Kiziza
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 439
- 77
Hivi ni kweli kwamba kuna mtu anakuwa anachukiwa bila sababu,yaani kwamba kazaliwa tu hivyo.
Acha ile hali ya kawaida kwa mwanadamu
kuwa hawezi kupendwa na wote,hata manabii hawakupendwa na wote.
Lakini kuna ile unakuta mtu popote anapokuwepo inatokea hapendwi yaani iwe chuoni,ofisini au kwenye jamii kwa ujumla.
Sasa je ni kweli kuna kitu kama hicho yaani mtu anakuwa tu hapendwi?Au muhusika anakuwa ndio sababu ya yeye kuchukiwa kwa sababu mbalimbali ikiwepo tabia n.k?
Nimeshawahi kusikia neno ...damu ya kunguni...,utasikia fulani ana damu ya kunguni anachukiwa tu bila sababu,ni kweli???
Acha ile hali ya kawaida kwa mwanadamu
kuwa hawezi kupendwa na wote,hata manabii hawakupendwa na wote.
Lakini kuna ile unakuta mtu popote anapokuwepo inatokea hapendwi yaani iwe chuoni,ofisini au kwenye jamii kwa ujumla.
Sasa je ni kweli kuna kitu kama hicho yaani mtu anakuwa tu hapendwi?Au muhusika anakuwa ndio sababu ya yeye kuchukiwa kwa sababu mbalimbali ikiwepo tabia n.k?
Nimeshawahi kusikia neno ...damu ya kunguni...,utasikia fulani ana damu ya kunguni anachukiwa tu bila sababu,ni kweli???