Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Duuuh! atakayefuata ushauri wako,hakika atakua hajui nini maana ya nature na tutachelewa sana kuoa kama ndo hivi kwasababu baadhi ya wanaume watakua wanakula wake za watu na mademu ambao hawajaolewa,na kikawaida mke wa mtu hana gharama,sipati picha vijana wenzangu wanavyofakamia madada au akina mama wenye mtazamo kama wako.
Vijana hao nao unawaitaje?
Yaani cha kukufanya uchelewe kuoa ni nini haswa? We sema bado haujakuwa bwana.
Na uhakikishe umekuwa na una akili zako timamu ndio uoe msijekujifanya watoto na midevu yenu ya kila mahali.
 
Kama ndivyo,kikubwa nikumrekebisha siyo kumlipizia kwakulala na wanaume hovyo,kwakweli watoto wanakua wanajisikia vibaya sana,hasa mama akiwa analala na watu hovyo,inakua inaumiza sana,sijui lakini kwa jamii nyingine.
Kwanza mama halali na watu hovyo hovyo, pia hawaagi watoto kuwa anakwenda kupata tulizo.
Anakwenda kwa muda wake na anarudi kuhudumia familia yake, kwahiyo usihofu kuhusu kujisikia vibaya.
 
kama umekubali kubanana ukikanyagwa kaa utulie.


apo nyumbani umefuga kuku umeleta mitetea saba jogoo mmoja..

umeshindwa kuchukua hako kamfano?
Kumbe tunahangaika na nyie bure mweeeeh!! Kumbe akili zenyewe ndizo za kuku
 
Ntachelewa kuoa kama ndiyo hivi,siwezi nikawa na mwanamke mzinzi,anashusha sana personality na anaaibisha sana ndugu zake hasa wanapoambiwa 'dada yenu yuko gesti au kwenye chumba cha msela anapiga kelele kinoumah'
Usichelewe mkuu, we usioe kabisa. Ukiwa mzinzi utampata tu mzinzi mwenzio ili maisha yawe rahisi.
 
Sasa talaka ya nini? Wewe mbona ulivyoanza kuchepuka hukutoa talaka? Maswala ya talaka yafie uko mbali tuvumiliane tu.

Wewe nenda pata kitu roho napenda wala sitakugasi heshima na adabu tele.nami nikitaka utamu nakimbia masaa yangu mawili matatu napata roho napenda then narudi tuendelee kuijenga familia tatizo liko wapi hapo.
Chi ndio hapo chacha, yaani hapo mambo yanakuwa saaafi kabisa.
 
Na mimi nipo single mkuu njoo na kwangu asikusumbue kabisa.
Lakini hebu mjaribu huyo mchepuko kuwa umeachika unataka kuhamia kwake, Akikataa njoo kwangu nitakupokea.
 
watajisemesha hapaaaa ILA WANAJUA DEEP DOWN NA WAKE ZAO NDO WANAFANYA HIVI HIVI!AHAHAHAHAHHAHAHHAA HAISRA NI PALE WANAPOIMAGINE KUWA WAT IF ANAYEANDIKA HII SREDI NI MKE WANGU?

BASI POVU LINAWATOKAJEEEEEEEEEEEEE?
mwaya wanaume poleni!
TUNAELEWA MNAVOUMIA!
MSIJALI LAKINI HAYO MAUMIVU HUWA HAYAISHI WALA HAYAUI!
MBONA SIE HATUFI KLA SIKU!
NDOA NI UVUMILIVU JAMANI!
ndoa ni KATIKA SHIDA NA RAHA!
NDOA NI KUJISHUSHA
NDOA NI KUSUGUA GOTI

ahahahhahahahha
sawasawa
 
MWENZANGU WE KAMA UMEKUBALI KUBANWA ,BANWA TU!
Kubanwa banwa kwenyewe maswali si akirudi anakuta upo mng'avu anaanza kujishutukia fuatilia wanaume wasio ridhisha wake zao wanawivu sanaaaaa
 
Mimi nilijifunza toka Jogoo halijachwa..

Kuna mambo hayahitaji ujuaji na ubishi ubishi usio wa lazima.

Kiburi na kupuuzana puuzana hakuna sababu, hakuna aliye malaika tukikosena tusameheane kwa yenye kustahili msamaha.

Tukizidisha makwazo "watagongwa tu" kwani kwa vigezo hivyo hivyo vilivyonivutia Mimi na mwingine vitamvutia ataombwa na kwa sababu ya stress wala hatagoma. Hakuna mshindi katika haya mambo anaweza kuliwa na wala usigundue kabisa.

Mimi kwa Kujiamini Kabisa Nimejifunza na kila uchwao najifunza na kubadilika ili kuboresha mahusiano na mke wangu. Once nikikengeuka sitajisahau, hakuna La maana sana huko michepukoni zaidi ni kujiongezea cost za maisha tu.
Umeonesha busara hadi nimetamani kuwa mchepuko wako, naomba nafasi tafadhali.
Thanks in advance
 
Yani hapo hiv sasa ivi unakuja nayo nyumbani kwani hakuna pa kumshtakia kama unamkuta na ushaidi ? Hilo siyo jawabu cha msingi kaa na mumeo mjemhe maisha atabadilika tuuu
 
Km unaona ya mumeo ni kibamia basi wewe utakuwa una bwawa ndio maana unahitaji miti na mawe yaingie humo ndio bwawa lijae!!!
 
Back
Top Bottom