Hizi ndio sababu zinazofanya uendelee kung'ang'ania sehemu unayofukuzwa

Feb 4, 2024
67
206
Yawezekana ukawa muhanga kwa sasa au ukawa tayari umepitia hali hiyo na ukikumbuka unajishangaa ni vipi uliweza kuvumilia ilihali ulikuwa unafukuzwa? Au ulipewa dawa? Muda mwingine sio dawa bali kuna sababu ambazo ndio kiini cha somo hili.

Kuendelea kubakia unapofukuzwa kuna hasara nyingi sana japo hasara kubwa sana ni kujipotezea muda wako maana unakuja tena kuanza moja muda ambao ungekuwa kwenye kumi na hasara nyingine ya pili kubwa ni gharama ulizotumia kugharamia sehemu isiyo yako.

Inawezekana ikawa ni kazini kwako, sehemu uliyopanga au kwenye mahusiano kote huko huwa tunafukuzwa lakini tunaendelea kupakumbatia na mwishowe tunakuja kukubali ukweli tayari tulishapoteza muda na gharama.

Kufukuzwa mara nyingi hakuji kama dharura bali huja kwa maandalizi na lazima kuwepo na viashiria viwili vitatu vinavyokuonyesha kuwa upo unafukuzwa. Swali ni je watu huwa tuna upofu kiasi cha kutoona hivyo viashiria vya Kufukuzwa? Sababu zipo za majibu hayo zipo kwenye somo letu hili la leo.

SABABU ZINAZOFANYA UENDELEE KUNG'ANG'ANIA SEHEMU UNAYOFUKUZWA:

1. KUTOKUBALI MATOKEO; Hapa mtu anakuwa haamini kama kweli fulani anaweza mfukuza au kumkataa hivyo kila siku unakuwa unajipa sababu za kukutia moyo kuwa hilo haiwezekani labda tu ni mabadiliko ya muda mfupi na kesho mambo yatakuwa sawa lakini siku zinazidi kwenda na mambo hayawi sawa hatimaye unakuja kufukuzwa kwa lazima hapo ndipo unagundua kumbe ilikuwa inamaanisha.

2. KUHISI WEWE NDIO UNAMAKOSA MUDA WOTE;
Mara nyingi hii hutokea kwenye mahusiano unakuwa unajiona wewe ndio mkosaji hata kwenye makosa yake kwa mfano anaweza kupunguza mawasiliano lakini ukajiona wewe ndio unakosa la kumtafuta na ukimtafuta sana hapokei simu zako wala hajibu jumbe zako unajiona tena wewe ndio mkosaji kwa sababu unamsumbua sana kumbe ndio kiashiria cha kukufukuza hicho ni wewe tu hutaki kuelewa.

3. KUJIHISI UTAKOSA PAKWENDA: Hii inatokea kote kwenye mahusiano hata kazini unakuwa unahisi ulipata kazi hiyo kwa bahati tu au ulimpata mtu huyo kwa bahati tu ikitokea unatoka hapo huamini tena kama utapata kazi nyingine au utapata tena mtu wa kukupenda. Unakosea sana ndugu yangu usikubali kuvumilia sehemu unayofkuzwa hapo sio kwako tayari ulishafukuzwa sasa kuendelea kuvumilia ni kujiweka kwenye mateso ambayo yange epukika tu kama ungefanya maamuzi magumu na mapema, usikubali kuwa mtumwa ilihali kuna sehemu unaweza kuwa huru kwa maana utakonda bure na hatimaye kupata magonjwa ya kisaikolojia.

5. UJINGA; Hii ni kama ukosefu wa ufahamu wa kutosha ambapo mtu yoyote anaweza kuwa mjinga kwa kipindi fulani na akajikuta yupo sehemu analazimisha kujenga nyumba na mtu ambaye usiku anarudi kuibomoa. Jinsi ya kutoka kwenye ujinga ni kutafuta maarifa ya kutosha kuhusu aina ya safari uliyonayo maana ukiijua vizuri aina ya safari yako hutakubali upotezewe muda na msafiri ambaye hamchangii njia moja.

Makala hii imeandikwa na Mwanasayansi Saul Kalivubha.
 
