Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Hahahaaaa wazee wazamani usidhani walikuwa wanaishi mpaka wanafanana haya yalikuwa hayapo yalikuwepo, ila sasa hivi utandawazi tu mwanaume anaenda kuhemea kushoto mwanamke unaenda kupumuliwa kulia, mkikutana usiku mnageuziana migongo mkiamka asubuhi mnatoka vyumbani na nyuso za tabasamu, watoto wenyewe wanafurahiii baba na mama wanapendana, mkilala mkiamka mara miaka 3 ya ndoa, ukipindua miaka 10 , unajisemea niende wap bas mnaishi ila kila mmoja siri yake anavyoishi na mwezake.
Kaazi kweli kweli
 
We Mwanamke weweee ooohooo noti tu zat eksitenti... Hebu tutajie hiyo sample size yako ya huo utafiti wako.

Wazee wetu walikuwa makini sana walipokuwa wanataka mkae home mletewe kila kitu sasa nyakati hizi unakuta mke ana kaTGS Kakubwa kuliko mume... Aiseee kazi tunayo lazima mtudandie vichwani. Hilo povu sio la Tanzagiza hii.
You see!!!!
Wazee walikua wanaprovide kila kitu kwa wake zao, leo sasa mwanaume ukiombwa buku tu kudadeki hadi paka wa mtaa watajua
Thread zenu humu kila siku mnalalamika kuombwa hela hela zenyewe vijisenti, mnataka tuwe kama mama zetu bibi zetu wakati nyi hampo kama hao baba na babuu zetu
 
Sio habari za kuchepuka mkuu, tunapunguziana pressure tu na maswali yasiyo na msingi.. Mimi wakati nakuwa hata kushika simu za dada zangu ilikuwa ni mwiko.. Na nikishika kule Gallery, Inbox, Sent Items nilikuwa hata sithubutu kufungua kama sijaruhusiwa..
Kwani mkeo ni dada yako? Mwili mmoja huo. Muache akorokochoe kila mahali, na maswali yake umjibu vizuri tu tena kwa adabu.
 
You see!!!!
Wazee walikua wanaprovide kila kitu kwa wake zao, leo sasa mwanaume ukiombwa buku tu kudadeki hadi paka wa mtaa watajua
Thread zenu humu kila siku mnalalamika kuombwa hela hela zenyewe vijisenti, mnataka tuwe kama mama zetu bibi zetu wakati nyi hampo kama hao baba na babuu zetu
Wakaoe bibi zao watupunguzie bugudha.
 
hehehehehe mbona wewe nimekukubalia kirahisi tu, mimi kwangu inakuwa ngumu kukubaliwa.. hahaha
Una mpango gani kwani? Hebu useme vizuri, lile jibu lilikuwa na lengo ngani? Au unataka tuanze kukuombea?
 
Back
Top Bottom