Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,161
- 2,668
- Thread starter
- #21
Kuna wengine ni attention seekers
wakiona watu wengi....
Mfano badala ya mtu kulilia chumbani akiwa amekaa
anakwenda kwenye dirisha linalotazama nje kwenye watu
halafu anaanza maaaaaa maa weeee
siaaaamini umetutokaaaaa
tutakwendaaa wapiii sieeeeee
wananiudhi hao,basi tu..
Aisee pole sana Boss!
Binadamu tumeumbwa tofauti, hao sijui wanatafuta nini? nadhan kuna kitu wanakitafuta vichwani mwao.