Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Unapotaka kufanya kitu angalia mazingira,mimi napinga baadhi ya wanawake ambao wanasema wanachepuka kwasababu waume zao wanachepuka,na wanachukulia eti jamii itawasapoti kwa kisa cha usawa,sisi hiyo Tanzania bado sehemu kubwa tutashangaa,lakini kwa mwanaume haitashangaza sana kama ilivyo kwa mwanamke,tuwe makini tunapitatua mambo.
Asante ndiyo muache kuumiza wake zenu unavyoumia wewe hata yeye vilevile hana moyo wachuma na kwa mke mwenye busara hawezi from no where aanze kucheat no ss eti m upo mbali miezi 3/4 siku ukirudi umechoka et mpaka mke alilie kidudu kama kama mtoto analilia pipi hiyo haki uvumilivu unamwisho Mungu mwenyewe alisema bora yaishe kwa wana wa Israel na kuwasokomeza baada dhambi kuwa too much, halafu ndoa inapofungwa mwanamme ndiyo huanza kuuzwa, mkigeuziwa mkuki pressure juu acheni kuumiza wenza wenu na majibu yakuudhi
 
Mmh naona aibu kwa ajili yao.
Yani aache kutafuta madeal bar acheze na watoto? Utakuwa umempa limbwata aisew .

Wish hawa wenzetu wangejua wana part kubwa sana katika malezi ya watoto apart from kumeet mahitaji yao ya kifedha. I honestly wish..
Huko bar kinacho waweka kushikashika manyonyo yanayochezewa chezewa kama mihogo inavyochaguliwa pale buguruni sokoni
 
Ni kweli kabisa, family nyingi zinasimama, watoto wanafika mbali kwa ajili ya mama kupambana.
MUNGU atujaalie maisha marefu kina mama wote Amen.
Kina baba mutuombee (in magu's voice)
Tena hiyo mijitu ikishapata kazi inaanza wanawake sijui akili zao wanazijua wenyewe wakati yy mwenyewe ada ya baba yake haijui baba k huko mtaani mama anasota naye huko mtakufa mapema jirekebisheni machozi ya wanawake mabaya na kama alikuwa mwaminifu kwako
 
Demi ni haki yako kumpenda nyani ngabu...ila mshaur mwenzako vizuri kuhusu ndoa yake..even if mume wake anacheat haiwezi ikawa ndo sababu ya yeye kutokwenda kuulizwa na Mungu wake kwamba alifanya nn ili kuuilinda ndoa au alismama kiasi gan kuijenga hii ndoa.akumbke tu every success need a sacrfise...na Mungu hazijui dhambi njema
Kichwa ndiyo kitaanza kuulizwa kwanini dishi lake liliyumba mpaka kiwiliwili kikapoteza mwelekeo
 
Wala mimi sihalalishi hayo afanyayo ndugu yangu. Wote tunafahamu kuwa sio vizuri alichofanya.
.
.
Ila kama hayo aliyotuambia ni kweli basi mume wake hamtendei haki. Kumbuka nayeye ana mahitaji ya mwili aende wapi wakati mume anampotezea. Ushauri hapa ni kuwa waume watimizieni wake zenu mahitaji yao ili kuepusha hii michepuko. Michepuko sio halali afanye mume au mke haipendezi.
Na nyie wanaume msipinge tu kuwa mke hatakiwi kufanya hivyo wkt akifanya mume mnaona sawa. Mkihalalisha uchepukaji kwa mume basi na sisi tutahalalisha uchepukaji kwa mke.
Si ndiyo hapo yeye akasuuze huko halafu mke akae na stress zake sasa nani amsaidiye hivi mme anaye timiza mjukumu yake sizani mke mwenye busara na maadili anaweza chepuka hamu itoke wapi? Kwanza ni dhambi kumbuka yule amsababishae mwenziye makwazo ndiye wakwanza kupata kisago mbele za Mung.
 
Ukiona mwanamume anashindwa kutoa huduma masaa yote ana matatizo ya kiafya. Na kama mumewe ana kibamia na katuambia anachapa hovyo, huyo mwanamke ndio mwenye shida. Ndio maana jamaa anasurura nje (kama ni kweli). Kwa nini wengine wakubali kugongwa na hicho kibamia.
Duh!
 
Si wanajua wakishakuweka ndani wamemaliza. Haya ngoja tu wasaidiwe.
Wanawafanya mapazia ya mlangoni wakati kama ni nguo chakula alikiacha kwa baba yake akaambatana na mme, wasipotulia watalea sana watoto wasio wao mke anakaa miezi 3 siku akimkuta mkunaji mimba lazima na kitanda hakizai haramu mtoto anatoka mrembo huyo au bonge la handsome
 
Mwanamke hayo unayo yasema lazima yatakuwa yana toka moyoni kwa mwanamke mwenye roho ya uzinzi ndani yake...ndiyo maneno yako yana mkosoa Mungu pale aliposema ndoa na iheshimiwe na watu wote.....maandiko matakatifu yanasema " mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake bali mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe"

Sijui kama uwehi kuwaza athali utakazo pata kwa uamuzi wako huo wa kipepo...

