Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Hebu nijibu swali langu hapo juu, unapinga mwanamke kuchepuka ila una mchepuko mwanamke, au huyo mwanachuo ni James delicious?


Tehe!, Tehe!, yaani mtu anapigana kutulaani wakati ana mtoto wa chuo. Halafu watoto wa chuo walivyo, pengine nae ana mchepuko wake mwingine na huyu kaka yetu hapa na kelele zake usikute na yeye kapangwa foleni.
Na kama sio hivyo basi James D. ndo wifi yetu nyumba ndogo, au tumwite shemeji sijui...😀
 
Hongera ya kusema mnapofanya yanayo kubalika ktk jamii eti mnaonekana wa ajabu kwa sababu si kawaida yenu?!!...Tehe!, Asante!



kumbe na wewe fyatuu. nitembee na shoga wakati watoto wabichi wapo.

ukitaka nirudishe penzi kaa utulie usinipekue/usinichunguze na wivu wakitoto uache.

ukifanya hivyoo ata michepuko naacha.
 
Ila na nyie mjifunze midundo mipya muwe na manyonyo na masarakasi kama hawa wa huko nje. Sio daile kifo cha mende


Tatizo lenu hamuongei, mnaushia kulalamikia kimya kimya na kuyapeleka kwa mchepuko kumbe ungeyaweka wazi kwa wife na kama yanafaa wife angetoa ushirikiano kudumisha ndoa.
Halafu kuna wengine wenu mke akibadilika na kuanza kufanya sarakasi mnabaki kumshangaa eti kajifunza wapi, wanaume hamridhiki kabisa!
 
Tehe!, Tehe!, yaani mtu anapigana kutulaani wakati ana mtoto wa chuo. Halafu watoto wa chuo walivyo, pengine nae ana mchepuko wake mwingine na huyu kaka yetu hapa na kelele zake usikute na yeye kapangwa foleni.
Na kama sio hivyo basi James D. ndo wifi yetu nyumba ndogo, au tumwite shemeji sijui...😀
Yani kujisifu anatembea na mwanachuo ni sawa na kusema ana mchepuko wake corner bar.....
Wanachuo anawajua anawasikia
 
.usishindane na mwanaume mama irene wewe kazi yako nikuzaa tuu. kufanya kazi ni kihere here chako na ndo wanawake wengi mko hivyoo.


mke wangu nilimwambia ntamuingizia kila mwezi 700,000 kwenye account mbali na matumizi ili mradi anasimamia kazi. bado anakomaa na mshahara wa 650,000 ambao ata sijawai uona. sijui account yake imetoboka hela zinavuja.


wanawake badilikeni muwe mnatumia akili sio makalio.
Out of topic hii ni dalili umedata, huenda na glucose imepungua mwilini
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.


NIMEKUPENDA BUUUUUUUUUREEE AGIZA SMINORF BLACJ ICE NAKUJA LIPIA
 
kumbe na wewe fyatuu. nitembee na shoga wakati watoto wabichi wapo.

ukitaka nirudishe penzi kaa utulie usinipekue/usinichunguze na wivu wakitoto uache.

ukifanya hivyoo ata michepuko naacha.
We bana nawe hebu acha hizo ujinga mkeo asitmbwe kwani we nani???????!!!!!! Eti asikuchepukie una kadudu ka dhahabu????
 
wanaume hapa wanakupinga sana,kisa umefanya wewe mwanamke ila angekua mwanaume mwenzao ndo kafanya hivi wangempongeza na kumwona mjanja.....
mama just do what makes you happy katika maisha yako ila tu uwe makini na magonjwa,yani kabinadam kamoja ndo kakukoseshe amani mtoto wa watu loh...u deserve better mama...

Ushauri mzuri sn huu
 
Mama hebu leo usiku anza kusali tena mpe Mungu jukumu awarekebishe. Ukisali kumrudisha mume ama mpenzi aliyekengeuka ama kudangangika yataka uvumilivu yaweza chukua miezi hata 6. Rafiki yangu aliachana na mpenzi wake kisa kapa mchepukk/mpenzi mwingine alianza kusali neno lake kuu 'MUNGU WANGU NAJUA NILIMPENDA NA KUMUHESHIMU, NILIJITOA KWA DHATI ILA IKIWA NI MAPENZI YAKO BASI ARUDI ENDAPO HUKO ALIKO SIO MIKONO SALAMA' niliona huyu best ni chizi mwanaume kamsusia kampa kibuti akituma sms hajibu 6 months bado anaimani?? Kilichotokea yule kaka alikuja kumtafuta akaomba msamaha kabadilika dharau kaacha wameoana juzi

mwajuma tabia ni ngozi,beleive me atarudi kulekuleee,nampa pole kurudiana nae,wasukuma wana msemo unasema shokela shokela ikashokelaga na mingi maana yake rudia rudia inarudi na mambo mob,kila la heri kwao
 
Wametuweka mtu kati hapa na Mabeijing wenzie. Aaah wamepeana mbinu nyingi sana za kuchepuka wakirudi home wanakuwa wepesi eti zaidi ya karatasi.
Wanawake kwenye kuchepuka wajanja saana. Hadi ukagundue sio kesho.

Unakuta mtu ana account JF. Fb. Insta. Snap na kote anamichepuko na kugundua tu anaaccount zote hizo huwezi jua.
 
Tehe!, Tehe!, yaani mtu anapigana kutulaani wakati ana mtoto wa chuo. Halafu watoto wa chuo walivyo, pengine nae ana mchepuko wake mwingine na huyu kaka yetu hapa na kelele zake usikute na yeye kapangwa foleni.
Na kama sio hivyo basi James D. ndo wifi yetu nyumba ndogo, au tumwite shemeji sijui...😀



mwanaume halisi hapangwi ata siku moja ata ningekuwa nao 20 ivi mmewapata wapi hao madume suruale mnaowaendesha? itakuwa mliwapata kwenye mitandao

mimi kama beberu natoa maelekezo yatii bila shuruti.

alafu usifikiri mimi katili sana ikatokea mda wa kula nikiwa nyumban mke wangu na watoto hawajawai kula na mikono yao. saiyoo tumbo limejaa nyama na dompo katoto kachuo kamesha nifanye mwepesiiiiii.
 
Afadhali afe kwa kutafuta mwenyewe kuliko kutulia halafu unaletewa huo wa kuletewa inaumiza bora MTU uutafute mwenyewe kwa raha zako siku ukiupata utajijutia mwenyewe


hhahahhhhaha best umepinderrr
 
Hahahah!, kwa kweli. Naona mchepuko wake anaousifia mchana uko chuo, usiku unahamisha makazi kona bar.

Mwanachuo lazima namaanisha lazima awe na msululu wa wanaume kama watoto wa bata.....

Boyfriend wa chuo, kulala wote usiku baridi kulala mwenyewe mwisho ubanwe kifua.

Msuuza rungu, huyu anapendwa kwa ajili anagawa dozi ilioenda Shule.

Papaa zombie, zee la kumhudumia we kila wiki mtu anasuka nywele si chini ya 30 wazazi wapo huko tambaautwikekapulanyege unadhani hela atoa wapi.

Bado mchumba aliemuacha home anasubiri amalize chuo.

Chuma cha mjerumani heri ungejisifu unapiga beki tatu, make kwa beki tatu utakua ni wewe tu labda na mwanao anapiga piga kufanya mazoezi
 
Back
Top Bottom