Inaoneka unadharau kwa kuwa mnatumwagiwa afu unasema mnatutumia na kutudampu yaan unajisifu hushawai kufikiria kuwa baba yako alimmwagia mama yako ukatokea we we?ulishai fikiria kuwa hadi uitwe baba inabid ummwagie mkeo /mpnz wako ndo update mtoto?mi naona we ni kivulana sio mwanaume na pia ulishawai jifikiria kuwa km mwanamke anamdharau sababu unamwagia kwann usimwage kwa mwanaume mwenzio ambae ni WA thaman kwako ?au ukamwaga kwenye boxer yako ,?muwe mnatafakar kabla yakuandika hapo anapomwaga ndipo mlipotokea na atatokea mtoto wako ,afu zaidi ya yote bado alietuumba alituona ni vema nyie mtumwagiwe kama wewe unatudharau jua unamdharau alie tuumba hadi mama na baba yako unawadharau shame upon you huna akil kivulana wewe hebu umba WA kwako