Kuhusu mahakama ya kadhi

Kuhusu mahakama ya kadhi

Naomba mlete kifungu kutoka kwenye msahafu kinachosema mahakama ya kadhi iwepo kwenye katiba za nchi.Na pia watekelezaji wawe ni serikali.

Matayo 5

25 Patana na mshitaki wako upesi, wakati
uwapo pamoja naye njiani; yule mshitaki asije
akakupeleka kwa kadhi, na kadhi akakupeleka
kwa askari, ukatupwa gerezani.

Yesu alizungumza mambo ya msingi na kadhi alikuwepo wakati wa Yesu.Labda kama kanisani hamsomewi
 
Matayo 525 Patana na mshitaki wako upesi, wakatiuwapo pamoja naye njiani; yule mshitaki asijeakakupeleka kwa kadhi, na kadhi akakupelekakwa askari, ukatupwa gerezani.Yesu alizungumza mambo ya msingi na kadhi alikuwepo wakati wa Yesu.Labda kama kanisani hamsomewi
Kwa hiyo kwenye Quran hamna hilo andiko? Halafu hivi huwa unaielewa Biblia au umesoma tu huo mstari kama kasuku?
 
Matayo 5

25 Patana na mshitaki wako upesi, wakati
uwapo pamoja naye njiani; yule mshitaki asije
akakupeleka kwa kadhi, na kadhi akakupeleka
kwa askari, ukatupwa gerezani.

Yesu alizungumza mambo ya msingi na kadhi alikuwepo wakati wa Yesu.Labda kama kanisani hamsomewi

Kwa hiyo kwenye Quran hamna hilo andiko? Halafu hivi huwa unaielewa Biblia au umesoma tu huo mstari kama kasuku?

Mkuu kyumana badala ya kumkaripia mkuu Mwiba mi nadhani ungetoa hayo maelezo ya hio matayo 5 unavyoilewa wewe ili tupate kujifunza kutoka kwako.
Je hapo KADHI anaetajwa na Mwiba Sio huyo aliyetajwa na Yesu?

Karibu mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Matayo 525 Patana na mshitaki wako upesi, wakatiuwapo pamoja naye njiani; yule mshitaki asijeakakupeleka kwa kadhi, na kadhi akakupelekakwa askari, ukatupwa gerezani.Yesu alizungumza mambo ya msingi na kadhi alikuwepo wakati wa Yesu.Labda kama kanisani hamsomewi
Huyo jamaa kwanza ni mjeuri,mwambie pia alete na version ya Kiingereza then ujue kwa mazingira yao ya kipindi kile walimaanisha nini? Akileta hiyo verse kwa kiingereza utajua tu.Hata hivyo Katika Imani yetu yale ni mafundisho aliyotoa akimtaka binadamu kufanya mema akiwa bado hai,kutubu makosa yake akiwa hai.Sio Asubiri afe akiwa hajawa katika hali ya usafi wa roho.Maana hakutakuwa na mjadala siku ya hukumu.Ila itakuwa ni kutupwa motoni tu.Hata hivyo nilimuomba anukuu kwenye msahafu wao japo hajafanya hivo.
 
Hoja hujibiwa kwa hoja sio kulalamika, amenukuliwa yesu ww unaleta habari za roho na moto usikimbie jibu hoja
 
Hoja hujibiwa kwa hoja sio kulalamika, amenukuliwa yesu ww unaleta habari za roho na moto usikimbie jibu hoja
Sio kila wanafunzi darasani huwa wanaelewa wengine ni wazito kuelewa.Nilimuuliza anajua Yale maandiko kwenye Biblia huwa yanamaanisha nini?Hoja ipi haijajibiwa?
 
.....ndio maana tunawaeleza uelewa wenu ni mdogo ! Watu wakiamua kupelekana Mahakamani kuna hiari tena !?
Mbona kesi za Mke na mume kuachana zinapelekwa Mahakamani na wakati wa kuoana ilikuwa vigelegele na manywaji !?
Mahakama itakapo amua kutengua ambayo watu waliokuwa mke na mume wameshtakiana na mali kuamua igaiwe sawa kwa sawa, mwanaume akakataa au kuficha mali, hatua gani itachukuliwa kuhakikisha haki inatendeka !?
Au Mahakama ina amua nyumba iuzwe, mmoja wapo hataki, Je, hatua gani zichukuliwa ikiwa hukumu tayari imetoka !?
Je, Polisi na Madalali hawatahusika !?? Nanren

Hukuelewa swali langu.
Rudia post niliyoku-quote halafu fikiria kwa undani.
Maamuzi yoyote ya kidini yanabaki kuwa ya kidini. Kulazimisha serikali itumie nguvu za dola (kama polisi au mahakama za kawaida) ku-enforce maamuzi ya kidini, hakukubaliki kiimani.

