walikuwa wateja wa Babu na wengi wao wakitokea hapa nyumbani, Kenya na Uganda.
 
Kweli we ni chapati! Una uwezo wa kumsaidia nani wakat maisha yako yenyewe ni ya kuvizia. Mahakama ya kadhi ni ya wa Islam na si ya Makafiri.

Tatizo si uwepo au kutokuwepo kwa mahakama ya kadhi, tatizo ni gharama za uendeshaji wake!!!!! kuchangiwa na walipaodi wote wa nchi hii, Mkitaka mahakama hiyo bila kuiingiza kwenye katiba na waisilam mkachangia uendeshaji wake km vile mishahara ya watumishi wake, vitendea kazi km vile maghari nk. Kuna shida gani!!
 
Kweli we ni chapati! Una uwezo wa kumsaidia nani wakat maisha yako yenyewe ni ya kuvizia. Mahakama ya kadhi ni ya wa Islam na si ya Makafiri.

Tatizo si uwepo au kutokuwepo kwa mahakama ya kadhi, tatizo ni gharama za uendeshaji wake!!!!! kuchangiwa na walipaodi wote wa nchi hii, Mkitaka mahakama hiyo bila kuiingiza kwenye katiba na waisilam mkachangia uendeshaji wake km vile mishahara ya watumishi wake, vitendea kazi km vile maghari nk. Kuna shida gani!!
 
Ulianza kuchangia vyema mpaka nikahisi una kaupeo lakini hapo juu umenifanya niyaone dhahiri matokeo na madhara ya kukaririshwa, pole sana. Kwa taarifa, waislam wengi ndo walikuwa wateja wa Babu na wengi wao wakitokea hapa nyumbani, Kenya na Uganda.

Acha tuseme ukweli, Wengi walikua Nyie wakiristo. Na kama uliwaona waislamu ni lile kundi linalo itwa ngoma iko, yaani waislamu wasio jitambua, kama baadhi waliopo Bunge la katiba, Mishungi mikubwa ili waonekane Waislamu kumbe Wanafiki tu wanajipendekeza kwa Mfumo kirsto badala ya Kujinasua.

Nadhani ninae Muongelea Mnamjua!
 
Hahahaaaa kweli wewe ni LOW DISK SPACE sasa kikombe cha babu kilijadiliwa bungeni?,kilitumia fedha za walipa kodi kama mnavyotaka sasa hivi wabunge wa bunge la jamhuri ya muungno waache kujadili mambo yanayoligusa taifa kwa ujumla eti waanze kujadili UDINI?

Du afadhali ya LOW DISK SPACE kuliko Virus infected mental files. Maana hapa tutukesha hamuelewi!
 
Ulianza kuchangia vyema mpaka nikahisi una kaupeo lakini hapo juu umenifanya niyaone dhahiri matokeo na madhara ya kukaririshwa, pole sana. Kwa taarifa, waislam wengi ndo walikuwa wateja wa Babu na wengi wao wakitokea hapa nyumbani, Kenya na Uganda.
Huyu jamaa bwana katiba itaachaje kutuhusu cc wakristo
 
SHARIA2.jpg



une120820065934.jpg

Lete na zile picha za ndugu zako wanawakata mikono Albino ili wapate utajiri ! Asante
Na hii si shughuli ya Mahakama ya Kadhi, na hakuna Mahakama yeyote katika Uislaam wala katika Qur'an hakuna amri ya kukata pua !

Hiyo picha hao jamaa ni Al Shabab, unajuaje kama huyo ni informer amekamatwa na anapewa adhabu !?.............hata Wapelestina hivi karibuni wamewauwa watu karibia 7 ambao walikuwa ni ma-informer wa Wayahudi.
 
Tatizo si uwepo au kutokuwepo kwa mahakama ya kadhi, tatizo ni gharama za uendeshaji wake!!!!! kuchangiwa na walipaodi wote wa nchi hii, Mkitaka mahakama hiyo bila kuiingiza kwenye katiba na waisilam mkachangia uendeshaji wake km vile mishahara ya watumishi wake, vitendea kazi km vile maghari nk. Kuna shida gani!!

Mbona Mahakama ya Biashara inatumia kodi zetu wakati sisi wengine hatuuzi hata Mchicha !? ....msifiche chuki yenu, hakuna jambo la msingi kama mirathi litolewe uamuzi na baraza lisilo na mandate na authority.
Au linapozungumziwa suala la mirathi mnaona ni kama urithi wa baiskeli na begi la nguo !?
Kuna kesi ya Jaji mmoja maarufu, alikuwa na mtoto, na huyo mtoto wa nje ameenda mahakama kuu kuzuia taratibu za mirathi.
Hii ndo mnaona haki Wagalatia !?:spit:
 
What will be the Jurisdiction of the Kadhi Courts?

Unfortunately, the Kadhi courts are themselves an institutionalization of inequality. They seek to favour one religion over others by creating and protecting and providing for state funding of a purely religious system of dispute resolution… Excluding the Kadhi courts from the new constitution would not in any way hinder the rights of Muslims to worship Allah or to establish courts and other mechanism of dispute resolution.


