Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

kama ulikuwa unajua hupati kitu mbona kipindi cha uchumba ulitumia nguvu kubwa sana kusaka ndoa mpaka leo sugu za magoti hazijaisha. ulikuwa unasali mdogo wangu ata Musa wa biblia ulimpita kwa kusugua goti.


kama hupati kitu dai talaka uone nywele zitakavyo nyonyoka.
Sijawahi kutumia nguvu kutafuta ndoa..tena ilikuja mapema mno. Sijasota kama wengine!
.
.
Na usitake kunitoa nje ya mada. Either mwanamke kasota kuitafuta ndoa au hajasota ndoa ni ndoa tu! Na iheshimiwe na kila mtu! Usiponiheshimu sitakuheshimu habari ndio hiyo. Haombi mtu talaka..tutabanana hapa hapa tupeane raha na karaha!
 
Tatizo lenu ni moja. Wanawake wawe na maadili nyie mfanye upuuzi isionekane hamna maadili. Mnawafundisha nini watoto wenu wa kike na wa kiume?
.
.
Kwanini tusiungane pamoja kurekebisha maadili ya jamii yote kwa ujumla? Jiangalia jinsi ulivyo...je ungependa mtoto wako wa kike aje kupata mume mwenye tabia kama zako? Uko proud na tabia zako na huna shaka mwanao akipata wa kufanana na wewe?
Tusiongee tu ili mradi tunaongea..tusikariri misemo ambayo kiuhalisia haitekelezeki.
.
aliyekuambia mwanamke akichepuka ni aibu kwa jamii. Jamii ipi? Hiyo aibu nani anaona? Mchepukaji au jamii?
.
.
Na je wewe mwanaume unayechepuka jamii inakuonaje? Rijali ama? Tuache kukandamiza upande mmoja..tuhubiri maadili both sides na hapo ndio tutafanikiwa. Jamii itaelimika vipi km maadili atekeleze mwanamke peke yake? Elimu itusaidie jamani.
.
.
Mnasomesha watoto wenu wa kike mnategemea mawazo yake yaendane na ya mwaka 47? Dunia haipo hivyo..kila kitu kinabadilika.
.
.
Mume na mke wapendane, waheshimiane na michepuko iwe mwiko! Ukichepuka nami unanipa mzuka wa kufanya umayofanya..tena natamani haswa yaaani. Unanipa vishawishi mwenyewe bila kujijua.
Na muache kutuambia habari ya nature yenu wanaume maana imeprove wrong! Kwa maisha ya sasa nawasihi muache kuchepuka maana mnawafundisha wake zenu tabia mbaya!
.
.
Hiyo aibu kwa jamii ifafanue vizuri. Kama muhusika haoni aibu inamuathiri nini? Watu hawana aibu wanafanya kwa kukusudia. Aibu ni pale unapofumaniwa...i
otherwise ni raha tu.
.
.
BILA KICHWA CHA NYUMBA KUBADILIKA MENGINE HAYATAENDA SAWA. Badilikeni nyie mnaojiita vichwa! sisi tunafuata muongozo wenu. Nyie ni madereva wa malori sisi ni makondakta. Msije mkawa kama yule anayejitapa dereva wa lori kumbe lori lenyewe limekongoroka na service hafanyi!
Wewe ni mama wa familia. Kuna haja. Ubarikiwe sana. Hekima na upendo wa mume kwa mke humfanya mke kuwa na furaha na nuru kwenye paji la uso wake, na baraka nyumbani pao ndipo zinapoanzia kutiririka kama chemi chemi na mnacho kitaka kitapatikana maana maombi ni mamoja
 
Duuuh! atakayefuata ushauri wako,hakika atakua hajui nini maana ya nature na tutachelewa sana kuoa kama ndo hivi kwasababu baadhi ya wanaume watakua wanakula wake za watu na mademu ambao hawajaolewa,na kikawaida mke wa mtu hana gharama,sipati picha vijana wenzangu wanavyofakamia madada au akina mama wenye mtazamo kama wako.
Kama unataka raha na amani ya maisha usioe mkuu. Ila ndo hivyo huwezi maana jamii imeshasema ni lazima uoe so utakuja tu kuoa!
 
