Mimi siyo mwalimu wa biology ila nina kidogo uelewa,nilipokua chuo nilijifunza hivyo kwenye saikolojia,utafiti ulifanyika na ikaonyesha kua mwanamke mwenye hormone zilizobalance,hawi driven na mahamu,ila yule mwenye hormone nyingi ambazo sisi wanaume tunazo,huyo hakamatiki na tunashauriwa tuwaepuka kwasababu siyo wavumilivu wa mahamu,hao ndiyo sasa inabidi wawe watoa msaada kwa vijana wa vyuo wanaomaliza halafu wanakosa pesa za kuhonga,wale ambao wake zao wamejifungua,madereva wa masafa,waliofiwa wake n.k.Wanawake wa hivyo mwanaume mwingine akiomba namba unatakiwa umpatie ila mwambie asiseme kua wewe ulimpa hakika atajilia mzigo hadi akimbie mwenyewe,hao wanawake wapo enzi na enzi,ni very helpful kwenye jamii na hutia aibu sana mwanaume asipojua akaoa.