miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Msamehe mara saba sabiniKama huwezi kumuacha unafanyaje?
Msamehe mara saba sabiniKama huwezi kumuacha unafanyaje?
HahahaKama nawaona wenye ndoa zao leo wanarudi na minuno nyumbani.. Wanahisi kabisa wameandikiwa wao hehehe
hehehehehehe leo mmenichekesha sana nyie wanawake..Vita ya madawa ya kulevya ni ngumu sana, kamwe haiwezi kuuacga salama.
![]()
![]()
![]()
![]()
Yaani wameshikwa pabaya leo!!Haha, umeona mapovu kutoka kipande ile...lol
Wewe unayemchepusha shetani anampitia huu mwezi au mwaka wa ngapi?? hahahaNi shetani tu anakuwa kampitia kidogo tu akajikwaa.
Hawa Wabeijing hawaaaa.. Nuksi sana. Ndio story zao huko salon kwao hawa.![]()
Kwani nawe una kibamia?Nyie mmeshindikana aiseee! haya machambo gani sasa?![]()
![]()
![]()

Hicho kiapo niliapa mimi tu. Mkuu au sisi wote nimejaribu mno kuitetea ndoa yangu nimegomban na michepuko mnoo nimelia nimepata presh haijabadilisha chochote wala hajali nimekua mpole ukimhoji kwani wapi nilipokosea anakujibu majibu ya karahaa .!Nimeshitushwa na Maneno yako! Wenzako wanachepuka wakiwa kwenye mahusiano na sio ndoa. Wacha nikukumbushe jambo, Ndoa ni kiapo kwa Mungu na uliapa mbele ya ndugu jamaa na wazazi wenu ukifanyacho leo kitaondoa baraka zote ndan ya nyumba yenu. Nendeni mkatubu!
hehehehehe... Sasa huko sio kabisa, wasije wakapata pressure wasizozitarajia..Hahaha
Leo wataanza na kuchunguza simu za wake zao kwa siri...ole wao wawe wameweka password au pattern yoyote....
Atajua sangapi yy anavyojikausha na mke hivyo hivyo uchovuUbaya wa mwanamke akichepuka lazima mwanaume ujue.angalia usije kukamatwa tu labda huyo mumeo awe fala.
Wewe umeoa?hehehehehe... Sasa huko sio kabisa, wasije wakapata pressure wasizozitarajia..
Katika vitu ambavyo sipendi tupekuane ni hivyo.. Unless uombe ruhusa, ila kamwe sitashika yako na wewe wala usishike yangu.. Sio kwa ubaya lakini hahahaa
Subiri page zikifika 100 ndio tutarudi kundini bwana.
Haha haya Nimerudi kwenye steps
Unadhani leo Nyerere angefufuka, angemwambia nini DAB?hehehehehehe leo mmenichekesha sana nyie wanawake..
kwahiyo na wewe unashindwa kuacha kuchepusha??
Huyu mwanamke wa kumfungasha karne hii sijui anafanana vipi.....Atajua mwenyewe namfungashia amfuate huko huko.mnafundishana ujinga hapa.
Mji wa dar ni mji wa gharama sana, atakaeshindwa aondoke tu.Wewe unayemchepusha shetani anampitia huu mwezi au mwaka wa ngapi?? hahaha
Haha haaaa.... Ngoja nichungulie.. Nakujibu muda si mrefu.Kwani nawe una kibamia?
![]()
![]()
![]()
![]()
Wanataka uje ufe kwa presha Mkuu, ingawa umechukua uamuzi mbaya wala hata sikulaumu fanya kitu kinachokupa furaha!!Hicho kiapo niliapa mimi tu. Mkuu au sisi wote nimejaribu mno kuitetea ndoa yangu nimegomban na michepuko mnoo nimelia nimepata presh haijabadilisha chochote wala hajali nimekua mpole ukimhoji kwani wapi nilipokosea anakujibu majibu ya karahaa .!
Hivi kumbe Biblia huwa mnaijua eeeh!! Nilijua mnamfahamu Suleiman na Daudi tu basi!!!