Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,466
- 13,031
WE NAEEEE!
ah hata hunogi kupanga hoja !
hoja zako nyepesiiiiiiii!
Haha!, you haven't seen anything yet.
Hujaona story zake za kujitapa na mtoto wa chuo.
WE NAEEEE!
ah hata hunogi kupanga hoja !
hoja zako nyepesiiiiiiii!
Watu wanachanganyikiwa wengine wanajiua.From my heart naweza.... Aseee mapenzi niliyo nayo kwa wanangu ni makuu mno sana sana. Ingawa kuna changamoto zake aseeee ooh!
Lakini ikitokea hivyo nitajiuliza binafsi pengine nimechangia hali hiyo kutokea.
Nikijua na akijua nimejua itanibidi pia kuhojiana nini chanzo haswa kwa jambo hilo kutokea?
Mkuu kuna moment inabidi kujilipua ili kufanya sacrifice no way, ila kwetu wanaume huu ni mtihani asikwambie mtu.

Tunawaharibu je.Wacha we!! Kwni hao mabinti si wanawake? Inabidi tuanze kuwafuatilia, ukute ndio nyie mwaharibu watoto wetu wa kiume![]()
![]()
![]()

Chezea!! Hawaoni binti huyu kakutana na kitu cha uhakika hadi kaona mumewe kimbilimbi.Tunatofautiana, sie tukichepuka tunaenda kwa wazee wa kazi..... Wazee wa mashine aseeeee
Mkuu wanawake wana akili saana. Wanajua kuficha siri saana.
Na wakifanya kosa ukalihisi basi atalia na kutaja majina yote ili uonekane unamsingizia tu.
Anajitutumua masikini kupoza machungu ya kutmbewaHalafu anavyojieleza sasa, Sipati picha kabisa ya mtoto wa chuo na huyu mtu.
Alafu eti mkeo asichepuke!!! Thubutu yako..usishindane na mwanaume mama irene wewe kazi yako nikuzaa tuu. kufanya kazi ni kihere here chako na ndo wanawake wengi mko hivyoo.
mke wangu nilimwambia ntamuingizia kila mwezi 700,000 kwenye account mbali na matumizi ili mradi anasimamia kazi. bado anakomaa na mshahara wa 650,000 ambao ata sijawai uona. sijui account yake imetoboka hela zinavuja.
wanawake badilikeni muwe mnatumia akili sio makalio.
wewe chalii nani kakupa simu uingie mitandaoni ili hali uko anda( under) 18????
wanaume tuna kazi kupambana na wake zetu plus watoto kama wewe.
namshukuru mwanachuo wangu ananitulizaga hizi stres zote
niliona tu mwepesiiii!Haha!, you haven't seen anything yet.
Hujaona story zake za kujitapa na mtoto wa chuo.
Huko nje ndio tunakotoa hayo manjonjo yoote, full mikunjano, yaani najiachia hadi nikitoka hapo mwepesiiiii.Ila na nyie mjifunze midundo mipyamuwe na manyonyo na masarakasi kama hawa wa huko nje. Sio daile kifo cha mende
![]()
anamuingizia shilingi waaat?Alafu eti mkeo asichepuke!!! Thubutu yako.
Haya.unawaona wanaakili kwasababu wewe huna akili.
huwezi muona mtu tajiri kama wewe si maskini.
Yaani kazi tunayo siyo kidogo. Ukiwakuta sasa wanavyojazana ujinga utachoka na nafsi yako. Wao huwa wanaangalia wake zao(ambao its obvious hawawajali wala kuwaumiza vichwa) hawakumbuki kuwa wana na watoto ambao wanajifunza kutoka kwao.
We si ulimsifia jamani mbona wabadili uelekeo!!!kumbe na wewe fyatuu. nitembee na shoga wakati watoto wabichi wapo.
ukitaka nirudishe penzi kaa utulie usinipekue/usinichunguze na wivu wakitoto uache.
ukifanya hivyoo ata michepuko naacha.
Ukute hapa tunabishana na kitoto cha chuo ambacho bado kinanuka maziwa ndio maana hatuelewani!!!Yani kujisifu anatembea na mwanachuo ni sawa na kusema ana mchepuko wake corner bar.....
Wanachuo anawajua anawasikia
Out of topic hii ni dalili umedata, huenda na glucose imepungua mwilini

I can imagine njeree, sio jambo jepesi kihivyo..Watu wanachanganyikiwa wengine wanajiua.
Chukulia instance ya yule jamaa wa kikurya alikuwa hajamwoa hata yule mwanamke ila kumegewa na bosi wake tu akajiua.![]()
AHJHHAHAHAHAHHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHAHHAHAHAHHAHAHAHAHA!