Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,336
- 176,128
Aki au ashakutana nao tayari!! We mume wa hivi usipomchepukia haki lazima uwe na cha kujibu siku ya mwisho.Mke akikutana na wajanja zaidi ya huyu lazima atoke
Aki au ashakutana nao tayari!! We mume wa hivi usipomchepukia haki lazima uwe na cha kujibu siku ya mwisho.Mke akikutana na wajanja zaidi ya huyu lazima atoke
Huyo jamaa kanikosea heshima mwanzo nilijua anatania ila mwisho kaja kunitukana. Anadai ukizaliwa mjini haya mambo hayakupi shidaOooh!! Ndio maana kakuita under 18!!



Pole sana, najua inauma ila sasa usingechapiwa ungekuwa haujatendewa haki.dogo kama huna chakuandika kaa kimyaa.
Hahaaaa! Mimi kwa kweli michepuko ninaiepuka naiombea kuishinda hiyo roho.Haha.
Hivi hata mwanaume anayechepuka na mke wa mtu naye atasema wake za watu hawachepuki??
Uovu Uovu tu awe kafanya mwanamke au mwanaume.
Japo haya mambo kiuhalisia yamekosa suluhisho kila mmoja apambane kwa hali yake.
Eti unalilia dyudyu moja wakati huko nje zimejaa tele!! Si wendawazimu huo!!Yani wanawake wa sampuli hii mi ndo nawataka..Mwanamke mzembemzembe na anayejilizaliza mi ananiboa kweli..
NgodaHahaaaa! Mimi kwa kweli michepuko ninaiepuka naiombea kuishinda hiyo roho.
Ikitokea pia sio aliye mke wa mtu, hapana aiseee staki kuwa chanzo cha makwazo kwa mtu. Najua ambavyo ningeumia ingenitokea Mimi hivyo ni heri kumuepusha mwingine na maumivu.
Hao ndio size yake maana wamelingana akili.Khaaa!, wa kusumbuliwa uwe wewe!!!
Hahahhaaaa!, ncheke mie!
Hao watoto wa chuo wanavyokuchuna basi unaona umefika kumbe wenzio wanakusanifu.
Kuna wanaume na wanaume wakutu turn on, sio wote.
Yaani inaonekana kabisa akili zako zimegomea hapo kama za watoto wa chuo.
Aaaah sana tu. Raha jipe mwenyewe bwana. Ya kupewa ndio hii ya masimango kama ya huyu chuma cha mchina.Kwani kuchepuka sh ngapi teh
Hao ndio size yake.Haha!, mke James Delicious, mchepuko Kaoge.
Hizi Lips zako tu.Eti unalilia dyudyu moja wakati huko nje zimejaa tele!! Si wendawazimu huo!!
Achana nae huyo, stress za kuchapiwa zinammaliza taratiiibu.Bra,
adjo.
Sio vizuri kutukana tukana. Uwe na asubuhi njema
Msalimie kaoge.yani unatabu mdogo wangu ndo maana mtoto wako anaitwa diploma nilikuwa sijui maana yake kumbe ulipata mimba ukiwa diploma.
anapekua mesage za kazi na za ndugu. mesage za mchepuko ni za code(kodi) mchepuko akiwa kilaza kama wewe na download vault. ata vault uijui wewe ni jipu.
Huyu ni zile special cases my dear. Ni kwenda nae hivyo hivyo.Teh!, teh!, naona tunaongea na mtu yuko downtown Kolomije.
Ndio hivyo sasa.Hahaha
Inawezekana lakini![]()
Whaaaat!!! alisema hivyo!!Dear, ujue unaongea na mtoto hapa fanya kumpotezea hapo awali nilijua nimwanaume kumbe utoto.
Imagine kuna mwanaume anaweza kukwambia akutumie video ya kumshughulia mwanamke?
Yaani mwanaume halisi ajirekodi? Hapo tu itakupa picha kua unaongea na mtoto.

Bra,
adjo.
Sio vizuri kutukana tukana. Uwe na asubuhi njema
Subutuuuu! Sio kwa mbinu zile... Nakataa wewe kungwi sio mmoja wao Teh!
sasa rafiki yangu JIULIZE MWENZIO ALIPOKUWA ANAKUFANYIA KILA KITU ,ABSOLUTE EVERYTHING!Hahaaaaaa snowhite haya mambo yasikie/kuyasoma tuu yanaumiza sana.
Yaani wewe umeamua kuacha kila kitu kizuri na kibaya kwa ajili ya heshima na mustkabali wenu alafu unabaini mwenzio kabanduliwa na jamaa Fulani.![]()
![]()
![]()