Kwa sisi wakristo, mahakama za kawaida au serikali haziwezi kutengua ndoa. Zitatengua kidunia, lakini sio kiimani. Nilitegemea kuwa maamuzi ya mahakama ya kadhi hayahitaji polisi wala dalali kwa vile, waliopelekana kwa kadhi (kama sehemu ya ibada) wamefanya hivyo kwa imani yao, na kwamba muumini wa kweli anatakiwa kufata maamuzi ya kadhi bila SHURTI.
 
Matayo 5

25 Patana na mshitaki wako upesi, wakati
uwapo pamoja naye njiani; yule mshitaki asije
akakupeleka kwa kadhi, na kadhi akakupeleka
kwa askari, ukatupwa gerezani.

Yesu alizungumza mambo ya msingi na kadhi alikuwepo wakati wa Yesu.Labda kama kanisani hamsomewi

Matthew 5:25 Agree with thine adversary quickly, whiles thou art in the way with him; lest at any time the adversary deliver thee to the judge, and the judge deliver thee to the officer, and thou be cast into prison.

I don't see any word that says "Kadhi" BUT Judge "Hakimu".

Mnachakachua mpaka Biblia. SASA Soma Biblia ya Kiswahili:

Matayo 5:
25"Patana na mshtaki wako upesi wakati uwapo njiani pamoja naye kwenda mahakamani, ili mshtaki wako asije akakutia mikononi mwa hakimu, naye hakimu akakutia mikononi mwa walinzi, nawe ukatupwa gerezani.
http://www.biblica.com/uploads/pdf-files/bibles/swahili/nt/bible-swahili-matthew.pdf

HIVI NYIE WAISLAM, Huwa mnalipwa mnapo DANGANYA?
 
Sasa mnashindana na jambo la Waislaam ili iweje !?......Mahakama ya Kadhi itakupunguzia nini ?!

itanipunguzia mzigo wa kodi kwa kuwa mahakama hiyo itakuwa ikiendeshwa kwa kodi za watanzania wote bila kujali dini zetu (kristo, islamu, budha, hindu, pagani,etc).
 
Mijitu kama hii tpaul unakuta ni yale mijitu yenye dhiki, husda, na choyo. Akimuona jirani yake amenunua baiskeli basi siku hiyo halali anawaza aibe hio baiskel ili wakose wote. Nakushauri tpaul acha upumbavu usiwaze kuiba baiskel bali waza utapataje pikipiki ili umzidi jiran yako. tpaul usiwaze waislamu wata kosaje mahakama ya kadhi, bali waza mtafanya nini ili muwazidi waislam na mahakama yao ya kadhi

Mkuu, ikiwa jirani kanunua baskeli kwa matumizi yake binafsi lakini linapokuja suala la kuifanyia service baskeli hiyo wanakijiji wote huchangishwa fedha za kufanyia service, ni sawa na ni haki kabisa kuichukua baskeli hiyo na kuitosa kwenye kina kirefu cha bahari ili kujiondolea adha ya kuchangishwa fedha kwa chombo kisichonihusu na kisichonisaidia. Umeona eeh?
 
Last edited by a moderator:
Kwani Wakiristu na Makafiri ndio walipa Kodi peke yao !?
Hii Mahakama isipopita MoU nayo itakufa.
Mnachukuwa mabilioni ya pesa kwa ajili ya kujengea mahekalu yakuwekea masanamu.

Mkuu, you are a verified user and you have to show that through your posts/comments. Hivi pesa za kujengea masanamu unazosema ni kodi za wananchi? Hivi hujui kwamba mahamaka haya ya kiislamu yatakuwa yakiendeshwa kwa kodi za wananchi wote [(wakristo, wapagani, wabudha, waabudu samanu)---MAKAFIR, waislamu, nk]. Sasa iweje mahama za kiislamu ziendeshwe kwa kodi za watu wa dini zingine? Hiyo ni sawa?
 
Mkuu, you are a verified user and you have to show that through your posts/comments. Hivi pesa za kujengea masanamu unazosema ni kodi za wananchi? Hivi hujui kwamba mahamaka haya ya kiislamu yatakuwa yakiendeshwa kwa kodi za wananchi wote [(wakristo, wapagani, wabudha, waabudu samanu)---MAKAFIR, waislamu, nk]. Sasa iweje mahama za kiislamu ziendeshwe kwa kodi za watu wa dini zingine? Hiyo ni sawa?

