JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,412
- 9,696
Unaforce Sheria.kifo hakifuti deni. ni mdaiwa lazima amlipe. tena sasa ndiyo itamuwea vigumu maana msimamizi wa mirathi na mahakama vitampa deadline ili mali za marehemu zigawanywe kwa warithi
Mali ya kudai inabaki hivo hivo.