Tundu Lissu...unasema habari uliisoma kwenye gazeti la mawio?Alijaribu Masters ikakohoa.
Lissu: Umesoma?Hawa ndiyo mawakili wanaogalagazwa na Lisu.
Hahahahaha kazi kweli kweliMbeya kwa majina jmn eti
Mwakabashite Mwakavyeti
Hahahahaaa... Heshima yako Daudiya bashite imejifuta automatically
Sky, unamfahamu? Hivi alighushi vipi matokeo? anafanya mtihani records zinatunzwa na chuo, sasa anaghushi vipi matokeo? NielewesheAlijaribu Masters ikakohoa.
Nilimaanisha Bashite mkuu.Sky, unamfahamu? Hivi alighushi vipi matokeo? anafanya mtihani records zinatunzwa na chuo, sasa anaghushi vipi matokeo? Nieleweshe
ha ha ha ha huyu Lissu anatakiwa bishiwa kwa force ukimpeleka kisheria anakugaragaza!Lissu: Umesoma?
Shahidi: Ndio.
Lissu: Una uelewa kidogo wa mambo ya Sheria?
Shahidi; Mi hayo mambo ya Sheria za mahakamani sijui, maana nilisoma Physics.
Lissu: Hata Newton's law of motion si Sheria pia? Nayo hujui?
Shahidi; Najua ....zipo kama tatu.
Lissu: OK, ok ...Sasa unaweza kutuambia why the last drop of urine doesn't obey the law of gravity unless you shake it well?
Shahidi: Mimi hiyo sijasoma.
Lissu; Kitu ulicho sema unakifahamu sasa unasema hujui, sasa huoni hata huo ushahidi unaosema ulikuwepo, hapa unaweza kuwa unaongea kitu usicho kijua?
Shahidi: Sijui
Teh teh....weweeee......!!!!Mimi Kwangu wasithubutu Nitawaroga aisee!
nakuhakikishia ile certificate ya mzumbe ukiwa kilaza huwezi pita kuingia degreemzumbe chuo changu kinaongoza kwa digrii za janja janja...
watu wengi wanaishia form 4 tu na wanakuja mzumbe na kusoma certificate course 1 year kisha mwaka unaofata wanaingia kusoma digriii na wanatunukiwa hizo janja janja digriii
mfano hai ni mtoto wa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano anaitwa nancy
Teh teh....weweeee......!!!!
Aisee......mzumbe chuo changu kinaongoza kwa digrii za janja janja...
watu wengi wanaishia form 4 tu na wanakuja mzumbe na kusoma certificate course 1 year kisha mwaka unaofata wanaingia kusoma digriii na wanatunukiwa hizo janja janja digriii
mfano hai ni mtoto wa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano anaitwa nancy
Chuoni?sie bana kampeni zetu hapa hapa.tunakesha humu humu.Kwani mmeshapeleka malalamiko huko chuoni?
Ww jamaa una dhambi kinyama....Paulo anamlilia bwana ww unambandika kireja reja!ya bashite imejifuta automatically
Usiogope ...mrembo ww ukiwa huna hata cheti kimoja .....bado utaishi a good life I assure u thatkweli haki mkuu?
Ndio la 7 nilifeli nikafanya manuva nikaenda kidato nikafaulu mpaka Masters uje univue kisa nilifeli la 7??