Na vishawishi ni vingi saana.I can imagine njeree, sio jambo jepesi kihivyo..
Ukiwaza sana unaona bora tu kujichepukia ili angalau iwe 50/50. Ili hata ukigundua uifariji nafsi kuwa na mimi mbona nafanya.
Wao wanachepuka na sisi tunachepuka lakini tatizo ni kuwa sisi tunajiona kama tuna uhalali wakufanya hivyo.
Nilichojifunza kumbe machungu ni sawa kwa wote, kumbe nao wanaumia sana kama sisi ambavyo tuligundua wameliwa huko nje.
Mpaka sasa bado sijajifunza suluhu ya kufanya wake kwa waume tusichepuke.
Hii ishaeksipaya Douta..Nashindwa hata kuitikiaShikamoo daddy
Hapana
Nimefungua hii ili nionekane katoto japo form six six.
Hahaaaa hilo muulizie kuleee...
Na yeye kaona awe under 22. Ukiwa uwanja wa vita lazima mbinu zibadilike badilike kulingana na ujio wa adui.
Hahaaaaaa snowhite haya mambo yasikie/kuyasoma tuu yanaumiza sana.AHJHHAHAHAHAHHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHAHHAHAHAHHAHAHAHAHA!
NAOMBA NIKUNUNULIE TUSKER BARIDI AISEE!
pls!
niandikie tu namba ya wakala nitume hata bia tatu!usiandike namba yako!wakala tu utakapoenda kuchukulia!

Kumbe siko mwenyewe ninaye mshangaa!, anaonekana kabisa mgeni kwenye haya mambo. Eti anamtoa mwanamke machozi!!!!
Hahah!, chuma cha mjerumani tulizana tukufunde kwanza, utakuwa unalizwa wewe badala ya
kumliza mtu.
Naanzaje kuacha kumtete kwamfano!!!Nimeona aseeh.
Wanamtetea mtoa uzi au wanamponda. Kwa navyomjua espy atamtetea.
Mke akikutana na wajanja zaidi ya huyu lazima atokeAlafu eti mkeo asichepuke!!! Thubutu yako.
Kumbe mnajua eeeh!! Basi tulieni hivyo hivyo.Wanawake kwenye kuchepuka wajanja saana. Hadi ukagundue sio kesho.
Unakuta mtu ana account JF. Fb. Insta. Snap na kote anamichepuko na kugundua tu anaaccount zote hizo huwezi jua.
Uwe na mke!!!! Labda james delicios.mwanaume halisi hapangwi ata siku moja ata ningekuwa nao 20 ivi mmewapata wapi hao madume suruale mnaowaendesha? itakuwa mliwapata kwenye mitandao
mimi kama beberu natoa maelekezo yatii bila shuruti.
alafu usifikiri mimi katili sana ikatokea mda wa kula nikiwa nyumban mke wangu na watoto hawajawai kula na mikono yao. saiyoo tumbo limejaa nyama na dompo katoto kachuo kamesha nifanye mwepesiiiiii.
Alafu eti mkeo asichepuke!!! Thubutu yako.
Uovu Uovu tu awe kafanya mwanamke au mwanaume.Naanzaje kuacha kumtete kwamfano!!!
Kumbe mnajua eeeh!! Basi tulieni hivyo hivyo.
Yani wanawake wa sampuli hii mi ndo nawataka..Mwanamke mzembemzembe na anayejilizaliza mi ananiboa kweli..Umeona eeeh!! Yaani ana akili sana.
Sasa kama wewe umeamua kuacha kila kitu means ushqbanduaaa weee umechoka umeona uache, hivo muache na mkeo abanduliweeee nae akichoka ataacha.... Unataka aache hata hajafaidi? Acha roho mbayaHahaaaaaa snowhite haya mambo yasikie/kuyasoma tuu yanaumiza sana.
Yaani wewe umeamua kuacha kila kitu kizuri na kibaya kwa ajili ya heshima na mustkabali wenu alafu unabaini mwenzio kabanduliwa na jamaa Fulani.![]()
![]()
![]()
Haha mimi under eitini sio.
Mwanachuo kuna mwenzako chunguza na usikute wife naye anawa kumtuliza unapokuwa kwa mwanachuo
Eti mwanaume wa shoka!!! Mwanaume wa shoka anajisifia ujinga uliwahi ona wapi!! I pity the kids.Wabichi ndio hao wa chuo au unaongelea ubichi wa nguo? Asee kaka kuwa makini tu.
Hizo hela unazomuhonga ungeweka kwa ajili ya shule ya watoto wako ingekuwa vyema zaidi kuliko kumlipia mchepuko shule halafu akimaliza chuo anamalizana na wewe pia.
Nakubaliana na wewe kabisa..Uovu Uovu tu awe kafanya mwanamke au mwanaume.
Japo haya mambo kiuhalisia yamekosa suluhisho kila mmoja apambane kwa hali yake.
Aache kutoa machozi wakati analilia pesa zako!! Yaani lazima alie zaidi ya msiba wa mumewe.nani aliwaibia akili???? shukuru sana umepata bogasi
glucose zingekuwa zimepungua mwanachuo angekuwa anatoa machozi?????
niliona tu mwepesiiii!
mpk nikajistukia nazungumza na boyfriend wa binti yangu labda!nilipogundua tu hivo nikaachana nae!
kumbe nawe umeliona? Mimi mwenyewe ndo nimelifahamu wala hanipotezei tena muda maana tunaongea na mtoto humu.