Kuhangaika na Mahusiano ya Kimapenzi katika zama hizi ni kupoteza Muda

Hyrax

JF-Expert Member
May 20, 2023
604
1,534
Baada ya purukushani za muda mrefu sana na haya maisha nimegundua kukosa umakini wa kufikiri na kuamua mambo kwa weledi yamepeleka mahusiano ya mapenzi kuwa ndio chanzo kikuu cha watu wengi kupoteza mielekeo mizuri ya maisha.

Ujana, utu uzima na uzee una mambo mengi sana ambayo huwezi kuyatenganisha na mahusiano ya mapenzi lakini katika hayo ndio yamewafanya wengi wamepatwa na ugonjwa mbaya wa ukosefu wa afya njema ya akili, wen wengi wameenda jela, wengi wamejiua, wengi wamefilisika kwenye biashara, wengi wamefukuzwa kazi, wengi wameishilia kubaya na mpaka sasa wanajuta kwa nguvu, akili na rasilimali za kila namna walizozitumia kwasababu mahusiano ya mapenzi.

Kuyatukuza mapenzi kuliko mambo mengine ya msingi ni sawa na kuvua nguo mbele ya kioo cha wanakijiji. UTADHALILIKA NA KUFEDHEKA SANA. Uwe makini
 
Mapenzi ni mazuri sana na ndio njia pekee salama kustawisha familia watu wapendane waoane then wawe na familia

Maumivu na bahat mbaya zetu binafs ndo zimetufisha hapa ,tunafedheka tunasahau tunapenda Tena kunawatu wameanza kupenda na Bahat wakapendwa na hawajapitia mabaya na wanaenjoy maisha

Sie wenye bahat mbaya tuendelee kujifukiza
 
Mapenzi ni mazuri sana na ndio njia pekee salama kustawisha familia watu wapendane waoane then wawe na familia

Maumivu na bahat mbaya zetu binafs ndo zimetufisha hapa ,tunafedheka tunasahau tunapenda Tena kunawatu wameanza kupenda na Bahat wakapendwa na hawajapitia mabaya na wanaenjoy maisha

Sie wenye bahat mbaya tuendelee kujifukiza
Tatizo linaanza pale lengo la urafiki wenu ni lipi? Mje kuishi pamoja kama mume na mke au kulana kishikaji?

Shida inakuja mmoja yuko serious mwingine kama ni kidume anataka tu kusuuza rungu asepe

Na wadada wajitahidi kuwa wife material la sivyo sehemu nyeti zitachezewa na kila de libolo
 
Back
Top Bottom