Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,239
- 1,884
Sitosahau March 29, 2018 siku aliyoondoka kwa ajali iliyohusisha mabasi mawili na kupelekea vifo vya takribani watu 12 na yeye akiwemo (papo hapo alikatika miguu, mkono wa kulia na chuma kuingia jichoni).
Sisi wengine tuliumia vibaya na kuachiwa majeraha/makovu na ulemavu usiotarajiwa.
Lakini yote kwa yote tuliendelea kumshukuru Mungu, na kumwombea aendelee kupumzika mahala ambapo Bwana Mungu alimwandalia.
Imeniwia vigumu kuifuata hii namba yake mpaka leo 😪.