chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 12,180
- 25,418
Una uhakika hao unaolea hapo ndani ni wako???
cc mkemia
ukiwaona huwezi ata uliza ni wa nani. unafikiri kila mwanaume ni bogasi kama mme wako???
Una uhakika hao unaolea hapo ndani ni wako???
cc mkemia
Mwanamke hayo unayo yasema lazima yatakuwa yana toka moyoni kwa mwanamke mwenye roho ya uzinzi ndani yake...ndiyo maneno yako yana mkosoa Mungu pale aliposema ndoa na iheshimiwe na watu wote.....maandiko matakatifu yanasema " mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake bali mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe"Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Ni kweli ngabu, lakini unajua hata wale wachache ambao bado wapo innocent wakisoma jinsi wenzao wanavyohalalisha michepuko, nao wanashawishika kujaribu. Bado kuna wanawake waaminifu, japo idadi inapungua kila siku.Really?
Mi mbona naona siku zote wanazo tu hizo nguvu za kuchiti....
Ukiwa mtu mwelewa wala hutopata shida kujua kuwa siku zote huwa wanachiti.
Hata humu wapo wengi tu wanaochiti na najua hilo kwa uhakika wa asilimia 110....hahaha....sitaki maswali nimejuaje.....
Test ndogo ya kuweza kupata fununu kama mtu anachiti, awe mkaka au mdada, ni simu.
Wangapi wapo tayari wenza wao waziguse simu zao muda wowote ule bila tatizo?
Ila pia simu si kigezo cha uhakika kivile. Mtu anaweza kukuachia ushike simu yake utakavyo na bado akawa anachiti vilevile....
So bottom line, both men and women cheat at the same level.....
Kwa ujanja upi mbona unatmbewa???ukiwaona huwezi ata uliza ni wa nani. unafikiri kila mwanaume ni bogasi kama mme wako???
Kumbe mara moja moja unakuwaga 'mtakatifu'..?
Si kwa ushauri huu asee

We mchungaji wa wapi? unavyosema mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake mwenyewe hizo ndoa zinazovunjika kila siku ni mwanamke amevunja? Angalia source ya tatizo ni niniMwanamke hayo unayo yasema lazima yatakuwa yana toka moyoni kwa mwanamke mwenye roho ya uzinzi ndani yake...ndiyo maneno yako yana mkosoa Mungu pale aliposema ndoa na iheshimiwe na watu wote.....maandiko matakatifu yanasema " mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake bali mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe"
Sijui kama uwehi kuwaza athali utakazo pata kwa uamuzi wako huo wa kipepo...
Umeamua kutenda jambo litakalo angamiza nafsi yako mwenyewe... Kumbuka kuna maisha baada ya maisha haya.
Kweli maana siku hizi familia nyingi mama ndo baba na mama.
Ukipata na mahitaji ya kifedha shukuru Mungu teh.....
Kwa ujanja upi mbona unatmbewa???
Unadhani hata asilimia za mkemia wanakubali? Jipe moyo
wanatuchukulia poa sana hawa!Duh!, mwanamke akiwezeshwa....oh! no sorry!, I meant to say AKICHOKOZWA...lol
yani wewe unayepanick hivi kwa maneno ya keyboardsshukuru Mungu wako sijakuoa mimi huo mdomo ningeuweka super glue.
sio na jipa moyo najiamini maisha yangu huyajui wewe Mrs bogasi.
sijui mnawapata wapi wanaume wa hivyoo kuwaendesha na kushindana
AHAHHAHAHAHAHAA wanajipa mapana ya koti tu hapa!Kuna mkaka alisemaga kitu humu ndani ambacho sintasahau kutuhusu, nakumbuka maneno yalikuwa kama hivi, "Wanawake ni emotionally intelligent and very resilient" na kuwa tuna extra sense ambayo hutufanya kugundua vitu haraka pasipo waume zetu kujua. Which is very true!
Sasa nyie vidume jitutumueni tu kuwa hatuwezi kushindana na nyie (Sawa) lakini you guys have no Idea what we're capable of doing. Tunaweza kuonekana wakimya, na wavumilivu kwenye upuuzi wenu laiti mngelijua, kumbe mtu anawachora tu na kuwalia timing, waiting for the perfect time to counter attack, and of course, we always do it quietly. 🙂
hahahahahhahahhHHH huu muda amekaa na anabishana na sisi tuko kama sita tunapokezana !Wanaume wenzio muda huu wanapiga mahesabu na kupiga story na watoto zao we uko busy kwenye mkeka kubishana na wanawake, alafu eti mkeo asichepuke!!! Thubutuuuu!
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Dada nakusabahi tuUsijibane mummy,ioe nafsi yako kile inataka. Life is too short. Ila siku kikinuka utufahamishe pia

NIKWAMBIE KITU!unafikiri mke wangu anafikiria kama wewe.
unafikiri kuku wa kisasa.
mda huu unatakiwa uwe unapika na kuwa saidia watoto home work.
uko bizee kubishana na waume zako.
Mie sio mchochezi bwana.Sijambo. Naona Evelyn Salt kaliamsha DUDE kwa uchochezi wako