Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Mwanamke hayo unayo yasema lazima yatakuwa yana toka moyoni kwa mwanamke mwenye roho ya uzinzi ndani yake...ndiyo maneno yako yana mkosoa Mungu pale aliposema ndoa na iheshimiwe na watu wote.....maandiko matakatifu yanasema " mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake bali mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe"

Sijui kama uwehi kuwaza athali utakazo pata kwa uamuzi wako huo wa kipepo...

Umeamua kutenda jambo litakalo angamiza nafsi yako mwenyewe... Kumbuka kuna maisha baada ya maisha haya.
 
Really?

Mi mbona naona siku zote wanazo tu hizo nguvu za kuchiti....

Ukiwa mtu mwelewa wala hutopata shida kujua kuwa siku zote huwa wanachiti.

Hata humu wapo wengi tu wanaochiti na najua hilo kwa uhakika wa asilimia 110....hahaha....sitaki maswali nimejuaje.....

Test ndogo ya kuweza kupata fununu kama mtu anachiti, awe mkaka au mdada, ni simu.

Wangapi wapo tayari wenza wao waziguse simu zao muda wowote ule bila tatizo?

Ila pia simu si kigezo cha uhakika kivile. Mtu anaweza kukuachia ushike simu yake utakavyo na bado akawa anachiti vilevile....

So bottom line, both men and women cheat at the same level.....
Ni kweli ngabu, lakini unajua hata wale wachache ambao bado wapo innocent wakisoma jinsi wenzao wanavyohalalisha michepuko, nao wanashawishika kujaribu. Bado kuna wanawake waaminifu, japo idadi inapungua kila siku.
 
Mwanamke hayo unayo yasema lazima yatakuwa yana toka moyoni kwa mwanamke mwenye roho ya uzinzi ndani yake...ndiyo maneno yako yana mkosoa Mungu pale aliposema ndoa na iheshimiwe na watu wote.....maandiko matakatifu yanasema " mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake bali mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe"

Sijui kama uwehi kuwaza athali utakazo pata kwa uamuzi wako huo wa kipepo...

Umeamua kutenda jambo litakalo angamiza nafsi yako mwenyewe... Kumbuka kuna maisha baada ya maisha haya.
We mchungaji wa wapi? unavyosema mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake mwenyewe hizo ndoa zinazovunjika kila siku ni mwanamke amevunja? Angalia source ya tatizo ni nini
 
Umemdharirisha mmeo kusema anakibamia na pia hayo sio maamuz sahihi kuchepuka ila utakuja kujuta cku moja kila la heri na mchepuko wako
 
Kwa ujanja upi mbona unatmbewa???
Unadhani hata asilimia za mkemia wanakubali? Jipe moyo



shukuru Mungu wako sijakuoa mimi huo mdomo ningeuweka super glue.


sio na jipa moyo najiamini maisha yangu huyajui wewe Mrs bogasi.


sijui mnawapata wapi wanaume wa hivyoo kuwaendesha na kushindana
 
shukuru Mungu wako sijakuoa mimi huo mdomo ningeuweka super glue.


sio na jipa moyo najiamini maisha yangu huyajui wewe Mrs bogasi.


sijui mnawapata wapi wanaume wa hivyoo kuwaendesha na kushindana
yani wewe unayepanick hivi kwa maneno ya keyboards
hakiiii WEWE UNGENIOA MIMI HAKUNA RANGI UNGEACHA KUONA!
 
Kuna mkaka alisemaga kitu humu ndani ambacho sintasahau kutuhusu, nakumbuka maneno yalikuwa kama hivi, "Wanawake ni emotionally intelligent and very resilient" na kuwa tuna extra sense ambayo hutufanya kugundua vitu haraka pasipo waume zetu kujua. Which is very true!
Sasa nyie vidume jitutumueni tu kuwa hatuwezi kushindana na nyie (Sawa) lakini you guys have no Idea what we're capable of doing. Tunaweza kuonekana wakimya, na wavumilivu kwenye upuuzi wenu laiti mngelijua, kumbe mtu anawachora tu na kuwalia timing, waiting for the perfect time to counter attack, and of course, we always do it quietly. 🙂
AHAHHAHAHAHAHAA wanajipa mapana ya koti tu hapa!
kende ziancheza huko waliko!
 
Wanaume wenzio muda huu wanapiga mahesabu na kupiga story na watoto zao we uko busy kwenye mkeka kubishana na wanawake, alafu eti mkeo asichepuke!!! Thubutuuuu!
hahahahahhahahhHHH huu muda amekaa na anabishana na sisi tuko kama sita tunapokezana !
yeye peke yake manake ameshinda humu!

kama ni simu sijui muda gani kamtakia hata hali mkewe!
yet anajipa moyo HACHEPUKI,sijui mimi mwanamke hanifanyii huu ujinga!
AHAHAHAHHAHAA hakyanani!
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.

Ni muhimu kukumbuka kuwa kila jambo lina mwisho, na mwisho wa jambo moja ni mwanzo wa jambo lingine. Mwisho wa wewe kuwa duniani ni mwanzo wa wewe kuonana uso kwa uso na Mungu anayekuona na asiyependa unayoyafanya.
 
Back
Top Bottom