Kuelekea kuapishwa Biden kuwa Rais wa Marekani raia na askari hawatambuliki wote wamebeba silaha

Biden atakuwa na kazi ngumu ya kurekebisha mambo ya hovyo yaliyofanywa na utawala wa Trump, sawa na itakavyokuwa kwa yule atakayechukua madaraka mwaka 2025 Tanzania.
Huku bongo sio ishu kwasababu urais sio taasisi bali mtu anajiendea anavyotaka mwenyewe. Nchi haina dira kabisa.
 
Na hii hali ya sasa inchi ina tension,watu walipata ujasiri mpaka wakuvunja bunge.

Sasa ndio watu walewale wanatembea na silaha na hii tension iliyopo kama walikuwa na ujasiri wa kuvunja bunge basi ni rahisi hata kutumia silaha.

Ndio maana wamedouble security,alafu US ana maadui wengi anaweza akatokea mtu mmoja ana interest mbaya kwa US na silaha yake,akamshambulia polisi,polisi nao lazima watareact,mwisho wa siku askari polisi wanaonekana wanamakosa kumbe nao walikuwa wanajihami.

Ndio wanatembea lkn usifananishe kipindi cha nyuma nchi ipo shwari na sasa inchi bado haijatulia.
Uko sahihi lakini wenzetu wako mbali kwenye mambo ya security and kama unavyosema wameimarisha ulinzi sana including federal secrete services personnel.
 
Kama ni mkristo kindakindaki ulitakiwa uwe umenielewa kama ni wa krisimasi hautanielewa, mambo ya unabii siyo ya kila binadamu anaweza kuelewa, that's huwezi kuta andiko limetaja jina la nchi au kiongozi ila matendo.

Hilo andiko kwenye msaafu linaloitaja Marekani liweke hapa tuone kama kweli lipo.
Nikupe mfano unao endana na wewe, Amri ya 6 na 8 zinakutaja wewe ila hakuna jina lako, pale unapoona tabia yako inafanana na amri hiyo ujue ni wewe.
 
View attachment 1680616
Jamani hapa ni juzi tarehe 6 Jan huyo mnayemwona katikati kama hapa kwetu ni waziri kukuu Kasim Mjaliwa bungeni Dodoma, wanausalama wakijaribu kuokoa maisha yake mbele ya waandamanaji wenye democrasiya ya kutosha duniani.

View attachment 1680626
Hawa si FBI au US Army, hawa ni raia wema ambao wanatimiza haki yao ya kidemocrasia wakiwa wamebeba siraha za kivita fulu magazini ktk maandamano, wakati huku kwetu kwa Magu hata gusa tu barabara ugusi.

View attachment 1680627
Waandamanaji wakiwa nje ya jengo la serikali huku wakiwa na siraha za kijeshi na nzito tayari kwa lolote lile kutimiza haki ya ya kidemocrasia.



View attachment 1680628
Hapa muandamanaji akichukuwa selfii kwa ajiri ya kuwatumia jamaa zake huku yeye na mwenzake wakiwa na siranzito kuliko zile tulizotumia mwaka 1978 kule Mutukula Uganda kumwondoa Idi amini.

Jamani zimebaki siku tatu 2 kufutika kwa taifa ambalo lilikuwa linapigiwa mfano kila kuitwapo leo kuwa mababa wa democrasia duniani Marekani. Tangia mwaka 1992 milango ilipofunguliwa tume kuwa tukiubiliwa na sisi tuwe na democrasia kama ya Marekani mpaka tumechoka.
Sijui kama nyakati za mwisho zimefika, wakati mimi ukusanyaji wa sadaka bado haujanitosha. Naelekeza swali kwa wanaharakati wa Tanzania ambao wamekuwa wakisisitiza kwa miongo kadha sasa kuwa tufuate siasa na democrasia za Marekani leo wanahoja gani kwani siwaoni wala kuwa sikia kanakwamba hawapo au awaoni chochote.

Maduka ya siraha yanafanya biashara kuliko wakati wowote tangia kuruhusiwa kununua sira nchini humu, kila raia anajaribu kununu mkwasa wake hili kunukishiana kama ilivyotokea kwa Wahutu na Watusi na sasa leo ngoma imeamia kwao.


Bwana mmoja ambaye yeye alikuwa anataka kununua lile la kuweka begani lakini ilishindikana hivyo wameamua kwenda wekshopu kutengeneza wenyewe, taarifa sisizo rasmi lakini zenye ukweli kuwa siku hiyo ya kuapishwa Biden ndiyo huo mchezo wa kuchezea moto juu ya tanki la petroli utaanza kuchezwa nchini Marekani
View attachment 1680690

Macho ya dunia nzima yatakuwa yakishuhudia mwisho wa kitu kinanachitwa democrasia duniani.


Taarifa tulizopata ni kuwa kilakitu kitalipwa hapa hapa duniani kwani sitaki kusema mengi ila wafuasi wa Trump na Biden wanapishana katika maduka ya siraha kuhakikisha wanapata bunduki nzuri na risasi za kutosha kwa kazi ya siku hiyo.

Taasisi za kidini pia nazo zimemiminika katika viwanda na maduka hili kuweza kujipatia siraha kwaajili ya kuwa tayari kwa chochote siku hiyo kwani hawana hakika na maombi tupu.
Tayari watu 5 akiwemo polisi mmoja wamekwisha fariki dunia wakati wa maandamano ya kuvamia bunge wakitimiza haki yao ya kidemocrasia ya kuandamana kama Lisu na Mbowe walivyokuwa wakisisitiza ndiyo maana leo nimeelewa kauli ya Mtu huru aliyekuwa anasherehekea sikukuu zote Segerea aliwai kusema Tanzania lazima ibebe majeneza wakifa watu 100 au 200 tutapata haki. Kumbe alijifunza huko na leo Mungu kaweka wazi Wamerekani wanatafuta haki na bundiki.

Vijana wa Tanzania na wana harakati Mungu wa baba zetu Afrika na atusaidi tujikwamue kutoka katika utumwa wa kiakili.

Na aimidiwe Mungu wa baba zetu Afrika kwani majibu yameanza kupatika.

Mtoto wa mchungaji nawasilisha.
Mmh
 
6486122.jpg
 
Na hicho ndicho kitakachoisadia USA kuibuka kidedea. Hao wahuni na racists watadhibitiwa ipasavyo na wengi wataishia lupango.
Angalau America Countrywide ina taasisi zenye nguvu na zimaongozwa na watu wanaojitambua na kuheshimu miiko ya ajira zao. Ingelikuwa kama kwetu hapa Trump angekatalia madarakani, na pengine angeshaapishwa. Lakini ona vyombo hivyo viko dhidi ya Rais alieko madarakani.

Odhis *
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom