Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,107
- 2,506
Samahani kwa yeyote nitakayemkwaza kwa hii mada lakini ni sehemu ya kubadilishana mawazo:
Ni hivi; Mtu anapofiwa kuna mawili, moja ni kulia tena kwa machozi, nyingine kulia kimya kimya machozi hayatoki. Sasa kuna watu wakifiwa na mtu wao wa karibu kabisa, kila wakijaribu walie kwa machozi hawafanikiwi, hao tuseme wana kasoro ama kuna jambo lingine linalowasumbua?
Ni hivi; Mtu anapofiwa kuna mawili, moja ni kulia tena kwa machozi, nyingine kulia kimya kimya machozi hayatoki. Sasa kuna watu wakifiwa na mtu wao wa karibu kabisa, kila wakijaribu walie kwa machozi hawafanikiwi, hao tuseme wana kasoro ama kuna jambo lingine linalowasumbua?