gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,892
- 5,946
Endelea kumtetea mkuu,yaani ile shombo ya juzi ndio ikutoe usingizini? Kashavurunda mangapi kwani,endeleeni kupiga zumari tu hadi siku damu zikiwatoka masikioni ndio mtaelewa.Nlikuwa namtetea sana Makonda ila kwa upumbavu wake alioongea jana nmemdharau sana!
Jamaa ni kama hajatoka kijijini vile yani. Maneno kama yale ilitakiwa waongee kina Rizi one watoto wa mjini wasiojua shida za watu huko mashambani.
Sent using Jamii Forums mobile app