Kufananisha Dar es Salaam na Arusha

Wote sio familia ya Mengi ,Wachaga kwa Tanzania wengi wao wapo vizuri kwa kipato ila hoi hae pia wapo wengi tu..
Ila tunakubaliana ya kuwa wengi wao wanajiweza. Na hapo sijamtaja Lissu, Mbowe na wakina Lema.
 
😂subiri wakushauri uende tengeru uka kutane na mitumba grade 1
Ni sokoni?aaah mi naondoka zangu bhana hpa nina ddk 10 narudi kwenye jiji letu la vurugu
 
We sema tu umesha-miss kwenu Daslam bafu linaishia kifuani ukioga kichwa kinaonekana nje, mvua ikinyesha unapanda juu ya bati , Tv na masufuria unazikuta mtoni
Mbona hata huku kwenu mambo ndio hayohayo bro....nyie watu wa Arusha wajanja sana huko Dar mnajifanyaga huku hakuna hizo saga nineshangaa sana mambo niiyoyakuta huku😂
 
We hasidi aliyeita Arusha Geneva ya Africa ni Bill Clinton nenda mfuate Marekani. Umetoka na ushamba ulikotoka Arusha utaielewa wapi. Rudi huko kwenu ushambani.
 
Halafu mbona vijana wengi wana makovu ya visu halafu wanaongea lugha siilewi kuna nini huku jamani?
Ndiyo wajanja wa A town hao, Vipi lakin Vijana wa Dar na Vijana wa uko Arusha wapi kuna vijana Ma handsome boy ?
 
Chuga ikifika saa 3 hupati city bus, haha
Mji wa kisenge sana
 
Kama Arusha hujaipenda si urudi zako gongolamboto mkapakane majasho
Nlifika gongo la mboto kipindi cha mvua aloh hapafai unapita chini ya sgr maji + matope ndo maana watu wa dar wanachuki na arusha kwasababu wanaona hatuteseki kama wao😀
 
Watu sio wengi sana na pia wanafanya shughuli tofauti ni tofauti na daslm wengi ni kutoka asubuhi na kurudi wakimaliza kazi Arusha saa hizi mtu anaenda/kurudi Porini.
Watu wanaojifanya wanaringa na dar ni watu waliotoka mikoani wakaenda dar ukubwani kwao wanaona dar kama Paris 😀 si ajabu anaona foleni ni maendeleo
 
Kusema ukweli wazawa wa Arusha ni washamba na limbukeni sana ila Arusha kama Arusha imekaa poa sana, kama umeenda Kwa lengo la vacation utaenjoy sana ila kama ni mpitaji then utapachoka haraka sana
Umekutana wewe na washamba ambao umewaona
Watu wa arusha wangekua limbukeni wasingekua wanapokea wageni namna hyo
Wageni wote wanaotoka nje kuja tz wanaipa arusha marks kubwa kwa hospitality
Shida yenu mnajuaga kile kikundi cha wadudu ndio taswira ya Arusha fika Arusha hata wewe utawatafuta walipo
Nmezunguka nchi yote hii hamna sehemu utapata huduma bora na customer care kama Arusha
Hata watu wakitaka kufungua sehemu classic mikoa mingine watatafuta wahudumu kutoka Arusha kwasababu wao tayari wanaexposure ya kuhudumia wageni
Fanya research
 
Kiukweli kabisa Arusha kwa Dar bado sana, na huu msimu ndio inazidi kuwa bado sana tena sana.

Nimekulia Arusha, nipo Arusha ila huu mji vijana (wa 2000s) ni washamba sana na hodari kwa mambo ya kijinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…