Yawezekana ukawa muhanga kwa sasa au ukawa tayari umepitia hali hiyo na ukikumbuka unajishangaa ni vipi uliweza kuvumilia ilihali ulikuwa unafukuzwa? Au ulipewa dawa? Muda mwingine sio dawa bali kuna sababu ambazo ndio kiini cha somo hili.

Kuendelea kubakia unapofukuzwa kuna hasara nyingi sana japo hasara kubwa sana ni kujipotezea muda wako maana unakuja tena kuanza moja muda ambao ungekuwa kwenye kumi na hasara nyingine ya pili kubwa ni gharama ulizotumia kugharamia sehemu isiyo yako.

Inawezekana ikawa ni kazini kwako, sehemu uliyopanga au kwenye mahusiano kote huko huwa tunafukuzwa lakini tunaendelea kupakumbatia na mwishowe tunakuja kukubali ukweli tayari tulishapoteza muda na gharama.

Kufukuzwa mara nyingi hakuji kama dharura bali huja kwa maandalizi na lazima kuwepo na viashiria viwili vitatu vinavyokuonyesha kuwa upo unafukuzwa. Swali ni je watu huwa tuna upofu kiasi cha kutoona hivyo viashiria vya Kufukuzwa? Sababu zipo za majibu hayo zipo kwenye somo letu hili la leo.

SABABU ZINAZOFANYA UENDELEE KUNG'ANG'ANIA SEHEMU UNAYOFUKUZWA:

1. KUTOKUBALI MATOKEO; Hapa mtu anakuwa haamini kama kweli fulani anaweza mfukuza au kumkataa hivyo kila siku unakuwa unajipa sababu za kukutia moyo kuwa hilo haiwezekani labda tu ni mabadiliko ya muda mfupi na kesho mambo yatakuwa sawa lakini siku zinazidi kwenda na mambo hayawi sawa hatimaye unakuja kufukuzwa kwa lazima hapo ndipo unagundua kumbe ilikuwa inamaanisha.

2. KUHISI WEWE NDIO UNAMAKOSA MUDA WOTE;
Mara nyingi hii hutokea kwenye mahusiano unakuwa unajiona wewe ndio mkosaji hata kwenye makosa yake kwa mfano anaweza kupunguza mawasiliano lakini ukajiona wewe ndio unakosa la kumtafuta na ukimtafuta sana hapokei simu zako wala hajibu jumbe zako unajiona tena wewe ndio mkosaji kwa sababu unamsumbua sana kumbe ndio kiashiria cha kukufukuza hicho ni wewe tu hutaki kuelewa.

3. KUJIHISI UTAKOSA PAKWENDA: Hii inatokea kote kwenye mahusiano hata kazini unakuwa unahisi ulipata kazi hiyo kwa bahati tu au ulimpata mtu huyo kwa bahati tu ikitokea unatoka hapo huamini tena kama utapata kazi nyingine au utapata tena mtu wa kukupenda. Unakosea sana ndugu yangu usikubali kuvumilia sehemu unayofkuzwa hapo sio kwako tayari ulishafukuzwa sasa kuendelea kuvumilia ni kujiweka kwenye mateso ambayo yange epukika tu kama ungefanya maamuzi magumu na mapema, usikubali kuwa mtumwa ilihali kuna sehemu unaweza kuwa huru kwa maana utakonda bure na hatimaye kupata magonjwa ya kisaikolojia.

5. UJINGA; Hii ni kama ukosefu wa ufahamu wa kutosha ambapo mtu yoyote anaweza kuwa mjinga kwa kipindi fulani na akajikuta yupo sehemu analazimisha kujenga nyumba na mtu ambaye usiku anarudi kuibomoa. Jinsi ya kutoka kwenye ujinga ni kutafuta maarifa ya kutosha kuhusu aina ya safari uliyonayo maana ukiijua vizuri aina ya safari yako hutakubali upotezewe muda na msafiri ambaye hamchangii njia moja.

Makala hii imeandikwa na Mwanasayansi Saul Kalivubha.
Ujumbe mzuri sana huu.

Wahenga walisema kuanza upya sio ujinga.
 
