Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Mmh naona aibu kwa ajili yao.
Yani aache kutafuta madeal bar acheze na watoto? Utakuwa umempa limbwata aisew .

Wish hawa wenzetu wangejua wana part kubwa sana katika malezi ya watoto apart from kumeet mahitaji yao ya kifedha. I honestly wish..
Benny anakusalimia!
 
Ukifuatilia watu wengi hata waliosoma elimu zao na walio fanikiwa wamesimamiwa na mama zao, baba zao walikuwa wanakimbizana na vyupi vya wanawake huko baada ya watoto kukua wanarudisha hoho zao nyumbani nakushangaa wewe yawezekana vitumbua na mandazi ya mama yako yamekufikisha hapa
Ni kweli kabisa, family nyingi zinasimama, watoto wanafika mbali kwa ajili ya mama kupambana.
MUNGU atujaalie maisha marefu kina mama wote Amen.
Kina baba mutuombee (in magu's voice)
 
Mmh naona aibu kwa ajili yao.
Yani aache kutafuta madeal bar acheze na watoto? Utakuwa umempa limbwata aisew .

Wish hawa wenzetu wangejua wana part kubwa sana katika malezi ya watoto apart from kumeet mahitaji yao ya kifedha. I honestly wish..
.
Ukipata na mahitaji ya kifedha shukuru Mungu teh.....
 
😀Nimekucheka ujinga.
Ulikubali kuolewa kwa hiyari yako leo ndio unakiona kibamia?

Hiyo si ndio best choice yako? au unafuga kambale nowadays.
Mwanzoni haikuwa bamia ila baada ya kuchepuka ameona imekuwa kibamia? Huyu ameathirika na matunizi ya matango yale yaliyowekwa mbolea nyingi yakaumuka sana.
 
Unapotaka kufanya kitu angalia mazingira,mimi napinga baadhi ya wanawake ambao wanasema wanachepuka kwasababu waume zao wanachepuka,na wanachukulia eti jamii itawasapoti kwa kisa cha usawa,sisi hiyo Tanzania bado sehemu kubwa tutashangaa,lakini kwa mwanaume haitashangaza sana kama ilivyo kwa mwanamke,tuwe makini tunapitatua mambo.

Hivi unajua wanawake wana cheat sana ila kimya kimya na hawa cheat coz of usawa ni kutafuta pleasure na wengine wako na sababu zao wenyewe.
 
Really?

Mi mbona naona siku zote wanazo tu hizo nguvu za kuchiti....

Ukiwa mtu mwelewa wala hutopata shida kujua kuwa siku zote huwa wanachiti.

Hata humu wapo wengi tu wanaochiti na najua hilo kwa uhakika wa asilimia 110....hahaha....sitaki maswali nimejuaje.....

Test ndogo ya kuweza kupata fununu kama mtu anachiti, awe mkaka au mdada, ni simu.

Wangapi wapo tayari wenza wao waziguse simu zao muda wowote ule bila tatizo?

Ila pia simu si kigezo cha uhakika kivile. Mtu anaweza kukuachia ushike simu yake utakavyo na bado akawa anachiti vilevile....

So bottom line, both men and women cheat at the same level.....
Nimekupenda Nyani Ngabu
 
Mwanzoni haikuwa bamia ila baada ya kuchepuka ameona imekuwa kibamia? Huyu ameathirika na matunizi ya matango yale yaliyowekwa mbolea nyingi yakaumuka sana.
Sio tu mwanzoni, ndo ujue mke anakupenda pamoja na mapungufu yako, na shida zako anakuvumilia, anakuthamini, badala yake unamuona fala..... Akichoka kuonwa fala ndo matokeo yake hayo
 
evely salt ndo anamapepo mengi ndo tumuombee. yeye sehemu yoyote anainamishwa anapgwa dyudyu.
Ila mimi kuniombea hautaki eti jirani?
Hayo sio mapepo, huyo ndio mke sasa, yaani kila ukimuhitaji yuko tayari. Sio wale wa oooh nimechoka,mara oooh ninaumwa. Upewe nini tena kama sio mke mwema kama Evelyn Salt???
Haya sema Ameeeen!!
 
Nimekupenda Nyani Ngabu
Demi ni haki yako kumpenda nyani ngabu...ila mshaur mwenzako vizuri kuhusu ndoa yake..even if mume wake anacheat haiwezi ikawa ndo sababu ya yeye kutokwenda kuulizwa na Mungu wake kwamba alifanya nn ili kuuilinda ndoa au alismama kiasi gan kuijenga hii ndoa.akumbke tu every success need a sacrfise...na Mungu hazijui dhambi njema
 
Back
Top Bottom