Kufoji vyeti: Chuo Kikuu Mzumbe wameweza kwanini MoCU( MUCCoBS) washindwe?

Now you're talking! Kimsingi haitakiwi kuwa hivyo na inaonesha jinsi kulivyo na udhaifu mkubwa katika vyombo na mifumo yetu mbali mbali. Inatakiwa watu wadakwe mapema wanapojaribu forgery za aina ya Bashite na nyinginezo badala ya kusubiria mpaka awe "mtu mkubwa". Well, aliweza kufanya manuva akafika hapo alipo sawa; na wakati alipoteuliwa hapakuwa na vetting?

Tatizo lipo kwenye vetting ndiyo maana Rais lazima aumwe na kichwa kwani system ya Ikulu imemuangusha kwa kusudi wakijua au wapo kwenye system walio kama Makonda kwa sasa wanalindana!!!!! That is my way of reasoning.
 
mzumbe chuo changu kinaongoza kwa digrii za janja janja...

watu wengi wanaishia form 4 tu na wanakuja mzumbe na kusoma certificate course 1 year kisha mwaka unaofata wanaingia kusoma digriii na wanatunukiwa hizo janja janja digriii

mfano hai ni mtoto wa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano anaitwa nancy

ili tuendelee kama wazungu inabidi tufute janja janja zote sheria isiwe na double standards kila mtu afuate sheria kila sehem
Mkata Kiu wa bweni lipi vile?
halafu nahisi ile program iliandaliwa kwa ajiri ya huyo binti tu, maana badae ilikuwa na mzozo.

By the way, kiu ulikuwa unakata wapi? Kinje, Matola, Mirambo......
 
here in Tz the edu. is so simple like that if you score 0 then simply you bashite, the game over.
wale jamaa waliokuwa wantengeneza vyeti hawawezi ktafutwa wa debashite cha jamaa? kama wapo cello watafutwe.
 
Mkata Kiu wa bweni lipi vile?
halafu nahisi ile program iliandaliwa kwa ajiri ya huyo binti tu, maana badae ilikuwa na mzozo.

By the way, kiu ulikuwa unakata wapi? Kinje, Matola, Mirambo......
Mmenikumbusha mbaliiii na hizo kiu za Mzumbe. Kingo hall, ground floor. Saa 8 usiku unakesha kujiandaa na UE, jamaa linawakatia kiu ya muziki mnene toka bweni la wahasibu. Mwingine anatoka kulewa na makelele kibao.
 
Mmenikumbusha mbaliiii na hizo kiu za Mzumbe. Kingo hall, ground floor. Saa 8 usiku unakesha kujiandaa na UE, jamaa linawakatia kiu ya muziki mnene toka bweni la wahasibu. Mwingine anatoka kulewa na makelele kibao.
Kiu zilikuwa na raha yake aisee,
Summit ya Mirambo na Kimweri ilikuwa hatari sana.
Kuna wakati vijana wa undergraduate waliwazingua Masters wa bweni la Kunambi ilikuwa patashika, kiu ilianza kufa hapo.
 

Hapa chuo hiki mimi nahisi kimefanya makosa.

Entry qualifications kitaaluma zinalenga kupata wanafunzi wenye uwezo fulani wa uelewa ambao sasa wanaweza kupewa mafunzo na wakaelimika.

hivyo kwa simple logic mtu yeyote ambaye hajafikia uelewa huo hata akifundishwa atafeli tu. Sasa kama chuo kinaweza kumchukua mtu asiye na minimum qualifications za uelewa, wakamfundisha akafaulu katika continuos assesment na akafaulu katika mtihani wa mwisho basi hata chuo chenyewe kinaweza kutiliwa shaka pia.

mtu yeyote ambaye amefaulu mchujo wa mitihani na akafika mwisho akafaulu mtihani wa mwisho, kitaaluma alikuwanazo minimum quolifications zilizotakiwa ila inawezekana hakutimiza mahitaji ya sheria. Kwangu mimi nisiye mtaalamu wa sheria naweza kudhani hilo ni kosa la kisheria zaidi kuliko kitaalauma zaidi au ni kosa la jinai na chuo hakiwezi kutumia msingi huo kufuta maksi zote alizokuwa akipata bali sasa mahakama ndiyo inayoweza kusema wewe cheti chako tunakibatilisha kwa kuwa katika kukipata ulivunja sheria sehemu fulani.

Lakini ikumbukwe kwetu sisi tusio wataalamu wa sheria tunadhani mtu anaweza kulazimika kufanya jambo fulani kutokana na mazingira yaliyowekwa iwapo itabainika kuwa taratibu zilizowekwa zimewanyima baadhi ya watu wenye sifa nafasi na hivyo kwa wao kuweza kupata haki hizo wanalazimika kuvunja taratibu zilizowekwa pengine mahakama inaweza kuagiza hawa waweka taratibu kufanya mabadiliko na huyu taaluma yake iendelee kuwa halali.

Msingi ni uleule mtu asiye na sifa anawezaje kupita michujo yote iliyoko chuoni mpaka kuonekana anastahili kutunukiwa cheti? Hii ni ishara tosha kuwa kitaaluma mtu huyu alikuwa na sifa na kama alikuwa na sifa za kitaaluma ni kwa nini alazimike kufoji cheti au vyeti vya huko nyuma? bila shaka mtu wa aina yake hakupewa nafasi bali watu wengine hivyo ilimlazimisha kuvaa wasifu wa mtu mwingine ili kupata fursa.

Tukumbuke dhana ya kutengeneza wataalamu jambo la kwanza ni la ki maarifa, haiwezekani mtu aitwe mtaalamu kwa sababu za kisheria bali sifa ya kwanza ya mtaalamu ni uelewa na hilo ndilo Vyuo vinatakiwa kusimamia. vyombo vingine vinaweza kusimamia mambo ya kisheria kwa mantiki ya kuregulate.
 
mzumbe chuo changu kinaongoza kwa digrii za janja janja...

watu wengi wanaishia form 4 tu na wanakuja mzumbe na kusoma certificate course 1 year kisha mwaka unaofata wanaingia kusoma digriii na wanatunukiwa hizo janja janja digriii

mfano hai ni mtoto wa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano anaitwa nancy

ili tuendelee kama wazungu inabidi tufute janja janja zote sheria isiwe na double standards kila mtu afuate sheria kila sehem


Wivu,Roho Mbaya na Chuki Binafsi dhidi ya katibu mkuu, ulikuwa ni utaratibu wa chuo cert mwaka mmoja then mtu anaingia digrii zaidi ya wanafunzi 10,000 wamepitia huo mchakato
 
Nancy Kamuzora alipata division one form four

MKATA KIU amesema Nancy alipo maliza form four alisoma cheti mwaka mmoja halafu akaingia kusomea digrii. Hajasema kama alipata nini hiyo form 4.

Hakuna chuo hapa Tanzania ambacho ukisoma certificate ya mwaka mmoja unaingia kusomea digrii. Haya ndo majipu yenyewe. Ilikuwa aende a level baada ya kutoka form 4 halafu ndo aingie digrii au asome ordinary diploma kabla ya kusomea digrii kama aliamua kusomea certificate baada ya form 4
 
Kiu zilikuwa na raha yake aisee,
Summit ya Mirambo na Kimweri ilikuwa hatari sana.
Kuna wakati vijana wa undergraduate waliwazingua Masters wa bweni la Kunambi ilikuwa patashika, kiu ilianza kufa hapo.
Hahahahaaa, kuna kijana alikata kiu kwa kutumia megaphone!!!!
 
Back
Top Bottom