Kwani mahakama za biaashara wote sisi wafanya biashara?
Kesi za urithi na mirathi ukigunhua sio bure kuna fees unalipa.
Na hakimu ni mwanasheria kama mahakimu wengine sio masheikh.
Kwenye urithi kuna pasenti huchukuliwa na serikali kama mgao.
Hivyo itajiendesha.
Hio garama ya mishahara na makaratasi tu imekua nongwa kwa wakristo...duh roho mbaya na umimi unawasumbua.
Kama suala hili sabanu ni gharama sasa ni wakati waislam lazima wazuie misaada na fedha wanazopewa tasisi za kikirosto
Lazima serikali iweke wazi mgao kwa makundi ya dini.
Ujinga huu ufike kikomo kila mtu ajiendeshe mwenyewe.
 
Mkuu, you are a verified user and you have to show that through your posts/comments. Hivi pesa za kujengea masanamu unazosema ni kodi za wananchi? Hivi hujui kwamba mahamaka haya ya kiislamu yatakuwa yakiendeshwa kwa kodi za wananchi wote [(wakristo, wapagani, wabudha, waabudu samanu)---MAKAFIR, waislamu, nk]. Sasa iweje mahama za kiislamu ziendeshwe kwa kodi za watu wa dini zingine? Hiyo ni sawa?

Hizo pesa za MoU mnazo chukuwa kuimarisha Makanisa ni Kodi za akina nani !?............comments zangu ni reaction ya commet huzika niliyo quote !
 
itanipunguzia mzigo wa kodi kwa kuwa mahakama hiyo itakuwa ikiendeshwa kwa kodi za watanzania wote bila kujali dini zetu (kristo, islamu, budha, hindu, pagani,etc).

Mbona huoni mzigo wa kodi uliowekewe na Makanisa kwa kuchukuwa mabilioni ya pesa hazina na kupeleka makanisani !??:A S 109:
 

Matthew 5:25 Agree with thine adversary quickly, whiles thou art in the way with him; lest at any time the adversary deliver thee to the judge, and the judge deliver thee to the officer, and thou be cast into prison.

I don't see any word that says "Kadhi" BUT Judge "Hakimu".

Mnachakachua mpaka Biblia. SASA Soma Biblia ya Kiswahili:

Matayo 5:
25"Patana na mshtaki wako upesi wakati uwapo njiani pamoja naye kwenda mahakamani, ili mshtaki wako asije akakutia mikononi mwa hakimu, naye hakimu akakutia mikononi mwa walinzi, nawe ukatupwa gerezani.
http://www.biblica.com/uploads/pdf-files/bibles/swahili/nt/bible-swahili-matthew.pdf

HIVI NYIE WAISLAM, Huwa mnalipwa mnapo DANGANYA?

Kadhi maana yake ni Hakimu tu !
 
Hukuelewa swali langu.
Rudia post niliyoku-quote halafu fikiria kwa undani.
Maamuzi yoyote ya kidini yanabaki kuwa ya kidini. Kulazimisha serikali itumie nguvu za dola (kama polisi au mahakama za kawaida) ku-enforce maamuzi ya kidini, hakukubaliki kiimani.

Kwa sisi wakristo, mahakama za kawaida au serikali haziwezi kutengua ndoa. Zitatengua kidunia, lakini sio kiimani. Nilitegemea kuwa maamuzi ya mahakama ya kadhi hayahitaji polisi wala dalali kwa vile, waliopelekana kwa kadhi (kama sehemu ya ibada) wamefanya hivyo kwa imani yao, na kwamba muumini wa kweli anatakiwa kufata maamuzi ya kadhi bila SHURTI.

Hayo ni maneno yako na kwa imani yako ! Hata Yesu alikamatwa na Askari na akapelekwa Mahakamani kwa pilato !
Sisi ndiyo tunaotaka na hatuombi ushauri kwenu jinsi ya kuiendesha kwani utaratibu tunaujua !
 
Kuna rafiki zangu wa huko Uganda na Kenya waislam wanasema hizo mahakama za kadhi siyo nzuri na hazitoi haki hasa kwa wanawake wa kiislam. Cha kushangaza wao ndio loudest huko bungeni kuidai mahakama hiyo!

....cha kushangaza ni wewe unaye shuhudia hazitoi haki, wakati hazikuhusu wala 'wanyimwa' haki hawajawahi kuja lwako kulalamika.
Upotoshaji tuu unawasumbua kwa roho mbaya !
 
These are ayats from your deity. They are against women, to wit
Muslim law regards women as less than men in matters of both marriage and divorce, as well as devolution of property: Holy Quran Surah 2:228-232, and Surah 65:1-7 (only a man may divorce his wife even if he is required to provide for her); a man may beat his wife, even if lightly, the evidence of two women, is equal to evidence of one man (Surah 2:282). The application of such beliefs of faith are contrary to the Constitution of Tanzania

Mngekuwa mnawapenda sana wanawake na mnalinda haki zao, basi msingeolewa na wanaume wenzenu !
😛eep: TanzaniaLaw
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom