Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Siuombe talaka
 
Hakuna kitu kama hicho nyie mnajiona mna mioyo ya nyama ila mwanamke tuna vyuma .. mnachepuka mbaya zaidi mnaenda mbali na kutudharau tukochepuka ooh atapata anguko ungekuwa unanitimizia mqhitaji yangu na kunisikiliza sa ngapi ningepata muda wa kuchepuka ila kwa sababu mna kiburi Acha tufanye kimya kimya tu
Kimya kimya majibu atawapa mkemia mkuu zao.
 
[LIST=1 said:
[*]Wanawake hawapendani kabisa, Badala ya Kumshauri na kumwambia huo haukuwa uamzi sahihi lakini matokeo yake wanamsifia na kusema kuwa Bora awamkomeshe
[/LIST]
Kumbe na wanaume nao hawapendani kama wanawake, maana jinsi wanavyosifianaga kuhusu michepuko!
 
hivi ulikuwa wapi na hizi akili? tukae chini tuyarekenishe, siyo nawe ujitie kimbele mbele kukitembeza huko.

kuna watoto huku wanapotea njia, embu baelezee
Naamini kila mwanamke anatakiwa kabla ya maamuzi magumu ajaribu kujenga ikishindika aisee
 
habari ya siku? uko salama? kunywa maji kdg afu twende sawa kdg.

Mi sijahalalisha chochote hapa.

Ila wenzenu tumeumbwa wadhaifu kdg kuliko nyie, nyie mmejaaliwa uvumilivu kdg... mtusitiri basi!!!., tujenge wala tusibomoe
Na nyie mtuombee tu jamani, ni shetani tuuu. Unadhani hata tunapenda basiii, shetani mbaya sana huyu.
 
Back
Top Bottom