Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,595
- 2,717
Ni saa 09:00 sasa, ninavyojua mimi TCRA hawana uwezo wa kuzima line zote at once zoezi la kuzima laweza kuchukua zaidi ya mwezi, uwezo wetu kiteknolojia ni mdogo sana,Wamepitiwa na usingizi. Ngoja tusubiri asubuhi wakiamka huenda wakakumbuka kuzima line
Na kuna uwezekano wakaanza kuzia hata line ambazo zimesajiliwa kwa alama za vodole