Hivi wewe mtu na akili zako timamu huoni kuwa itakuwa ni moral contradiction kuwa na mahakama ya kadhi, mfano leo unaona dhahir kuwa tumekuwa ndugu moja mpaka hata kuzaliana ktk dini tofautitofauti wakati mwingine hata pasipo kuoana sasa ikija hiyo mahakama yako na kudai watoto wa muislamu aliyezaa na mtu wa dini nyingine huoni kuwa hiyo kwanza italeta zogo maana muislamu atapeleka kesi kwenye mahakama ya kadhi na yule wa dini nyingine atalazimishwa kuingia ktk sheria isiyoendana na imani yake. Huh hiyo tosha inaleta mkaraganyiko?? kuna mifano mingi sana ambayo italeta tafrani ktk jamii yetu ambayo huenda hata ikahatarisha maisha ya watu. You need to be serious man!
Ndugu zangu mambo yanayoendelea huko bungeni kuhusu mahakama ya kadhi yanasikitisha sana. Inavyooelekea mahakama hiyo inaenda kukubalika kutokana na hoja zinazotolewa na ndugu zetu waislamu. Jambo hili linanitisha sana kwa sababu hakuna mtu anayepinga hoja hii, na kila mwakilishi wa kikristo akisimama anakwepa kabisa kuongelea jambo hili.
Mimi kama mwananchi wa kawaida kabisa, ninawatahadharisha kwamba iwapo mtajaribu kuweka jambo lolote linalohusu mahakama ya kadhi sisi WAKRISTO (CHRISTIANS) tutapiga kura ya hapana kwa katiba itakayopendekezwa. Nawahakikishia ndugu wajumbe wa bunge maalumu, hakuna mkristo atakaye iunga mkono katiba hiyo na haitopita.
Jambo hili tumelipigia kelele kwa muda mrefu kwamba mambo ya dini binafsi yaamuliwe na dini husika. Sasa wajumbe wanavyojitoa ufahamu na kusahu kwamba hii sio nchi ya kiislamu, waendelee kujadili dini yao na waipitishe, ila nina apa iwapo jambo la kadhi litakuwepo, basi ni kura ya hapana kwa wakristo wote.
Mwisho, naomba wajumbe wa BMK wajadili mambo ambayo hayaamshi hisia za kidini na wajikite kwenye hoja zinazogusa watu wote, wasipofanya hivyo na wakajisahau, basi wasije wakamlaumu mtu.
Kaafi...ri hata umweke kwenye chupa ya soda atatoa kidolee
we kama nanindugu zangu mambo yanayoendelea huko bungeni kuhusu mahakama ya kadhi yanasikitisha sana. Inavyooelekea mahakama hiyo inaenda kukubalika kutokana na hoja zinazotolewa na ndugu zetu waislamu. Jambo hili linanitisha sana kwa sababu hakuna mtu anayepinga hoja hii, na kila mwakilishi wa kikristo akisimama anakwepa kabisa kuongelea jambo hili.
Mimi kama mwananchi wa kawaida kabisa, ninawatahadharisha kwamba iwapo mtajaribu kuweka jambo lolote linalohusu mahakama ya kadhi sisi wakristo (christians) tutapiga kura ya hapana kwa katiba itakayopendekezwa. Nawahakikishia ndugu wajumbe wa bunge maalumu, hakuna mkristo atakaye iunga mkono katiba hiyo na haitopita.
Jambo hili tumelipigia kelele kwa muda mrefu kwamba mambo ya dini binafsi yaamuliwe na dini husika. Sasa wajumbe wanavyojitoa ufahamu na kusahu kwamba hii sio nchi ya kiislamu, waendelee kujadili dini yao na waipitishe, ila nina apa iwapo jambo la kadhi litakuwepo, basi ni kura ya hapana kwa wakristo wote.
Mwisho, naomba wajumbe wa bmk wajadili mambo ambayo hayaamshi hisia za kidini na wajikite kwenye whoja zinazogusa watu wote, wasipofanya hivyo na wakajisahau, basi wasije wakamlaumu mtu.
Huh! sidhani kama unfuatilia sana mambo ya habari kuhusu tafrani za sharia law mkuu (courtesy of kadhi courts) angalia mfano wa Meriam Ibrahim pale Sudan na maamuzi yake ya kufuata dini ya kikristo and what happened to her!?? naona kama sasa tunaanza kuchoshwa na amani hizi na tunatamani kuona damu zinamwagika sasa. Mkumbuke huyo Meriam Ibrahim aliyejiamulia binafsi kwa matakwa yake kufuata dini nyingine sababu mzazi wake mmoja alikuwa na imani hiyo kwanza kabla hatujaenda mbali
![]()
We kafiri hapa ndipo ulipo onyesha upumbavu wako! Tofautisha mahakama ya kadhi na shari law ya sudan. Tungekua tunataka sharia law itumike Tanzania,tusinge tumia katiba inayotungwa bungeni bali tungetumia Quraan na hadith sahihi. Acha kufata mkumbo kama nyumbu.
Kenya ni nchi ya kiislam...?
Uganda ni nchi ya kiislam..?
umburula tu unakuzingua
Kwa nn hamuombi sharia sasa ambayo mngetumia quran na hadithi za alfu lela ulela?
Nyie ndo mnasababisha tuendelee kuwa masikini
Sasa kenya na uganda ndo Tanzania? Au unazitumia kama reference kwa kigezo gani? Basi raisi wa sasa akae madarakani kama Raisi museven wa Uganda kama unadhani hizi ni nchi zinazofanana.
Acha ushabiki wa kidini hiyo mahakama haina tija kwa taifa, kama wewe ni muislamu uliyeiva hamia huko iraq, pakstan, sudan etc. Mbona hayo manchi yenu yenye vurugu yako mengi tu siuende?
Sisi hatuwezi kukuletea umaskini bali mlaumu baba na mama yako kwa uvivu wao ndio umekuletea umaskini na badala ya wewe kutafta pesa kaa kijiweni uone kama hutaolewa. Mahakama ya kadhi ni ya wa Islam na si ya makafiri.
Sasa kenya na uganda ndo Tanzania? Au unazitumia kama reference kwa kigezo gani? Basi raisi wa sasa akae madarakani kama Raisi museven wa Uganda kama unadhani hizi ni nchi zinazofanana.
Acha ushabiki wa kidini hiyo mahakama haina tija kwa taifa, kama wewe ni muislamu uliyeiva hamia huko iraq, pakstan, sudan etc. Mbona hayo manchi yenu yenye vurugu yako mengi tu siuende?