Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,509
- 94,640
Sijawahi kutumia nguvu kutafuta ndoa..tena ilikuja mapema mno. Sijasota kama wengine!kama ulikuwa unajua hupati kitu mbona kipindi cha uchumba ulitumia nguvu kubwa sana kusaka ndoa mpaka leo sugu za magoti hazijaisha. ulikuwa unasali mdogo wangu ata Musa wa biblia ulimpita kwa kusugua goti.
kama hupati kitu dai talaka uone nywele zitakavyo nyonyoka.
.
.
Na usitake kunitoa nje ya mada. Either mwanamke kasota kuitafuta ndoa au hajasota ndoa ni ndoa tu! Na iheshimiwe na kila mtu! Usiponiheshimu sitakuheshimu habari ndio hiyo. Haombi mtu talaka..tutabanana hapa hapa tupeane raha na karaha!
. Sisi kwetu ni mubashara tu kwa kweli