Lkn kwa hapo mkuu hujapata suluhisho la tatzo, ni bora uongee na mwenza wako, au km unahic uko kwa mchepuko kuna raha zaidi achika hapo ili ukaolewe na huo mchepuko.
Heshima ni kitu cha bure, jali utu wako shosti, ww ndio unaathirika zaid na hao wanaume wanakudharau tu.
Heshima ni kitu cha bure, jali utu wako shosti, ww ndio unaathirika zaid na hao wanaume wanakudharau tu.