Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Really?

Mi mbona naona siku zote wanazo tu hizo nguvu za kuchiti....

Ukiwa mtu mwelewa wala hutopata shida kujua kuwa siku zote huwa wanachiti.

Hata humu wapo wengi tu wanaochiti na najua hilo kwa uhakika wa asilimia 110....hahaha....sitaki maswali nimejuaje.....

Test ndogo ya kuweza kupata fununu kama mtu anachiti, awe mkaka au mdada, ni simu.

Wangapi wapo tayari wenza wao waziguse simu zao muda wowote ule bila tatizo?

Ila pia simu si kigezo cha uhakika kivile. Mtu anaweza kukuachia ushike simu yake utakavyo na bado akawa anachiti vilevile....

So bottom line, both men and women cheat at the same level.....
Haleluyaaaa!!!
 
Ila mimi kuniombea hautaki eti jirani?
Hayo sio mapepo, huyo ndio mke sasa, yaani kila ukimuhitaji yuko tayari. Sio wale wa oooh nimechoka,mara oooh ninaumwa. Upewe nini tena kama sio mke mwema kama Evelyn Salt???
Haya sema Ameeeen!!



huyu ata nipewe na milion 50 simtaki. huyuu anaweza akakuletea watoto wa nje.
 
Mmh naona aibu kwa ajili yao.
Yani aache kutafuta madeal bar acheze na watoto? Utakuwa umempa limbwata aisew .

Wish hawa wenzetu wangejua wana part kubwa sana katika malezi ya watoto apart from kumeet mahitaji yao ya kifedha. I honestly wish..
Sie tulishawazoea angalau tumepata mbadala wa mchepuko, sasa wanataka na watoto wapate mbadala wa baba!!! Wajitafakari sana.
 
Demi ni haki yako kumpenda nyani ngabu...ila mshaur mwenzako vizuri kuhusu ndoa yake..even if mume wake anacheat haiwezi ikawa ndo sababu ya yeye kutokwenda kuulizwa na Mungu wake kwamba alifanya nn ili kuuilinda ndoa au alismama kiasi gan kuijenga hii ndoa.akumbke tu every success need a sacrfise...na Mungu hazijui dhambi njema
Wala mimi sihalalishi hayo afanyayo ndugu yangu. Wote tunafahamu kuwa sio vizuri alichofanya.
.
.
Ila kama hayo aliyotuambia ni kweli basi mume wake hamtendei haki. Kumbuka nayeye ana mahitaji ya mwili aende wapi wakati mume anampotezea. Ushauri hapa ni kuwa waume watimizieni wake zenu mahitaji yao ili kuepusha hii michepuko. Michepuko sio halali afanye mume au mke haipendezi.
Na nyie wanaume msipinge tu kuwa mke hatakiwi kufanya hivyo wkt akifanya mume mnaona sawa. Mkihalalisha uchepukaji kwa mume basi na sisi tutahalalisha uchepukaji kwa mke.
 
Mwanzoni haikuwa bamia ila baada ya kuchepuka ameona imekuwa kibamia? Huyu ameathirika na matunizi ya matango yale yaliyowekwa mbolea nyingi yakaumuka sana.
Uliwahi yatumia nini!!! Maana sio kwa experience hiyo.
 
Demi ni haki yako kumpenda nyani ngabu...ila mshaur mwenzako vizuri kuhusu ndoa yake..even if mume wake anacheat haiwezi ikawa ndo sababu ya yeye kutokwenda kuulizwa na Mungu wake kwamba alifanya nn ili kuuilinda ndoa au alismama kiasi gan kuijenga hii ndoa.akumbke tu every success need a sacrfise...na Mungu hazijui dhambi njema
Na hii sucrifice inatakiwa iwe ya mke tu!!! Ndio kajisucrifice hivyo kutafuta faraja ili ailinde ndoa yake asigombane na mumewe kila siku kisa dyudyu.
 
Na hii sucrifice inatakiwa iwe ya mke tu!!! Ndio kajisucrifice hivyo kutafuta faraja ili ailinde ndoa yake asigombane na mumewe kila siku kisa dyudyu.
No espy ain't mean hvyo..yani si kitu kzuri kwa mwanandoa yeyote kufanya hii kitu ya kuchepuka au kumwona mwezie kma mtu mdhaifu au mdgo sana wakati the time ulivyokutana nae ulikuwa humble...OK espy hivi huyu dada anavyochepuka instead of kukaa chini na kujarbu n jinsi gani ya kuweza kunsuru hii ndoa yao inayoyumba hivi kweli kuna kitu kitasaidka hapo...yani bora akajarbu kutafuta njia ya kumbadlsha huyu jamaa
 
Back
Top Bottom