Kuhusu mahakama ya kadhi

Kuhusu mahakama ya kadhi

Naomba mlete kifungu kutoka kwenye msahafu kinachosema mahakama ya kadhi iwepo kwenye katiba za nchi.Na pia watekelezaji wawe ni serikali.
 
Katafute viroba unywe wewe !
Kuna rafiki zangu wa huko Uganda na Kenya waislam wanasema hizo mahakama za kadhi siyo nzuri na hazitoi haki hasa kwa wanawake wa kiislam. Cha kushangaza wao ndio loudest huko bungeni kuidai mahakama hiyo!
 
Acheni cha waislam kiwe cha waislam. Ninyi makafiri mnajadili mahakama ya kadhi ya nini? Nanyinyi Ombeni sheria ya ushoga iingie kwenye katiba kwani mabwana zenu wanapeana mpaka uaskofu wakiwa mashoga.
 
Acheni cha waislam kiwe cha waislam. Ninyi makafiri mnajadili mahakama ya kadhi ya nini? Nanyinyi Ombeni sheria ya ushoga iingie kwenye katiba kwani mabwana zenu wanapeana mpaka uaskofu wakiwa mashoga.

Atleast hawaitaji msaada wa serikali kuwa mashoga ni sadaka zao

Sasa wewe ibada yako inanihusu nini mimi hadi utumie kodi Zetu?
Hivi kwanini mnapenda mdebwedo sana ninyi?
 
Wanamacho hawaoni,wanamasikio hawasikii,wakristo niwepesi sana kukimbilia kwenye udini.mbona kunamgombea urais wa chama fulani nipadrii na waisilam wanamunga mkono?
 
Asante wewe ni mpumb.avu wa kutupwaa !

It is obligatory for a Muslim to lie if the purpose is obligatory and is known as Taqiyya (Islamic Deception). That means that for the sake of abiding with Islam's commandments, such as jihad, a Muslim is obliged to lie and should not have any feelings of guilt or shame associated with this kind of lying. (Islamic Sharia Law)
 
Wanamacho hawaoni,wanamasikio hawasikii,wakristo niwepesi sana kukimbilia kwenye udini.mbona kunamgombea urais wa chama fulani nipadrii na waisilam wanamunga mkono?

Kuna siku umesikia anataja dini yake kama sehemu ya kuomba kuchaguliwa?
Nani aliyewahi kua raisi na asiwe na dini? Mbona baba riz ni muislam hatujaongelea dini yake? Na hutasikia mtu akihoji dini ya raisi kwa sababu dini kwenye katiba yetu haipo, hivyo mtu wa dini yoyote anaweza kua raisi awe shekhe, awe padre etc.
 
Acheni cha waislam kiwe cha waislam. Ninyi makafiri mnajadili mahakama ya kadhi ya nini? Nanyinyi Ombeni sheria ya ushoga iingie kwenye katiba kwani mabwana zenu wanapeana mpaka uaskofu wakiwa mashoga.

Hili linatuhusu mkuu kwa sababu mnataka liingie kwenye katiba,kumbuka katiba ni yetu sote hivyo hatutaki impendelee mtu yeyote awe kafiri awe gaidi hatutaki. Kama hiyo kitu ni muhimu sana kwenu basi anzisheni hata kila kaya ila kwenye katiba ndo hatuitaki.
 
Hili linatuhusu mkuu kwa sababu mnataka liingie kwenye katiba,kumbuka katiba ni yetu sote hivyo hatutaki impendelee mtu yeyote awe kafiri awe gaidi hatutaki. Kama hiyo kitu ni muhimu sana kwenu basi anzisheni hata kila kaya ila kwenye katiba ndo hatuitaki.