 
Mbona Mahakama ya Biashara inatumia kodi zetu wakati sisi wengine hatuuzi hata Mchicha !? ....msifiche chuki yenu, hakuna jambo la msingi kama mirathi litolewe uamuzi na baraza lisilo na mandate na authority.
Au linapozungumziwa suala la mirathi mnaona ni kama urithi wa baiskeli na begi la nguo !?
Kuna kesi ya Jaji mmoja maarufu, alikuwa na mtoto, na huyo mtoto wa nje ameenda mahakama kuu kuzuia taratibu za mirathi.
Hii ndo mnaona haki Wagalatia !?:spit:
Muslim law regards women as less than men in matters of both marriage and divorce, as well as devolution of property: Holy Quran Surah 2:228-232, and Surah 65:1-7 (only a man may divorce his wife even if he is required to provide for her); a man may beat his wife, even if lightly, the evidence of two women, is equal to evidence of one man (Surah 2:282). The application of such beliefs of faith are contrary to the Constitution of Tanzania
 
Ni kweli umeelewa hapo na umekiri kwamba hii nchi sio ya kikristo na hata mimi nakubaliana na hilo na ndio maana hujawahi kusikia wakristo wanadai mahakama ya kikristo kwa sababu wanajua hii nchi ni yetu sote wakristo pamoja na waislam, sasa leo waislam kwanini mnataka kuifanya iwe yenu.
Hayo makafiri mtakua nyinyi magaidi kwa uzuzu kwamba uki commit suicide utaenda kwa huyo mnae muita allah

Hizo sheria zilizo Mahakamani za sasa ni za kikiristu/kikafiri na sisi hatuzitaki !..........hazina haki wala uadilifu !
 
Ndugu zangu mambo yanayoendelea huko bungeni kuhusu mahakama ya kadhi yanasikitisha sana. Inavyooelekea mahakama hiyo inaenda kukubalika kutokana na hoja zinazotolewa na ndugu zetu waislamu. Jambo hili linanitisha sana kwa sababu hakuna mtu anayepinga hoja hii, na kila mwakilishi wa kikristo akisimama anakwepa kabisa kuongelea jambo hili.

Mimi kama mwananchi wa kawaida kabisa, ninawatahadharisha kwamba iwapo mtajaribu kuweka jambo lolote linalohusu mahakama ya kadhi sisi WAKRISTO (CHRISTIANS) tutapiga kura ya hapana kwa katiba itakayopendekezwa. Nawahakikishia ndugu wajumbe wa bunge maalumu, hakuna mkristo atakaye iunga mkono katiba hiyo na haitopita.

Jambo hili tumelipigia kelele kwa muda mrefu kwamba mambo ya dini binafsi yaamuliwe na dini husika. Sasa wajumbe wanavyojitoa ufahamu na kusahu kwamba hii sio nchi ya kiislamu, waendelee kujadili dini yao na waipitishe, ila nina apa iwapo jambo la kadhi litakuwepo, basi ni kura ya hapana kwa wakristo wote.

Mwisho, naomba wajumbe wa BMK wajadili mambo ambayo hayaamshi hisia za kidini na wajikite kwenye hoja zinazogusa watu wote, wasipofanya hivyo na wakajisahau, basi wasije wakamlaumu mtu.

It seems to me that proposals to broaden the powers and structures of the Kadhis courts are fraught with risk. Today, the demand may relate to allowing Muslims to resolve civil and commercial disputes in accordance with Islamic law. Tomorrow the Muslims will demand that criminal disputes between them be dealt with in accordance with Islamic Law, that is, Sharia. Shall we tell them their religious freedom does not include resolution of criminal disputes under Islamic Law?
 
Tatizo kubwa hapo elimu ndio tatizo. mahakama ya kadhi sawa haiwahusu wakristo inawahusu waislamu na ndiomaana wanaidai. Na halazimishwi kila muislamu kupeleka kesi yake hapo kama hutaki kupeleka hapo unaenda kwenye ya serikali.Na mkristo kuzaa na muislamu au muislamu kuzaa na mkristo hiyo ni zinaa umefanya omba mungu akusamehe maana nidhambi kubwa kuzini kabla hujaoa. na mambo ambayo yanatakiwa kwenye hiyo mahakama ya kadhi yameainishwa nashangaa kupinga tu bila kujua. Na hiyo mahakama kuingizwa kwenye katiba ni kutambulika tu na kupewa meno sio lazima itumike pesa ya serikali. lkn mnasahau pesa wanazopewa makanisa waislamu wamenyamaza. sio kila kilichopo kwenye katiba ni cha watanzania wote na ndiomaana wameenda wawakilishi.