Umeamua kutenda jambo litakalo angamiza nafsi yako mwenyewe... Kumbuka kuna maisha baada ya maisha haya.
Ndoa iheshimiwe na watu wote sio ndoa iheshimiwe na mke tu!,,!!!!! Au nimekosea
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Zamu yangu lini?
 
Umemdharirisha mmeo kusema anakibamia na pia hayo sio maamuz sahihi kuchepuka ila utakuja kujuta cku moja kila la heri na mchepuko wako
Sio kumdhalilisha mme anajidhalilisha mwenyewe unazani michepuko hasemi kwa wenziwe? Hujui wezi wa wame za watu yule sio mme atasema kwa shoga zake pale nachuna taratibu hana chochote uchafu ni kwasababu nishakula hela zake hamjijui tu wanasemaga kweli kidole cha mwisho hakuna kitu kamoja tu kinapumulia juju tu
 
nabishana watu sita lakini akili zenu ukizijumlisha ni za mwanaune mmoja tena mwenye miaka 22.


ndo maana sulemani alioa wana wanawake zaidi ya 1000 na walikuwa hawamsumbui akili ni kwasababu akili ya mwanaume ni PANA.


na hakuna mwanamke alikuwa anachepuka yani niwe na mke mmoja alafu achepuke nisijue sintakuwa bogasi kama wanaume wenu.
WE NAEEEE!
ah hata hunogi kupanga hoja !
hoja zako nyepesiiiiiiii!
 
Asante ndiyo muache kuumiza wake zenu unavyoumia wewe hata yeye vilevile hana moyo wachuma na kwa mke mwenye busara hawezi from no where aanze kucheat no ss eti m upo mbali miezi 3/4 siku ukirudi umechoka et mpaka mke alilie kidudu kama kama mtoto analilia pipi hiyo haki uvumilivu unamwisho Mungu mwenyewe alisema bora yaishe kwa wana wa Israel na kuwasokomeza baada dhambi kuwa too much, halafu ndoa inapofungwa mwanamme ndiyo huanza kuuzwa, mkigeuziwa mkuki pressure juu acheni kuumiza wenza wenu na majibu yakuudhi
Kama unaona badala yakumwambia mumeo na mkae mtatue tatizo wewe unaona kua dawa nikuchepuka,basi heri,utakua nawewe umeamua kuungana na maneno yangu yanayosema wanaume tuwachunguze wake zetu watarajiwa maana wengine wanakua na matatizo yakibaiolojia ambayo wao wanatakiwa kuitumikia jamii na siyo mwanaume mmoja,na wanaume amabao mwanamke anayechukua maamuzi yakuchepuka hovyo nikama kufanya mapenzi na wanaume wenye wake wanaojielewa lakini kwa wakati huo wake zao wanakua wamejifungua au ni wagonjwa wa muda mrefu,au wanaume ambao wamefiwa wake zao sasa wanakua wanapumzikia kwa wanawake wa kaliba ya wachepukaji huku wakitafuta wake wanaojielewa n.k
 
hahahahahhahahhHHH huu muda amekaa na anabishana na sisi tuko kama sita tunapokezana !
yeye peke yake manake ameshinda humu!

kama ni simu sijui muda gani kamtakia hata hali mkewe!
yet anajipa moyo HACHEPUKI,sijui mimi mwanamke hanifanyii huu ujinga!
AHAHAHAHHAHAA hakyanani!
Amtakie saa ngapi wakati mchepuko umembana hela ya saloon na kitchen part wakati mke yebo zina mwezi na nusu
 
Si ndiyo hapo yeye akasuuze huko halafu mke akae na stress zake sasa nani amsaidiye hivi mme anaye timiza mjukumu yake sizani mke mwenye busara na maadili anaweza chepuka hamu itoke wapi? Kwanza ni dhambi kumbuka yule amsababishae mwenziye makwazo ndiye wakwanza kupata kisago mbele za Mung.
Wanaume siyo kwwmba tunasapoti,sisi tunakataa mtu kukata tamaa yakurekebisha ndoa yake badala yake anaungana na mwanaume kufanya mambo ambayo kwa kawaida yanamdhalilisha yeye pamoja na baadhi ya watu wanaojiheshimu,unajua kuna muda uko kwa rafiki yako ghafla unamuona mdada au mma anaingia kuchepuka chumba cha jirani,tena anafanywa hadi mmbo mengine yakudharirisha,yaani hii inafanya hadi uone aibu mwenyewe asikuone maana duuuh!
 
Kina Angela Merkel ni wanaume? Kama unazungumzia wanaume viongozi wa afrika hapo hakuna.cha kujisifia coz hawawezi simama na wanaume kamili waliofikisha nchi zao kwenye maendeleo bado tuko kwenye Lindi LA.umaskini hakuna cha kujivunia.
Unapofanya mlinganyo,jaribu kuangalia mazingira,Angela yuko Ulaya kwenye mazingira tofauti na Afrika,sasa usitake kuishi kiulayaulaya wakati uko huku,watu watakushangaa,ila ulaya ungepongezwa.
 
Back
Top Bottom