Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

....Imeandikwa ''Mwanamke Mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe''....Sasa chonde chonde usije tena hapa na uzi mwingine ''Yamenikuta mchepuko wangu umeniambukiza ukimwi, naombeni ushauri...''
 
Umeingiza kashfa ili ubadili muelekeo wa mada. Sipo huko mie. Nimeshatoa mawazo yangu nimemaliza. Sibishani na mtu.
Umesikia yale ya Arusha... vipi kuhusu ya Mwanza.. kweli kuchepuka raha hasa ukikamatwa au mume akisikia na akadhibitishiwa kua unachepuka,atakachokufanya hadi jamii itakaa kimya kuomboleza,uzuri dunia haichoki kufunza hatakama wazazi washindwe vipi,ikikabidhiwa inafunza.
 
Wakati ukiwa trainee pale CRDB mwaka 2011 na utu uzima wako hujaweza hata kutumia mashine ya kuhesabia pesa unatetemeka na kapete kako cjui kalikuwa kauchumba au chakuibia wateja hela, ila baadae nakuja kugundua kuwa ni mke wa mtu ila ule mchepuko ulikuwa unafanya pale CRDB nihatari hadi stuff walikuchoka yaani hiyo omba omba na smile zakiwizi kwa wateja duuuh cjui hiyo tabia bado unaendeaje nayo! maana mke wa mtu bado unachepuka huoni haya kisa kuwa teller tena trainee na uzee wote ule? Kwa maisha kama yale cjui cv yako ya kuajiriwa pale basi ilishachafuka sana. mm sio haja ya ww kujadili huu uzi hapa maana unakuhusu 100% wasiokujua wadanganye eti evelynsalt shame upon ya face .

Kwa nilivyo soma comments zako bado hujakua, ukikua utajua ulivyoviongea ni pumba kiasi gani.
 
Eti unalilia dyudyu moja wakati huko nje zimejaa tele!! Si wendawazimu huo!!
Huyo mwehu asiye mkeo analilia dyudyu wanalilia pesa hivi anawajua makahaba huyu atakuwa mgeni wa mapenzi atakuwa kaingia mjini na utu uzima
 
Kwani my brother kuna dhambi ya mwanamke na mwanaume? Wapi paliandikwa wanaume wazini ila wnawake wasizini? Na kama wameruhusiwa kuzini wanazini na nani?
Wanazini na majini
 
Na hapa ndipo huwa nachanganyikiwa.

Wanawake single ni wa kutafuta ila wanaume single wamejazana. Hadi unajiuliza inamaana sensa Ilikosewa eeeh
Wakosekane vipi wakati kutwa vijiweni kushindia viepe na mbilimbi kazi ya mke wataiweza wapi?
 
Furaha ya mwanamme utoka mbavun kwake
Kama mbavu za pili azikusimama imara kuimarisha upendo michepuko lazima.
Me nina mchepuko lakin naona sehem kubwa amesababisha mke wangu.
 
Back
Top Bottom