Kweli ni aibu kuwa na mke mzinzi hata mi nakubali maana hata mimi naona aibu kweli mume akiwa mzinzi!
Kama ndivyo,kikubwa nikumrekebisha siyo kumlipizia kwakulala na wanaume hovyo,kwakweli watoto wanakua wanajisikia vibaya sana,hasa mama akiwa analala na watu hovyo,inakua inaumiza sana,sijui lakini kwa jamii nyingine.
 
Mimi mwenyewe nashindwa hata kuwaelewa umeamua kuchepuka sawa nimekuacha kua huru basi na mimi nitafute utamu uko nje wanakua wakali na kuleta hadithi za kutishana.
Tena wasitutishe bwana, wao nani huwa anawatisha!!!
 
  • Thanks
Reactions: nao
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Kwanza, hongera kwa kuanza maisha mapya. Pili, nakupongeza kwa kuchukua uamuzi sahihi wa kugegedwa nje ya ndoa. Tatu, angalia usije ukapata mimba nje ya ndoa.
 
Sijawahi kutumia nguvu kutafuta ndoa..tena ilikuja mapema mno. Sijasota kama wengine!
.
.
Na usitake kunitoa nje ya mada. Either mwanamke kasota kuitafuta ndoa au hajasota ndoa ni ndoa tu! Na iheshimiwe na kila mtu! Usiponiheshimu sitakuheshimu habari ndio hiyo. Haombi mtu talaka..tutabanana hapa hapa tupeane raha na karaha!
Not all women were born to be respected mothers,some were born to serve sexual addicted men wherever they are.
 
Sijawahi kutumia nguvu kutafuta ndoa..tena ilikuja mapema mno. Sijasota kama wengine!
.
.
Na usitake kunitoa nje ya mada. Either mwanamke kasota kuitafuta ndoa au hajasota ndoa ni ndoa tu! Na iheshimiwe na kila mtu! Usiponiheshimu sitakuheshimu habari ndio hiyo. Haombi mtu talaka..tutabanana hapa hapa tupeane raha na karaha!



kama umekubali kubanana ukikanyagwa kaa utulie.


apo nyumbani umefuga kuku umeleta mitetea saba jogoo mmoja..

umeshindwa kuchukua hako kamfano?
 
Wewe ni mama wa familia. Kuna haja. Ubarikiwe sana. Hekima na upendo wa mume kwa mke humfanya mke kuwa na furaha na nuru kwenye paji la uso wake, na baraka nyumbani pao ndipo zinapoanzia kutiririka kama chemi chemi na mnacho kitaka kitapatikana maana maombi ni mamoja
Nashukuru kwa kunielewa mkuu. Hatupendi haya maisha ya michepuko bali mnatulazimisha kuwa hiyo. Nina amini na hata wanaume wengi wanatambua kabisa kuwa mwanamke akipata upendo, furaha, amani basi familia lazima iwe bora!
.
.
Hatukatai tuna mapungufu yetu makubwa tu lkn yanarekebishika kwa upendo mkitumia ubabe mnabomoa hamjengi!
 
Kama unataka raha na amani ya maisha usioe mkuu. Ila ndo hivyo huwezi maana jamii imeshasema ni lazima uoe so utakuja tu kuoa!
Ntachelewa kuoa kama ndiyo hivi,siwezi nikawa na mwanamke mzinzi,anashusha sana personality na anaaibisha sana ndugu zake hasa wanapoambiwa 'dada yenu yuko gesti au kwenye chumba cha msela anapiga kelele kinoumah'
 
kama ulikuwa unajua hupati kitu mbona kipindi cha uchumba ulitumia nguvu kubwa sana kusaka ndoa mpaka leo sugu za magoti hazijaisha. ulikuwa unasali mdogo wangu ata Musa wa biblia ulimpita kwa kusugua goti.


kama hupati kitu dai talaka uone nywele zitakavyo nyonyoka.
Sasa talaka ya nini? Wewe mbona ulivyoanza kuchepuka hukutoa talaka? Maswala ya talaka yafie uko mbali tuvumiliane tu.