Yawezekana ukawa muhanga kwa sasa au ukawa tayari umepitia hali hiyo na ukikumbuka unajishangaa ni vipi uliweza kuvumilia ilihali ulikuwa unafukuzwa? Au ulipewa dawa? Muda mwingine sio dawa bali kuna sababu ambazo ndio kiini cha somo hili.

Kuendelea kubakia unapofukuzwa kuna hasara nyingi sana japo hasara kubwa sana ni kujipotezea muda wako maana unakuja tena kuanza moja muda ambao ungekuwa kwenye kumi na hasara nyingine ya pili kubwa ni gharama ulizotumia kugharamia sehemu isiyo yako.

Inawezekana ikawa ni kazini kwako, sehemu uliyopanga au kwenye mahusiano kote huko huwa tunafukuzwa lakini tunaendelea kupakumbatia na mwishowe tunakuja kukubali ukweli tayari tulishapoteza muda na gharama.

Kufukuzwa mara nyingi hakuji kama dharura bali huja kwa maandalizi na lazima kuwepo na viashiria viwili vitatu vinavyokuonyesha kuwa upo unafukuzwa. Swali ni je watu huwa tuna upofu kiasi cha kutoona hivyo viashiria vya Kufukuzwa? Sababu zipo za majibu hayo zipo kwenye somo letu hili la leo.

SABABU ZINAZOFANYA UENDELEE KUNG'ANG'ANIA SEHEMU UNAYOFUKUZWA:

1. KUTOKUBALI MATOKEO; Hapa mtu anakuwa haamini kama kweli fulani anaweza mfukuza au kumkataa hivyo kila siku unakuwa unajipa sababu za kukutia moyo kuwa hilo haiwezekani labda tu ni mabadiliko ya muda mfupi na kesho mambo yatakuwa sawa lakini siku zinazidi kwenda na mambo hayawi sawa hatimaye unakuja kufukuzwa kwa lazima hapo ndipo unagundua kumbe ilikuwa inamaanisha.

2. KUHISI WEWE NDIO UNAMAKOSA MUDA WOTE;
Mara nyingi hii hutokea kwenye mahusiano unakuwa unajiona wewe ndio mkosaji hata kwenye makosa yake kwa mfano anaweza kupunguza mawasiliano lakini ukajiona wewe ndio unakosa la kumtafuta na ukimtafuta sana hapokei simu zako wala hajibu jumbe zako unajiona tena wewe ndio mkosaji kwa sababu unamsumbua sana kumbe ndio kiashiria cha kukufukuza hicho ni wewe tu hutaki kuelewa.

3. KUJIHISI UTAKOSA PAKWENDA: Hii inatokea kote kwenye mahusiano hata kazini unakuwa unahisi ulipata kazi hiyo kwa bahati tu au ulimpata mtu huyo kwa bahati tu ikitokea unatoka hapo huamini tena kama utapata kazi nyingine au utapata tena mtu wa kukupenda. Unakosea sana ndugu yangu usikubali kuvumilia sehemu unayofkuzwa hapo sio kwako tayari ulishafukuzwa sasa kuendelea kuvumilia ni kujiweka kwenye mateso ambayo yange epukika tu kama ungefanya maamuzi magumu na mapema, usikubali kuwa mtumwa ilihali kuna sehemu unaweza kuwa huru kwa maana utakonda bure na hatimaye kupata magonjwa ya kisaikolojia.

5. UJINGA; Hii ni kama ukosefu wa ufahamu wa kutosha ambapo mtu yoyote anaweza kuwa mjinga kwa kipindi fulani na akajikuta yupo sehemu analazimisha kujenga nyumba na mtu ambaye usiku anarudi kuibomoa. Jinsi ya kutoka kwenye ujinga ni kutafuta maarifa ya kutosha kuhusu aina ya safari uliyonayo maana ukiijua vizuri aina ya safari yako hutakubali upotezewe muda na msafiri ambaye hamchangii njia moja.

Makala hii imeandikwa na Mwanasayansi Saul Kalivubha.
Hivi biashara nayo Huwa inafika sehemu inakukataa( KUKUFUKUZA)
 
Back
Top Bottom