kadendu
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 525
- 339
Matatizo ni mengi huko NIDA sasa Mimi najiuliza mbona kuna rundo la watu mkoa wa manyara wamejiandikisha tangu mwezi wa saba mwaka Jana si namba wala kitambulisho kilichotoka sasa nao watafungiwa laini zao?Hapa tatizo sio nida , tatizo ni serekali yenyewe haihitaji kuongeza ruzuku kwa nida ili nida waongeze vituo vingi vya uandikishaji , vituo vikiwa vingi zoezi linakua jepesi
Kilichobaki ni usumbufu tu kwa wananchi
Over.
Sent using Jamii Forums mobile app