MAGO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,256
- 2,975
Wewe hapa umechangia nn sasa...Usishangae huu uzi ukakosa wachangiaji.
Maana Kuna wajinga wanaamini marekani ni malaika
Marekani ni nchi ambayo marais wake zaidi ya watano wameuawa wakiwa madarakani na Donard Trump anakuwa Rais wa kama wa 7 kutokumaliza vipindi viwili huku ikionekana hakubaliani na ushindi wa Biden, hali hii inaweka tension kubwa kama Bwana Biden ataweza maliza kipindi cha kwanza bila majaribio kadhaa ya kumuua.