Mkuu mara nyingi nimeona watu wanasema humu kwamba mbona taasisi za ki kristu(si makanisa)zinapewa ruzuku waislamu hawaulizi. Jambo hili kuna uzi humu umelifafanua vizuri. Ni kutofatilia mada na majibu mazuri watoayo wadau humu. Nitakujibu kifupi kisha utafute uzi humu ulioeleza kirefu. Taasisi za kikristo kama vyuo, mashule,hospitali na nyinginezo huwa zunapewa ruzuku baada ya kuingia makubaliano na serikali kwamba sababu zinashiriki kutoa huduma na kuboresha maendeleo(kwa watu wa dini zote)-kumbuka hili ni jukumu la serikali-basi serikali iwapunguzie gharama za uendeshaji kwa kuwapa ruzuku. Waliingia kwa uwazi na si kwa siri na serikali kitu kiitwacho Memorandum of Understanding-MOU. Kwa kukukumbusha,waislamu nao hawajakatazwa kabisa kuingia makubaliano kama hayo. Rais Kikwete katika hotuba yake aliyoitoa Dodoma aliwaambia waislamu mbele ya viongozi mbalimbali wa kiislamu kwamba hata taasisi za ki islamu zinaweza kuingia MOU na serikali mradi tu mtimize vigezo na masharti. Milango ipo wazi. Nilitegemea leo hii ungekuja hapa utupe feedback mmefikia wapi,badala ya kila siku kuuliza kitu ambacho mlishaeleweshwa nini cha kufanya!
 
Mpumbavu mimi au wewe unaeng'ang'ania the law of idiocy na kufuata mkumbo as if you think by your bo...m. Kazi ya mahakama ya kadhi ni kusimamia sharia, means there is no way unaweza kuwa na Kadhi bila ku lure a Sharia law we boya usiyetaka kuelewa.

We boya LoyalTzCitizen unajua nini kuhusu Sharia Law ??!..........hata hilo neno 'Sharia' limechukuliwa na kiswahili kufanywa neno 'Sheria'
Uislaam umekamilika we Mgalatia, kuanzia nyanja ya uchumi na biashara (hakuna dhulma ya riba), jamii (Mahakama ya Kadhi) na Mahakama ya Jinai (Criminal) na ndio maana unaona Mabenki yanafungua vitengo vya Sheri Law katika Biashara.
 
Mbona Mahakama ya Biashara inatumia kodi zetu wakati sisi wengine hatuuzi hata Mchicha !? ....msifiche chuki yenu, hakuna jambo la msingi kama mirathi litolewe uamuzi na baraza lisilo na mandate na authority.
Au linapozungumziwa suala la mirathi mnaona ni kama urithi wa baiskeli na begi la nguo !?
Kuna kesi ya Jaji mmoja maarufu, alikuwa na mtoto, na huyo mtoto wa nje ameenda mahakama kuu kuzuia taratibu za mirathi.
Hii ndo mnaona haki Wagalatia !?:spit:

Mahakama zote, kuanzia mahakama za mwanzo hadi makahama kuu, kesi zote au mashauri karibu yote yanayosikilizwa na mahakama hizo yanahusu familia za kiislam.
 
Mkuu mara nyingi nimeona watu wanasema humu kwamba mbona taasisi za ki kristu(si makanisa)zinapewa ruzuku waislamu hawaulizi. Jambo hili kuna uzi humu umelifafanua vizuri. Ni kutofatilia mada na majibu mazuri watoayo wadau humu. Nitakujibu kifupi kisha utafute uzi humu ulioeleza kirefu. Taasisi za kikristo kama vyuo, mashule,hospitali na nyinginezo huwa zunapewa ruzuku baada ya kuingia makubaliano na serikali kwamba sababu zinashiriki kutoa huduma na kuboresha maendeleo(kwa watu wa dini zote)-kumbuka hili ni jukumu la serikali-basi serikali iwapunguzie gharama za uendeshaji kwa kuwapa ruzuku. Waliingia kwa uwazi na si kwa siri na serikali kitu kiitwacho Memorandum of Understanding-MOU. Kwa kukukumbusha,waislamu nao hawajakatazwa kabisa kuingia makubaliano kama hayo. Rais Kikwete katika hotuba yake aliyoitoa Dodoma aliwaambia waislamu mbele ya viongozi mbalimbali wa kiislamu kwamba hata taasisi za ki islamu zinaweza kuingia MOU na serikali mradi tu mtimize vigezo na masharti. Milango ipo wazi. Nilitegemea leo hii ungekuja hapa utupe feedback mmefikia wapi,badala ya kila siku kuuliza kitu ambacho mlishaeleweshwa nini cha kufanya!

Pelekeni Ufisadi wenu huko kwa kutumia mgongo wa taasisi zenu !.........kama serikali ina Mabilioni ya kuwahongo kwa nini isijenge Taasisi zake na badala yake ijaze Mbailioni kwenye Makanisa !?..............Hiyo Hospitali kama KCMC au Seliani ina nafuu gani inayomuwezesha mtu wa kawaida akatibiwa hapo !? Ufisadi nyinyi kwenu ni sehemu ya Ibada. Swat
 
Back
Top Bottom