Ikiwa wakulima na wavuvi wamo ni kwa ni nini wamo ? Na Kwa nini Waislamu wasiwemo ? Kama mnaamua kuwatenga basi inakuwaje mnaikubali Bakwata ? AU mpaka muambiwe na Bakwata ? Inawezekana hamuelewi umaana wa hiyo mahakama ya Kadhi ,hivi mnaogopa kitu gani ?
 
Ikiwa wakulima na wavuvi wamo ni kwa ni nini wamo ? Na Kwa nini Waislamu wasiwemo ? Kama mnaamua kuwatenga basi inakuwaje mnaikubali Bakwata ? AU mpaka muambiwe na Bakwata ? Inawezekana hamuelewi umaana wa hiyo mahakama ya Kadhi ,hivi mnaogopa kitu gani ?

Hahahaaaa mkuu wewe ni mashudu sana, sasa unaona makundi ya wakulima na wafugaji ni dhana ya kiimani?? Kwa hiyo ukulima na uvuvi ni sawa na dini?? Tanzania tunasafari ndefu jamani.
Ukulima na ufugaji ni shughuri za watu wanafanya na kujipatia kipato, hata hivyo huchangia mambo mengi katika nchi ikiwemo kuchangia kuinua uchumi na issue ya food security.
Leo hii unauona ukulima na ufugaji kama imani!!! Duuuh wewe ni muislam uliye shallow kuliko wote, linganisha imani kwa imani, shughuli kwa shughuli et al.
Hatuogopi chochote ila hatutaki sheria za nchi zichanganywe na mambo ya kiimani.
Mahakama ya kadhi ruksa ila sio kuiweka kwenye katiba ya watanzania, nyie anzusheni huko kimpango wenu.
 
Haaa....haaa..haaa ! Huwezi kuzisherehesha sheria za Kiislaam wakati kuna watu wanasoma mpaka kupata Ph.D !
Nikuulize....mwanamke ni sawa na mwanaume !? yaani mapungufu ya mwanamke ni sawa na mapungufu ya mwanamke !?
Kwa nini Magereza yote yamejaa Wanaume na si Wanawake !?
Ni nani ameumbwa (by nature) kufanya uamuzi kwa hisia na emotion kati ya mwanaume na mwanamke !?
Ukiyajibu hayo maswali kwa haki, ndio utaelewa maana ya ushahidi wa wanawake wawili ni sawa na mwanaume mmoja!
Mwanamke hata akiwa na power na uwezo vipi lazima atategemea guidance ya Mwanaume. TanzaniaLaw
These are ayats from your deity. They are against women, to wit
Muslim law regards women as less than men in matters of both marriage and divorce, as well as devolution of property: Holy Quran Surah 2:228-232, and Surah 65:1-7 (only a man may divorce his wife even if he is required to provide for her); a man may beat his wife, even if lightly, the evidence of two women, is equal to evidence of one man (Surah 2:282). The application of such beliefs of faith are contrary to the Constitution of Tanzania
 
Ikiwa wakulima na wavuvi wamo ni kwa ni nini wamo ? Na Kwa nini Waislamu wasiwemo ? Kama mnaamua kuwatenga basi inakuwaje mnaikubali Bakwata ? AU mpaka muambiwe na Bakwata ? Inawezekana hamuelewi umaana wa hiyo mahakama ya Kadhi ,hivi mnaogopa kitu gani ?
Some of those people are Muslims, so, why are you saying Muslims are not inclusive?
 
Povu linakutoka mkuu, anzisheni kisela ila kuiweka kwenye katiba ndo hatutaki, fuatilia takweimu ujue kati ya wakristo na waislam wapi idadi yao ni kubwa, ukishajua hilo utaelewa kwamba hiyo mahakama yenu itakuepo au mnapoteza muda.

Ndio mnavyojidanganya mko wengi kama mpo wengi mbona mlikataa kipengele cha dini kisiwepo katika sensa???? Fumbo mfumbie mjinga mwerevu hungamua Mahakama ya Kadhi itakuja tu mkitaka msitake.
 
Back
Top Bottom