Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,349
- 176,147
Ninaimba na simu iko mezani hata habari nayo sina, unaipekua kila mahali na hukuti kitu. Ukirudi nyumbani unakuta nishaandaa kila kitu na watoto nacheza nao tu huku full vicheko. Unajipa moyo mke wangu hachepuki!! Thubutuuu!Hata sisi tunaipa namba ile ile
Ila hata ukikesha na simu utaambulia patupu, unapekua we mi mwepesiii nazunguka ndani na shughuli zangu huku naimba imba.
"yesu unipendeeee leo kuliko janaa, kuliko janaaa kuliko janaaa..... "
Muishi na sisi kwa akili