Wewe nenda pata kitu roho napenda wala sitakugasi heshima na adabu tele.nami nikitaka utamu nakimbia masaa yangu mawili matatu napata roho napenda then narudi tuendelee kuijenga familia tatizo liko wapi hapo.
 
Me mume wangu anaijua ID yangu mbona. Ndo kwanza nimemkuta ananiombea mkewe nizidi kuwa amazing . Sisi kwetu ni mubashara tu kwa kweli
ya wifi yako nimeichungulia, alikuwa anaandika comment ghafla wamemuita mihogo imeletwa sokoni Mwambene, kwa kupenda mihogo kakimbia bila kulog out.
 
Hahahaaaa wazee wazamani usidhani walikuwa wanaishi mpaka wanafanana haya yalikuwa hayapo yalikuwepo, ila sasa hivi utandawazi tu mwanaume anaenda kuhemea kushoto mwanamke unaenda kupumuliwa kulia, mkikutana usiku mnageuziana migongo mkiamka asubuhi mnatoka vyumbani na nyuso za tabasamu, watoto wenyewe wanafurahiii baba na mama wanapendana, mkilala mkiamka mara miaka 3 ya ndoa, ukipindua miaka 10 , unajisemea niende wap bas mnaishi ila kila mmoja siri yake anavyoishi na mwezake.
mkuu ntafute nkununulie bia.. umesamaraiz maisha ya ndoa za cku hizi ipasavyo, ingekua UE ungepata 'A'
 
Sasa talaka ya nini? Wewe mbona ulivyoanza kuchepuka hukutoa talaka? Maswala ya talaka yafie uko mbali tuvumiliane tu.

Wewe nenda pata kitu roho napenda wala sitakugasi heshima na adabu tele.nami nikitaka utamu nakimbia masaa yangu mawili matatu napata roho napenda then narudi tuendelee kuijenga familia tatizo liko wapi hapo.



endelea kubomoa nyumba kwa mikono yako mwenyewe
 
Kama ndivyo,kikubwa nikumrekebisha siyo kumlipizia kwakulala na wanaume hovyo,kwakweli watoto wanakua wanajisikia vibaya sana,hasa mama akiwa analala na watu hovyo,inakua inaumiza sana,sijui lakini kwa jamii nyingine.

Huwa tunawarekebisha na kuwasamehe tunawasamehe. Mara ya kwanza ya pili ya tatu mpk mara ya kumi bado tunasamehe na hatulipizi.
.
.
Binadamu yoyote ana kikomo cha uvumilivu, umejaribu kumrekebisha zaidi ya miaka mi5 mpk kumi lkn bado ni ile ile na inazidi kuwa mbaya..dharau, matusi, vipigo. Hebu niambie huo uvumilivu wa miaka yote hiyo naupata wapi?
Hata wewe kuna tabia za mke akikufanyia miaka nenda rudi na harekebishiki lazima utamchoka.
.
.
Watoto wanajisikia vibaya...wanajuaje kama mama katoka kuchepuka? Wamama wanajitahidi sana kuficha tabia zao mbaya kwa watoto atafanya kwa kujificha mno ila baba sasa...anaonyesha tabia yake mbaya wazi wazi kwa watoto kama vile kuchelewa kurudi kila siku, ulevi, kumpiga mama na mambo kama hayo. Hivi kweli mnadhani watoto hawaathiriki na hizo tabia zenu?
why tabia zetu ndio ziwaathiri watoto lkn zenu ziwajenge?
Wazazi wote mnatakiwa kubadilika lasivyo kizazi kijacho kitakuwa balaa...halafu mtalalamika watoto wa siku hizi hawana adabu kumbe mienendo yenu wote wawili imewaathiri watoto!
 
Back
Top Bottom