Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,346
- 159,499
Hizo takwimu za "kila mtu anachepuka" umezitoa wapi???
Hivo kumbe wapo wasiochepuka eeh!!!
Hizo takwimu za "kila mtu anachepuka" umezitoa wapi???
Sio mashindano, bali anatafuta kile kitu amekosa kwa mumewe. Na amekipata.Weka japo comment yangu moja hapa inayomtetea mwanaume anayefanya uovu kama wa huyu mama anayejisifu hapa mtandaoni. Uovu siku zote ni mbaya unapofanywa na mtu yeyote mwenye akili timamu. Kwanini unapenda kuonyesha kuwa anachokifanya mtoa hoja ni halali kwasababu tu hata mume wake anafanya? Ni ujinga kufanya mashindano katika kufanya uovu!
Hebu tuambie ulipochepuka ulikutana na nini!! Mbona wenzio tuanakutana na raha tu!!!Hongera Dada kaza Mwendo kama umepata raha huko, ila nakushauri hamia uko.
Kuna shida kubwa kuchepuka wengine tumechepuka tukakutana na hayo tumeona ni ujinga tumeamua kuvumilia kama wewe unashangilia kaza mwendo
Wengi tu naamini.
Hivo kumbe wapo wasiochepuka eeh!!!
Ndipo utakaposhangaa!! Yaani nitakuchochea na yale magogo yasiyoisha haraka.Basi siku ya mwisho hakuna hukumu kama na wewe ni mmoja wao. Ukoswe hata kwa kosa la kunena?
Ni kweli wapo. Haswa wanawakeWengi tu naamini.
Usichepuke kwa ajili kumkomoa mtu wala kushindana wala kulipa kisasiHongera Dada kaza Mwendo kama umepata raha huko, ila nakushauri hamia uko.
Kuna shida kubwa kuchepuka wengine tumechepuka tukakutana na hayo tumeona ni ujinga tumeamua kuvumilia kama wewe unashangilia kaza mwendo
Unapenda uchokoziNi kweli wapo. Haswa wanawake
Kuna mama mchungaji flani hivi wa kanisa kubwa tu hapa mjini, asee mama mchungaji anapigwa miti si kitoto ha ha ha afu mida yake ni mida ya kazi saa nane tayari yupo home kuandaa msosi wa baba mchungaji
Hivo kumbe wapo wasiochepuka eeh!!!
Unapenda uchokozi
Hapo baba mchungaji walaa hana habari!! Eeeh watuombee tu kwakweli.Kuna mama mchungaji flani hivi wa kanisa kubwa tu hapa mjini, asee mama mchungaji anapigwa miti si kitoto ha ha ha afu mida yake ni mida ya kazi saa nane tayari yupo home kuandaa msosi wa baba mchungaji
Maandiko yaliyotungwa na wanaume kukandamiza wanawake? Baki na neno lako! Tabia nzuri tunazijuaSijasema Mimi hivyo hayo ni maandiko acha ubishi badiri tabia
Sasa hivi amani mnoo mapenzi motomoto hata asiporudi akirudi asubuhi nampokea na pole nyingi
Teh teh eti amuombee mumewe. Mke nani anamuombea? Hamuwaombei wake zenu ndo maana tabia zao zimebadilika.Nimeona humu jf kuna mademu wamekuunga mkono saaaana. Ikumbukwe humu kuna watu wenye tabia kama za kwako, wengine waliolewa wakaachika, wengine ni waathirika wa vvu; hivyo wangependa kupata wafuasi wengi. Comments zao zimnipa picha ya nani humu ana tabia kama ya kwako. Mwanamke mwenye busara hashinadani na mwanamume kufanya uzinzi bali hutulia akimuombea mumewe aache tabia hiyo.
Tulia mkuu. Tafuta popcorn kabisa!hivi humu mnajadili nini? Kila nikirefresh page nauona huu uzi ktk NEW POSTS. Kina dada mnafundishana kuchiti au??
hahahahahhahahhHHH huu muda amekaa na anabishana na sisi tuko kama sita tunapokezana !
yeye peke yake manake ameshinda humu!
kama ni simu sijui muda gani kamtakia hata hali mkewe!
yet anajipa moyo HACHEPUKI,sijui mimi mwanamke hanifanyii huu ujinga!
AHAHAHAHHAHAA hakyanani!
Sema weweWatuu wachepukeee...!! Kila mtu ana chepukaa sema tu shida Ukijulikanaa... Ilaa kuchepuka rahaa sanaa...
Kapata mtarimbo hlf ukute na pesa anapewa. Kuchepuka raha bwana!Sio mashindano, bali anatafuta kile kitu amekosa kwa mumewe. Na amekipata.
Atakuwa alikutana na jiniHebu tuambie ulipochepuka ulikutana na nini!! Mbona wenzio tuanakutana na raha tu!!!