Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Kizazi kipi unachoongelea,kizazi hikihiki ambacho hata mwanamke kua rais ni ndoto za mchana kweupe,au umedanganywa na mwanamke kuwa makamu wa rais?
Ukifuatilia watu wengi hata waliosoma elimu zao na walio fanikiwa wamesimamiwa na mama zao, baba zao walikuwa wanakimbizana na vyupi vya wanawake huko baada ya watoto kukua wanarudisha hoho zao nyumbani nakushangaa wewe yawezekana vitumbua na mandazi ya mama yako yamekufikisha hapa
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Teh..We Dada nimekupenda gafla..Uamuzi Kuntu kabisa...Safi sana
 
Wazinifu huwa wanaowana wao kwa kwao ndege wafananao ukiwa mzinifu lazim upate mke ambaye ni mzinifu tafakar
ukhuty kunywa gahawa hapo nitalipa, wazunifu wanapeana tricks za kutafunana...

Njoo rafiki tupige story hapa tuwaache.
 
Huu uzi unazidi kuwapa wadada nguvu za kucheat.

Really?

Mi mbona naona siku zote wanazo tu hizo nguvu za kuchiti....

Ukiwa mtu mwelewa wala hutopata shida kujua kuwa siku zote huwa wanachiti.

Hata humu wapo wengi tu wanaochiti na najua hilo kwa uhakika wa asilimia 110....hahaha....sitaki maswali nimejuaje.....

Test ndogo ya kuweza kupata fununu kama mtu anachiti, awe mkaka au mdada, ni simu.

Wangapi wapo tayari wenza wao waziguse simu zao muda wowote ule bila tatizo?

Ila pia simu si kigezo cha uhakika kivile. Mtu anaweza kukuachia ushike simu yake utakavyo na bado akawa anachiti vilevile....

So bottom line, both men and women cheat at the same level.....
 
Ukifuatilia watu wengi hata waliosoma elimu zao na walio fanikiwa wamesimamiwa na mama zao, baba zao walikuwa wanakimbizana na vyupi vya wanawake huko baada ya watoto kukua wanarudisha hoho zao nyumbani nakushangaa wewe yawezekana vitumbua na mandazi ya mama yako yamekufikisha hapa
Unapotaka kufanya kitu angalia mazingira,mimi napinga baadhi ya wanawake ambao wanasema wanachepuka kwasababu waume zao wanachepuka,na wanachukulia eti jamii itawasapoti kwa kisa cha usawa,sisi hiyo Tanzania bado sehemu kubwa tutashangaa,lakini kwa mwanaume haitashangaza sana kama ilivyo kwa mwanamke,tuwe makini tunapitatua mambo.
 
yani wanaume wako positive na alichofanyiwa uyo dada
dawa ya moto ni moto kila siku yeye ndo alie tuuu kama kaolewa na kitungu maji
 
Yani dada wala usishtuke we gongwa tu hata ukipenda kutoa mtandao pendwa 0712 just do it..
Ila cha msingi simamia ndoa yako don't let it fall..akili za kuambiwa changanya na zakoo.
 
Hahahaaaa mkuu unatufananisha na mnyama tena? Kwa kweli kuna kitu kikubwa sana kutoka kwenye collabo yenu nimejifunza. Majukumu ya kifamilia na majukumu ya ndoa ni vitu viwili tofauti na mara nyingi wanaume tunahangaikia majukumu ya kifamilia.
Majukumu ya kifamilia yenyewe mnajua ni kuhakikisha wamekula,kuvaa, kusoma na wana pa kuishi(pesa) baasi mmemaliza. Ulishawahi hata kukaa na wanao ucheze nao, usome hata vipaji vyao ili uvikuze,kuwasaidia home work,kupiga nao story(ujue nini kinaendelea ktk maisha yao), mfanye family prayer pamoja(hapa ndio mtihani sasa) nk nk nk????
 
Huu uzi nilikua naufatilia naona umeniacha mbali sasa.

Ila nyie mnaotenda hayo, Mola akiwapa magonjwa mkauana na kuacha watoto itakuwaje!?

Bora usigawe mwili wako bali uwe na marafiki, kama ndio shida imekuwa kubwa hivyo na kumsubiria mumeo au mkeo.
 
Majukumu ya kifamilia yenyewe mnajua ni kuhakikisha wamekula,kuvaa, kusoma na wana pa kuishi(pesa) baasi mmemaliza. Ulishawahi hata kukaa na wanao ucheze nao, usome hata vipaji vyao ili uvikuze,kuwasaidia home work,kupiga nao story(ujue nini kinaendelea ktk maisha yao), mfanye family prayer pamoja(hapa ndio mtihani sasa) nk nk nk????
Shikamoo espy
 
Majukumu ya kifamilia yenyewe mnajua ni kuhakikisha wamekula,kuvaa, kusoma na wana pa kuishi(pesa) baasi mmemaliza. Ulishawahi hata kukaa na wanao ucheze nao, usome hata vipaji vyao ili uvikuze,kuwasaidia home work,kupiga nao story(ujue nini kinaendelea ktk maisha yao), mfanye family prayer pamoja(hapa ndio mtihani sasa) nk nk nk????
Mmh naona aibu kwa ajili yao.
Yani aache kutafuta madeal bar acheze na watoto? Utakuwa umempa limbwata aisew .

Wish hawa wenzetu wangejua wana part kubwa sana katika malezi ya watoto apart from kumeet mahitaji yao ya kifedha. I honestly wish..
 
Back
Top Bottom